Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marcus Rashford has now scored 24 goals in all competitions so far this season, that’s as many as Cristiano Ronaldo managed last season when he was Manchester United’s top scorer.

Filling his boots.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_182817_884.jpg
 
Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.
Mpira wa kisasa unataka kuanzia nyuma (hakuna aliyekataa), ila wachezaji wanaoendana na huo mfumo unao kule nyuma, ukiachana na Martinez?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Sancho naye ashaanza kupewa madini aliyopewa kaka yake (Rashford) kipindi hayupo. Taratibu tutafika tu.

Mechi ya leo Rashford angecheza 90' angeondoka na mpira.

Weghorst ukiacha kufunga (ambayo ndiyo kazi yake kuu) ameupiga mwingi sana leo, kuanzia kukaba mpaka kushambulia hasa 2nd half.

Leicester walitepeta ilitakiwa waoge mvua ya magoli, cha muhimu points 3. Macho yangu yatahamia kwa Barcelona vs Cadiz hapo baadae.

EtH is cooking!!! 🔥
 
Back
Top Bottom