Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,875
Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.Sabitzer ni mzuri kuliko Fred jana Fred alizingua sana yaani alikua anachelewa kutoa pass na akitoa anapasia adui, kiukweli kuliko Fred mimi huwa naona ni bora Mctominay na hata alipoingia jana timu ilitulia.
Jana mpaka Kipindi cha kwanza kinaisha tuna Short on Target moja tu na lile Goli alilokosa Dalot, unaona kabisa hakuna Mbinu, Alivyoingia Sancho angalau zikawa zinaonekana movement za utengenezaji.

