Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkumbuke anayeiuza hiyo timu sio muingereza na ni mfanyabiashara.
Kuna mambo mengi ukitoa mmiliki (mmuzaji) na mnunuzi. Manchester United ni biashara ipo ndani ya UK. United ni nembo ya soka la Uingereza, tumeshaona nguvu ya serikali kwa club kama Chelsea na mmiliki wao aliyepita ni ishu za kisiasa ndiyo zilifanya auze timu kwa lazima. Hili suala siyo la matajiri tu serikali na siasa zake pia watajichomeka hapa.

Mimi nataka timu apewe muarabu bila kizuizi chochote na sisi tufaidi "oil money"
 
Hata mimi naona kama watampiga chini ili kuendeleza utamaduni wa Kiingereza kwa kuhofia Mwarabu kuleta mambo mengi ndani ya klabu..Manchester United ibebeba utamaduni wa Kiingereza.
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Inabidi kuwe na backup ya DeJong kama akija kuzingua tena.

Hatuwezi kimbiza mchezaji mmoja dirisha zima halafu tunakuja ambulia patupu.

Tuwe na options kama 3 hivi.
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Mkuu , ile apk ulituwekea hapa ili lazimisha nii update sasa baada ya hapo iyo mpya ina matangazo kama takataka. Kwa niaba naomba update yake au utupatie chimbo zinapopatikana ili tuwe tunadownload
 
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
Qatar na nchi zote za kiarabu hawajawahi kuwa na shida na hao mashoga wakiwa nje ya nchi zao.

Wao wanakuzingua ukileta ushoga ndani ya mipaka ya nchi zao.

PSG inamilikiwa na hao waarabu na mambo ya kishoga wanayafanya mbona?

Newcastle, Man City hakuna aliezuiliwa kufanya huo ushoga.

Ila huruhusiwi kupeleka habari zako za kishoga ndani ya nchi zao.

Still, kutowapa timu hakuleti mantiki kama hakuna sababu ya maana.
 
Mkuu , ile apk ulituwekea hapa ili lazimisha nii update sasa baada ya hapo iyo mpya ina matangazo kama takataka. Kwa niaba naomba update yake au utupatie chimbo zinapopatikana ili tuwe tunadownload
Kuna forum Fulani ya Ukraine inaitwa Mobilism mkuu App zozote za kuchakachua huwa zinapatikana huko.


Hio hapo sema uwe na Adblocker wakati unadownload.

Ukishindwa nitadownload nikuwekee mediafire ama Google drive
 
Unahisi kwa sasa tunafanana uchezaji na Liverpool ya Salah na Mane waki-shine kuliko striker wao Firmino?
kwa huu muda mfupi niliomsoma Eth ni kwamba jamaa hana Formula, anatumia Alichonacho halazimishi, Tofauti na Pep na Klopp. Sasa hivi Liver wanazingua ila Klopp bado anakomaa tu na 4-3-3 yake.

Utofauti uliopo ni kwamba Wout ni mkabaji wakati Firmino ni mtengenezaji, Sisi chance zetu zinatoka kwa midfield na Bruno popote alipo, Wakati Klop midfield zake hazina kazi ya kutengeneza Chance zinatoka kwa Full back na wa mbele. Pia naona Eth no 10 kwake ana Experiment sana, Anapenda kumtumia Bruno toka pembeni, Sometime 10 anacheza Wout, Fred, Sancho huwa hapana mtu maalum pale. Hivyo kwa muono wangu ni Mifumo miwili tofauti.
 
Msimu huu huyu dogo atafikisha goli 40, bado goli 16 tu. Top scorer Carabao na Europa so far.

Benni McCarthy kaifanya kazi nzuri kwa kijana wetu. Sasa ni zamu ya ku-unlock potential ya Sancho pia.
 

Attachments

  • most-goals-since-world-cup-players-in-europes-big-5-leagues-v0-jh7g1pn086ja1.jpg
    most-goals-since-world-cup-players-in-europes-big-5-leagues-v0-jh7g1pn086ja1.jpg
    58.8 KB · Views: 16
Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.

Jana mpaka Kipindi cha kwanza kinaisha tuna Short on Target moja tu na lile Goli alilokosa Dalot, unaona kabisa hakuna Mbinu, Alivyoingia Sancho angalau zikawa zinaonekana movement za utengenezaji.

Unamuweka sabi na fred level moja? Nope
Sabi is more advanced, na ili huyu jamaa aonekane apangwe na casemiro
 
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.
Hii ni PSG na inamilikiwa na Qatar, sasa hiyo point yako sio sahihi kwa hapa
1724701695.jpg
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Kwani mchezaji wa kucheza role hiyo ni FDJ tu ?
 
Kuna mambo mengi ukitoa mmiliki (mmuzaji) na mnunuzi. Manchester United ni biashara ipo ndani ya UK. United ni nembo ya soka la Uingereza, tumeshaona nguvu ya serikali kwa club kama Chelsea na mmiliki wao aliyepita ni ishu za kisiasa ndiyo zilifanya auze timu kwa lazima. Hili suala siyo la matajiri tu serikali na siasa zake pia watajichomeka hapa.

Mimi nataka timu apewe muarabu bila kizuizi chochote na sisi tufaidi "oil money"
Football Team ownership, ni Biashara huria.
Mmiliki akikizi Vigezo anapewa Timu.

Man City na Newcastle zimeuzwa Kwa Waarabu.
Tena Vyanzo vya Pesa ni Serikali za Kiarabu.

Pale England kuna timu zinamilikiwa hadi na Wachina.
 
Haya mambo magumu sana, kwanza muarabu akipewa timu itabidi akubali timu yake ishiriki The Rainbow Laces campaign ambayo ni lazima kila mshiriki wa Premier League a-support LGBTQ community.

Sasa kwa ule mtiti walioleta Qatar kwenye World Cup kupiga vita LGBTQ bado wanataka wapewe timu ambayo inaenda kinyume na wanachokiamini.

Hapa ndiyo ile kauli ya "maisha bila unafiki hayaendi" itabidi itumike.

Kuna tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizopo kwenye nchi husika.
 
Back
Top Bottom