Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

images (4).jpeg
 
Amefanya kazi kubwa sana leo hasa kwenye ukabaji na kuharibu mipango alikuwa yupo karibu kila mahali penye mpira, ni kweli leo kwa mara ya kwanza nimeona kapewa pasi nyingi na amekosa magoli ila siwezi mlaumu kwa kuwa timu imeshinda na pia niwapongeze mabeki na kipa wa Lester maana walisave au kublock mashuti yake.
Wegost jini lile ingawa watu wanalikataa tu
 
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Wegost jini lile ingawa watu wanalikataa tu
Kuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.

Kapewa kazi ya kupress kukaba na kuokoa pale inapobidi ndio maana ukimuangalia mda mwingi anakimbia kimbia na hii humfanya kuchoka hata pale anapopokea pass za kufunga anakuwa na pumzi chache. Naamini angekuwa hatimizi kile mwalimu amemtuma sasa hivi angekuwa anakalia bench.
 
Kuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.

Kapewa kazi ya kupress kukaba na kuokoa pale inapobidi ndio maana ukimuangalia mda mwingi anakimbua kimbia na hii humfanya kuchoka hata pale anapopokea pass za kufunga anakuwa na pumzi chache. Naamini angekuwa hatimizi kile mwalimu amemtuma sasa hivi angekuwa anakalia bench.
Dynamics za mpira wa sasa zinawafanya baadhi ya mashabiki waonekane vilaza.

Mpira wa sasa unamfanya mchezaji awe na roles hata 4 uwanjani.

Beki anasajiliwa asaidie wings na striker anatakiwa kudefend.
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
 
Dynamics za mpira wa sasa zinawafanya baadhi ya mashabiki waonekane vilaza.

Mpira wa sasa unamfanya mchezaji awe na roles hata 4 uwanjani.

Beki anasajiliwa asaidie wings na striker anatakiwa kudefend.
Na hichi ndicho kilichomfanya Ronaldo ashindwe kuperform mechi za kiushindani kwa sasa japo yeye haamini kwamba umri umemtupa na nguvu hana tena akaishia kututukana tu man pamoja na kocha.
 
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,

Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.

Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Sabitzer ni mzuri kuliko Fred jana Fred alizingua sana yaani alikua anachelewa kutoa pass na akitoa anapasia adui, kiukweli kuliko Fred mimi huwa naona ni bora Mctominay na hata alipoingia jana timu ilitulia.
 
Back
Top Bottom