Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jadon Sancho in 49 minutes vs. Leicester City:

93% pass accuracy
43 touches
16/16 final third passes completed
6 dribbles
4 key passes
1 big chance created
1 goal

Back scoring goals again.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_183734_372.jpg
 
Ila leo kacheza vizuri isipokuwa kufunga goli.
Amefanya kazi kubwa sana leo hasa kwenye ukabaji na kuharibu mipango alikuwa yupo karibu kila mahali penye mpira, ni kweli leo kwa mara ya kwanza nimeona kapewa pasi nyingi na amekosa magoli ila siwezi mlaumu kwa kuwa timu imeshinda na pia niwapongeze mabeki na kipa wa Lester maana walisave au kublock mashuti yake.
 
Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.

Shaw ni mzuri kwenye kupeleka mashambulizi mbele (hilo linajulikana) ila kwenye swala la ukabaji hana hayo maajabu yoyote unayojaribu kutuaminisha hapa, hasa anapokutana na mawinga teleza (ndiomaana nikasema nae ni msindikizaji mzuri tu)

Kaangalie ile game yetu na Arsenal uone alivyokuwa anamsindikiza Saka golini.



Sent using Jamii Forums mobile app
Me nasemaga hapa daily! Hatuna budi kumzoea.
 
Sisi tunaotumia cable tunakula raha sana, shilingi 12000 kwa mwezi unaangalia mechi zote.

  • Simba ndani ya canal sports
  • Yanga ndani ya bein sports
  • Premier league
  • La liga
  • Serie A
  • Ligue 1
  • Europa
  • Champions league
  • Fa
  • Carabao
  • N.k
Chief-Mkwawa , huko kwenu darisalama hakuna kampuni za cable tv?
Kwetu Tanga Cable zipo ila zinapigwa pin mara kwa mara na kina dstv
 
Back
Top Bottom