Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,310
- 46,806
Key word.."My starting XI".Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
Key word.."My starting XI".Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
[emoji1787][emoji1787]..leo tunauavaa mkuu..kaa karibu na TV yako.Kumbe ishatoka na Sijui[emoji23][emoji23].
Mkuu sidhani kama izo ndo jezi zetu za msimu ujao maana team viewer wamevunja mkataba na sisi hapo mdhamini lazima a change.
Atatufaa Sana huko mbeleniHannibal Majebri anauwasha huko birmingham city
Kila mtu ana namna yake anavyoangalia mpira,,,,Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
Bayern Munich wanataka kiasi kisichopungua 18m ili watuachie Marcel SabitzerSummer tunahitaji proprer RB
Tunahitaji replacement ya Casemiro,,, mmeona Ni jinsi gani ile red ilitugharimu, je ikitokea amepata majeraha ya muda mrefu ?
Sabitzer tungebaki nae asaidiane na Ericksen ,,, tubonge na Bayern watuuzie jumla !
Tunahitaji proprer CF , wout ataondoka mwisho wa msimu !
Pia walau CB mmoja wa kumchalenge varane(anapata injury Mara kwa Mara)
Kuna magarasa ya kusepeshwa
Jones
Martial (anafaa kuwa back up lakini Ni injury prone )
Dalot/AWB mmoja asepeshwe, !
Lindelof ni midterm player
Maguire kwa umri ule hawez kuimprove Tena
Scotty,,at 26 habadiliki Hana jipya asepe timu za levo zake !!!!!
Kina amad, kobemainoo, Zidane, facundo Ni potential, taratibu wanaingia kwenye first eleven!
Mwarabu apewe timu haraka sanaTukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence [emoji23]
Aggregate itakua ni 4-4. Hivyo wataongezewa dakika 30 za kucheza. Kama kukiwa hakuna mshindi katika dakika hizo, David De Gea na Marc Andre TerStegen watawajibika kutuonyesha ubora wao katika changamoto ya mikwaju ya penati.Kama tokeo likiwa 2 vs 2, inakuaje?
Mchezaji anayetupa matokeo Rashid ndiye anaongoza kwa disappointments. Mpaka najiuliza huwa hakemewi!!Tukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence [emoji23]
Licha ya hiyo..mimi nachohofia ni mechi zinavyofuatana hivi..uchovuTukitoboa mechi ya leo (na Barca) na Ile ya jumapili (final ya carabao na Newcastle) nitamnyooshea mikono ETH.
Hizi match zinanipa wasiwasi kwa kweli. Naona kama wachezaji wamekua na overconfidence [emoji23]