Nilijua tu muarabu hawezi pewa timu kamweBREAKING: Sir Jim Ratcliffe’s bid confirmed to be for 69% of #mufc. [Sky Sports]
huyu tajiri munamuonaje?
Ndio yeye na GIF zakeKuna mrembo humu alikua anatuwekea sana magoli sijui yupo wapi sasa
Somebody numbisa nadhani
Huo ni mzimu wa kulizaramo, hautishi hata watoto.Kwa Werghost tumepigwa asee.
Simtetei tena![]()
Ila leo kacheza vizuri isipokuwa kufunga goli.Rasmi Weghorst tumepigwa hakuna mtu pale ..
Naona kuna muhuni kashamfungia hukoNdio yeye na GIF zake
Mainoo mtu sana huyu dogoHuyu dogo kobi anajua
....PURE REDHuyu Sancho naye ashaanza kupewa madini aliyopewa kaka yake (Rashford) kipindi hayupo. Taratibu tutafika tu.
Mechi ya leo Rashford angecheza 90' angeondoka na mpira.
Weghorst ukiacha kufunga (ambayo ndiyo kazi yake kuu) ameupiga mwingi sana leo, kuanzia kukaba mpaka kushambulia hasa 2nd half.
Leicester walitepeta ilitakiwa waoge mvua ya magoli, cha muhimu points 3. Macho yangu yatahamia kwa Barcelona vs Cadiz hapo baadae.
EtH is cooking!!!![]()
Du. Umewapa za usoNzi wa chooni hawapiti huu uzi. Tena wale nzi wa bluu wasipite hapa timu yao imezidiwa magoli na Rashford.
Arsenyani shikilia bomba vizuri.