Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
Pia Huyo jamaa amesoma Chuo cha Jeshi cha Malkia na amegraduate kama Officer Cadet, mpaka wamefikia stage hio washajiridhisha wenyewe.
 
.
20230221_204836.jpg
 
Jaribu kuangalia vizuri sana kila timu tunayorudiana nayo mara ya pili baada ya mchezo wa kwanza. Mf. Leicester, Leeds, Man City, Real Sociedad, Crystal Palace, Nottingham n.k

Huwa kuna kuwa na massive improvement kutoka mchezo wa kwanza pia yeye huwa anafanya kazi na football analysts wengi sana toka yuko Ajax. Ule mchezo wa Arsenal baada ya kufungwa ktk team talk inasemekana aliwaka sana aliwaambia wachezaji "if you want to win titles you need to change your mentality".
 
Weughost ni defensive striker ...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
Nitakua wa mwisho kumkubali huyo mzimu wenu.
 
Jumapili tunanyanyua makwapa..it's been a while hatujafanya hivyo..EtH sidhani kama atafanya mambo ya Ole ..


But first acha tuwape kipigo Barcelona..OT mixer Casemiro ndani na mnyama Licha ndani
.aaah tutawaleta kati tu..aaah uhakika hapa.

Quadruple race tupo ndani...Carabao,FA,UEL,PL.

GGMU.
 
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?

Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.

Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Pointi kubwa
 
Back
Top Bottom