Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sabitzer ni mzuri kuliko Fred jana Fred alizingua sana yaani alikua anachelewa kutoa pass na akitoa anapasia adui, kiukweli kuliko Fred mimi huwa naona ni bora Mctominay na hata alipoingia jana timu ilitulia.
Quality zinafanana mkuu, hata Sabitzer uwezo wa pasi ni wa kawaida tu, Wote Fred na Sabitzer ni Midfield wenye Energy wanakimbia mda wote, wanakaba na kuharibu mipango ya wapinzani ila hawana uwezo wa Kudictate midfield, kutoa pasi za mwisho na kuretain possesion.

Jana mpaka Kipindi cha kwanza kinaisha tuna Short on Target moja tu na lile Goli alilokosa Dalot, unaona kabisa hakuna Mbinu, Alivyoingia Sancho angalau zikawa zinaonekana movement za utengenezaji.
 
Weughost ni defensive striker 😅😅😅...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
 
Mnasema Sir Jim ni kama Mo tu sio??
Screenshot_20230220-165904_Instagram.jpg
 
Labda kipindi hajaja Man U aisee
Hapa hapa Man U, alikuwa anadrible anapita watu akifika mbele anastop kisha anapiga pasi ya nyuma.

Ingia hapa

2019/20 AWB ni wa 5
2020/21 AWB ni wa 9
2021/22 AWB ni wa 3
Stats zote P90.

Awb alikuwa Winger kabla ya kurudishwa Nyuma hivyo kudribble halijawahi kuwa tatizo kwake.

Tatizo lake kubwa ni kule mbele akishafika hajui mpira aupeleke wapi, sasa hivi anapiga one two za maana na hata pasi zake habutui tena Cross anaweza akatoa pasi ya Chini nzuri kumfikia mshambuliaji.
 
Weughost ni defensive striker 😅😅😅...
Lkn kiufundi ana sapoti sana mbinu za ETH na toka atue united kachangia pakubwa timu kutulia na kaongeza sana mishemishe kule mbele na kuwapoza wapinzani kutokea kweny beki line. Na pia anatoa nafasi kwa wengne kuonyesha makali km rashford toka jamaa aje ni game moja tu hakufunga. na kiufundi forward line(average) inatakiwe akimbie kwa dakika 60 kati ya 90 za mchezo. Kwa hiyo jamaa iwe mwisho kumkosoa kwa mihemko....na sio ajabu akaongezewa mkataba na sio rahisi kuwekwa nje game ngumu kama arsenal, barcelona, man city, liverpool na wengne sababu ana implements tactics za ETH by that time km ilivo kwa wachezaji wengne km rashford, case, Martinez na wengne.
Jana mapumziko wanatoa stats Epl jamaa alicheza Nyuma kuliko Fred na Sabitzer. Upo on point mkuu Jamaa anafanya Wachezaji wa pembeni wa Shine,
 
Kuna watu wao wanayale mawazo ya kizamani kwamba ukiwa forward kazi yako ni kufunga. Of course kazi ya forward ni kufunga lakini naamini kazi kubwa Werghorst aliyopewa pale man u na ETH sio kufunga.

Kapewa kazi ya kupress kukaba na kuokoa pale inapobidi ndio maana ukimuangalia mda mwingi anakimbia kimbia na hii humfanya kuchoka hata pale anapopokea pass za kufunga anakuwa na pumzi chache. Naamini angekuwa hatimizi kile mwalimu amemtuma sasa hivi angekuwa anakalia bench.
Kuna assist aliitoa sema tu ikawa offside daah ilo jini acha kabisa
 
Jana mapumziko wanatoa stats Epl jamaa alicheza Nyuma kuliko Fred na Sabitzer. Upo on point mkuu Jamaa anafanya Wachezaji wa pembeni wa Shine,
Na ndio maana hata akinyimwa pass humuoni akifoka kama Ronaldo yaani utamuona anatabasamu tu coz anajua jukumu lake kuu sio kufunga na mwenzake akifunga anashangilia kama kafunga yeye.
 
Hata mimi naona kama watampiga chini ili kuendeleza utamaduni wa Kiingereza kwa kuhofia Mwarabu kuleta mambo mengi ndani ya klabu..Manchester United ibebeba utamaduni wa Kiingereza.
London Asilimia Kubwa ni Biashara za Qatar, Dubai, Saudi na India. Unless Mashabiki wanaoenda kwenye Mechi wakatae watampa timu. Mwisho wa Mwezi tutajua nani na nani wapo kwenye mbio
 
Back
Top Bottom