Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.

  • Simba ndani ya canal sports
  • Yanga ndani ya bein sports
  • Premier league
  • La liga
  • Serie A
  • Ligue 1
  • Europa
  • Champions league
  • Fa
  • Carabao
  • N.k
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
Cable inakuwa ni 1080??..yani UHD??
 
images (4).jpeg
 
Amefanya kazi kubwa sana leo hasa kwenye ukabaji na kuharibu mipango alikuwa yupo karibu kila mahali penye mpira, ni kweli leo kwa mara ya kwanza nimeona kapewa pasi nyingi na amekosa magoli ila siwezi mlaumu kwa kuwa timu imeshinda na pia niwapongeze mabeki na kipa wa Lester maana walisave au kublock mashuti yake.
Wegost jini lile ingawa watu wanalikataa tu
 
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
Wachezaji si wanafanya mazoezi kila siku.?

Kama kocha ndo anataka manake anatengeneza kila njia waweze hiyo style yake.

Tuwe na imani na wachezaji wetu.
 
Back
Top Bottom