WamemnyimaMwarabu apewe timu
Kampeni mpya hii baada ya "bado hajafukuzwa tu"Mwarabu apewe timu

Hannibal Majebri anauwasha huko birmingham citySummer tunahitaji proprer RB
Tunahitaji replacement ya Casemiro,,, mmeona Ni jinsi gani ile red ilitugharimu, je ikitokea amepata majeraha ya muda mrefu ?
Sabitzer tungebaki nae asaidiane na Ericksen ,,, tubonge na Bayern watuuzie jumla !
Tunahitaji proprer CF , wout ataondoka mwisho wa msimu !
Pia walau CB mmoja wa kumchalenge varane(anapata injury Mara kwa Mara)
Kuna magarasa ya kusepeshwa
Jones
Martial (anafaa kuwa back up lakini Ni injury prone )
Dalot/AWB mmoja asepeshwe, !
Lindelof ni midterm player
Maguire kwa umri ule hawez kuimprove Tena
Scotty,,at 26 habadiliki Hana jipya asepe timu za levo zake !!!!!
Kina amad, kobemainoo, Zidane, facundo Ni potential, taratibu wanaingia kwenye first eleven!
Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.Matchday..GGMU
=========
My Starting XI vs Barcelona
=========
De Gea
AWB Varane Martinez Shaw
Sabitzer Casemiro Fernandes
Anthony Rashford Sancho
======
Kama Anthony hayupo fit
Sabitzer Casemiro Fred
Fernandes Rashford Sancho

.Key word.."My starting XI".Kwa United ya sasa Wout hawezi kukaa nje. Ila kwa sababu umesema ni "my starting XI" acha tuishi hivyo.
Kumbe ishatoka na Sijui.

..leo tunauavaa mkuu..kaa karibu na TV yako.






Mkuu sidhani kama izo ndo jezi zetu za msimu ujao maana team viewer wamevunja mkataba na sisi hapo mdhamini lazima a change.
Atatufaa Sana huko mbeleniHannibal Majebri anauwasha huko birmingham city