Zamani Wan Bissaka ku turn tu mtihani aisee, pasi ndio utachoka kabisa, sasa hv jamaa anapiga na vyengaAisee nakubaliana na wewe siku anaupiga mwingi sana yaani one two one two na kulamba watu chenga siku hizi kwake ni kitu cha kawaida tu.
Kuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.Wegost jini lile ingawa watu wanalikataa tu
Dynamics za mpira wa sasa zinawafanya baadhi ya mashabiki waonekane vilaza.Kuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.
Kapewa kazi ya kupress kukaba na kuokoa pale inapobidi ndio maana ukimuangalia mda mwingi anakimbua kimbia na hii humfanya kuchoka hata pale anapopokea pass za kufunga anakuwa na pumzi chache. Naamini angekuwa hatimizi kile mwalimu amemtuma sasa hivi angekuwa anakalia bench.
Toka Zaman AWB anajua kupiga chenga, alicho improve sasa hv ni decision makingZamani Wan Bissaka ku turn tu mtihani aisee, pasi ndio utachoka kabisa, sasa hv jamaa anapiga na vyenga
Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,What does this tell you?View attachment 2523720
Na hichi ndicho kilichomfanya Ronaldo ashindwe kuperform mechi za kiushindani kwa sasa japo yeye haamini kwamba umri umemtupa na nguvu hana tena akaishia kututukana tu man pamoja na kocha.Dynamics za mpira wa sasa zinawafanya baadhi ya mashabiki waonekane vilaza.
Mpira wa sasa unamfanya mchezaji awe na roles hata 4 uwanjani.
Beki anasajiliwa asaidie wings na striker anatakiwa kudefend.
Sabitzer ni mzuri kuliko Fred jana Fred alizingua sana yaani alikua anachelewa kutoa pass na akitoa anapasia adui, kiukweli kuliko Fred mimi huwa naona ni bora Mctominay na hata alipoingia jana timu ilitulia.Tuna Struggle sana Bila Case na Eriksen, Fred na Sabitzer sio wa Kuanza pamoja, Quality zao zinafanana, kama jana isingekua De Gea 1st half ni majanga,
Kama ulikuwa unamuona ETH jana alimind sana muda wote anatingisha kichwa.
Dirisha lijalo nahisi mbio za FDJ zitaanza tena.
Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.Sabitzer ni mzuri kuliko Fred jana Fred alizingua sana yaani alikua anachelewa kutoa pass na akitoa anapasia adui, kiukweli kuliko Fred mimi huwa naona ni bora Mctominay na hata alipoingia jana timu ilitulia.
Labda kipindi hajaja Man U aiseeToka Zaman AWB anajua kupiga chenga, alicho improve sasa hv ni decision making
Hapa hapa Man U, alikuwa anadrible anapita watu akifika mbele anastop kisha anapiga pasi ya nyuma.Labda kipindi hajaja Man U aisee
Jana mapumziko wanatoa stats Epl jamaa alicheza Nyuma kuliko Fred na Sabitzer. Upo on point mkuu Jamaa anafanya Wachezaji wa pembeni wa Shine,Weughost ni defensive striker 😅😅😅...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
Kuna assist aliitoa sema tu ikawa offside daah ilo jini acha kabisaKuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.
Kapewa kazi ya kupress kukaba na kuokoa pale inapobidi ndio maana ukimuangalia mda mwingi anakimbia kimbia na hii humfanya kuchoka hata pale anapopokea pass za kufunga anakuwa na pumzi chache. Naamini angekuwa hatimizi kile mwalimu amemtuma sasa hivi angekuwa anakalia bench.
Huyu shehe sidhani kwa kweli kama watampa timuMnasema Sir Jim ni kama Mo tu sio??View attachment 2524180
Hata mimi naona kama watampiga chini ili kuendeleza utamaduni wa Kiingereza kwa kuhofia Mwarabu kuleta mambo mengi ndani ya klabu..Manchester United ibebeba utamaduni wa Kiingereza.Huyu shehe sidhani kwa kweli kama watampa timu
Na ndio maana hata akinyimwa pass humuoni akifoka kama Ronaldo yaani utamuona anatabasamu tu coz anajua jukumu lake kuu sio kufunga na mwenzake akifunga anashangilia kama kafunga yeye.Jana mapumziko wanatoa stats Epl jamaa alicheza Nyuma kuliko Fred na Sabitzer. Upo on point mkuu Jamaa anafanya Wachezaji wa pembeni wa Shine,