Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,301
- 46,765
Itakuwa ya moto balaa..can't wait.Next game, nasubiria combination ya Casimiro na Sabitzer
Itakuwa ya moto balaa..can't wait.Next game, nasubiria combination ya Casimiro na Sabitzer
Hapo ndipo alipokosea Ole, alikuwa anaenda vizuri shida yake alikuwa na ubaguzi wa wachezaji yeye kila mechi ni wachezaji wale wale akawafanya wengine wakakosa furaha na kupoteza uwezo wao.Ten hag Kuna kitu kaongeza kafanya united ionekane timu yenye kikosi kipana
Me nasemaga hapa daily! Hatuna budi kumzoea.Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.
Shaw ni mzuri kwenye kupeleka mashambulizi mbele (hilo linajulikana) ila kwenye swala la ukabaji hana hayo maajabu yoyote unayojaribu kutuaminisha hapa, hasa anapokutana na mawinga teleza (ndiomaana nikasema nae ni msindikizaji mzuri tu)
Kaangalie ile game yetu na Arsenal uone alivyokuwa anamsindikiza Saka golini.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna cha ubaguzi, hakua na uwezo tuu.Hapo ndipo alipokosea Ole, alikuwa anaenda vizuri shida yake alikuwa na ubaguzi wa wachezaji yeye kila mechi ni wachezaji wale wale akawafanya wengine wakakosa furaha na kupoteza uwezo wao.
Ferndz kanzu imekaa mahali pake 😄
Mbona mnachafua nyuzi mzee yanga si Wana nyuzi Yao au hujui
Kuna maajabu fulani kayafanya ETH kwa Wan Bissaka huwezi amini, noma sanaSancho na Bissaka walikuwa wanagonga moja mbili dk za mwsho
Kwetu Tanga Cable zipo ila zinapigwa pin mara kwa mara na kina dstvSisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
- Simba ndani ya canal sports
- Yanga ndani ya bein sports
- Premier league
- La liga
- Serie A
- Ligue 1
- Europa
- Champions league
- Fa
- Carabao
- N.k
Dah! Huo ujinga mbona hawaufanyi huku zanzibarKwetu Tanga Cable zipo ila zinapigwa pin mara kwa mara na kina dstv
Siku hizi nae anapiga chenga kama ronado vileKuna maajabu fulani kayafanya ETH kwa Wan Bissaka huwezi amini, noma sana
Cable inakuwa ni 1080??..yani UHD??Sisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
- Simba ndani ya canal sports
- Yanga ndani ya bein sports
- Premier league
- La liga
- Serie A
- Ligue 1
- Europa
- Champions league
- Fa
- Carabao
- N.k
Kocha anahusika sana kwa viwango vya wachezaji. Tangu aje Ten Hag wachezaji wengi viwango vimepanda. Sisi bado tunapambana na mbeba mizigo wetu PotterKuna maajabu fulani kayafanya ETH kwa Wan Bissaka huwezi amini, noma sana
Aisee nakubaliana na wewe siku hizi anaupiga mwingi sana yaani one two one two na kulamba watu chenga siku hizi kwake ni kitu cha kawaida tu.Kuna maajabu fulani kayafanya ETH kwa Wan Bissaka huwezi amini, noma sana
Tena ni zaidi ya raha jamaniii.Wale mashabiki wa Yanga na Man Utd gonga like tujuane
Kwetu leo rahaaaaaaa![]()
Cable=Analog haina Bandwidth ya kutosha kupitisha data nyingi hivyo.Cable inakuwa ni 1080??..yani UHD??
Huyo potter mumemkabidhi nguvu ya kimamlaka?Kocha anahusika sana kwa viwango vya wachezaji. Tangu aje Ten Hag wachezaji wengi viwango vimepanda. Sisi bado tunapambana na mbeba mizigo wetu Potter