Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimu huu huyu dogo atafikisha goli 40, bado goli 16 tu. Top scorer Carabao na Europa so far.

Benni McCarthy kaifanya kazi nzuri kwa kijana wetu. Sasa ni zamu ya ku-unlock potential ya Sancho pia.
 

Attachments

  • most-goals-since-world-cup-players-in-europes-big-5-leagues-v0-jh7g1pn086ja1.jpg
    most-goals-since-world-cup-players-in-europes-big-5-leagues-v0-jh7g1pn086ja1.jpg
    58.8 KB · Views: 13
Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.

Jana mpaka Kipindi cha kwanza kinaisha tuna Short on Target moja tu na lile Goli alilokosa Dalot, unaona kabisa hakuna Mbinu, Alivyoingia Sancho angalau zikawa zinaonekana movement za utengenezaji.

Unamuweka sabi na fred level moja? Nope
Sabi is more advanced, na ili huyu jamaa aonekane apangwe na casemiro
 
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
Hii ni PSG na inamilikiwa na Qatar, sasa hiyo point yako sio sahihi kwa hapa
1724701695.jpg
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?
 
Kuna mambo mengi ukitoa mmiliki (mmuzaji) na mnunuzi. Manchester United ni biashara ipo ndani ya UK. United ni nembo ya soka la Uingereza, tumeshaona nguvu ya serikali kwa club kama Chelsea na mmiliki wao aliyepita ni ishu za kisiasa ndiyo zilifanya auze timu kwa lazima. Hili suala siyo la matajiri tu serikali na siasa zake pia watajichomeka hapa.

Mimi nataka timu apewe muarabu bila kizuizi chochote na sisi tufaidi "oil money"
Football Team ownership, ni Biashara huria.
Mmiliki akikizi Vigezo anapewa Timu.

Man City na Newcastle zimeuzwa Kwa Waarabu.
Tena Vyanzo vya Pesa ni Serikali za Kiarabu.

Pale England kuna timu zinamilikiwa hadi na Wachina.
 
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.

Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
 
Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
Pia Huyo jamaa amesoma Chuo cha Jeshi cha Malkia na amegraduate kama Officer Cadet, mpaka wamefikia stage hio washajiridhisha wenyewe.
 
Jaribu kuangalia vizuri sana kila timu tunayorudiana nayo mara ya pili baada ya mchezo wa kwanza. Mf. Leicester, Leeds, Man City, Real Sociedad, Crystal Palace, Nottingham n.k

Huwa kuna kuwa na massive improvement kutoka mchezo wa kwanza pia yeye huwa anafanya kazi na football analysts wengi sana toka yuko Ajax. Ule mchezo wa Arsenal baada ya kufungwa ktk team talk inasemekana aliwaka sana aliwaambia wachezaji "if you want to win titles you need to change your mentality".
 
Weughost ni defensive striker ...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
Nitakua wa mwisho kumkubali huyo mzimu wenu.
 
Jumapili tunanyanyua makwapa..it's been a while hatujafanya hivyo..EtH sidhani kama atafanya mambo ya Ole ..


But first acha tuwape kipigo Barcelona..OT mixer Casemiro ndani na mnyama Licha ndani
.aaah tutawaleta kati tu..aaah uhakika hapa.

Quadruple race tupo ndani...Carabao,FA,UEL,PL.

GGMU.
 
Back
Top Bottom