Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.

Shaw ni mzuri kwenye kupeleka mashambulizi mbele (hilo linajulikana) ila kwenye swala la ukabaji hana hayo maajabu yoyote unayojaribu kutuaminisha hapa, hasa anapokutana na mawinga teleza (ndiomaana nikasema nae ni msindikizaji mzuri tu)

Kaangalie ile game yetu na Arsenal uone alivyokuwa anamsindikiza Saka golini.



Sent using Jamii Forums mobile app
Me nasemaga hapa daily! Hatuna budi kumzoea.
 
Sisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.

  • Simba ndani ya canal sports
  • Yanga ndani ya bein sports
  • Premier league
  • La liga
  • Serie A
  • Ligue 1
  • Europa
  • Champions league
  • Fa
  • Carabao
  • N.k
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
Kwetu Tanga Cable zipo ila zinapigwa pin mara kwa mara na kina dstv
 
Sisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.

  • Simba ndani ya canal sports
  • Yanga ndani ya bein sports
  • Premier league
  • La liga
  • Serie A
  • Ligue 1
  • Europa
  • Champions league
  • Fa
  • Carabao
  • N.k
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
Cable inakuwa ni 1080??..yani UHD??
 
Back
Top Bottom