NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,943
- 12,695
Ushaliwa kwa muhindi hukoWrite your reply...Hii mechi inaisha sare ya 2-2


Mpira wa kisasa unataka kuanzia nyuma (hakuna aliyekataa), ila wachezaji wanaoendana na huo mfumo unao kule nyuma, ukiachana na Martinez?Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.
Kuna mrembo humu alikua anatuwekea sana magoli sijui yupo wapi sasa
Nilijua tu muarabu hawezi pewa timu kamweBREAKING: Sir Jim Ratcliffe’s bid confirmed to be for 69% of #mufc. [Sky Sports]
huyu tajiri munamuonaje?
Ndio yeye na GIF zakeKuna mrembo humu alikua anatuwekea sana magoli sijui yupo wapi sasa
Somebody numbisa nadhani
Huo ni mzimu wa kulizaramo, hautishi hata watoto.Kwa Werghost tumepigwa asee.
Simtetei tena![]()
Ila leo kacheza vizuri isipokuwa kufunga goli.Rasmi Weghorst tumepigwa hakuna mtu pale ..