GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,660
- 17,967
Hakuna cha ubaguzi, hakua na uwezo tuu.Hapo ndipo alipokosea Ole, alikuwa anaenda vizuri shida yake alikuwa na ubaguzi wa wachezaji yeye kila mechi ni wachezaji wale wale akawafanya wengine wakakosa furaha na kupoteza uwezo wao.