Weughost ni defensive striker



...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.