Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?

Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.

Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Pointi kubwa
 
Fergie na ten hag mgahawani
1677036331226.png
 
Summer tunahitaji proprer RB

Tunahitaji replacement ya Casemiro,,, mmeona Ni jinsi gani ile red ilitugharimu, je ikitokea amepata majeraha ya muda mrefu ?

Sabitzer tungebaki nae asaidiane na Ericksen ,,, tubonge na Bayern watuuzie jumla !

Tunahitaji proprer CF , wout ataondoka mwisho wa msimu !

Pia walau CB mmoja wa kumchalenge varane(anapata injury Mara kwa Mara)

Kuna magarasa ya kusepeshwa

Jones
Martial (anafaa kuwa back up lakini Ni injury prone )
Dalot/AWB mmoja asepeshwe, !
Lindelof ni midterm player
Maguire kwa umri ule hawez kuimprove Tena
Scotty,,at 26 habadiliki Hana jipya asepe timu za levo zake !!!!!


Kina amad, kobemainoo, Zidane, facundo Ni potential, taratibu wanaingia kwenye first eleven!
 
Tangia Erick bailly aende loan, kiasi amejitahidi kucheza bila zile injury zake,,,

Lakini ukabaji wake Ni rafu Sana, hachelewi kupata red ! Huyu nae wa kusepa tu

Alex aliepo Sevilla loan nae nadhani aondokee huko huko ,,,,

DVB akipona nadhani aonyeshwe njia,,, EPL imemshinda, akajaribu bahati France, uholanzi n.k
 
Back
Top Bottom