ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,144
Naona kuna muhuni kashamfungia hukoNdio yeye na GIF zake
Naona kuna muhuni kashamfungia hukoNdio yeye na GIF zake
Mainoo mtu sana huyu dogoHuyu dogo kobi anajua
....PURE REDHuyu Sancho naye ashaanza kupewa madini aliyopewa kaka yake (Rashford) kipindi hayupo. Taratibu tutafika tu.
Mechi ya leo Rashford angecheza 90' angeondoka na mpira.
Weghorst ukiacha kufunga (ambayo ndiyo kazi yake kuu) ameupiga mwingi sana leo, kuanzia kukaba mpaka kushambulia hasa 2nd half.
Leicester walitepeta ilitakiwa waoge mvua ya magoli, cha muhimu points 3. Macho yangu yatahamia kwa Barcelona vs Cadiz hapo baadae.
EtH is cooking!!!![]()
Du. Umewapa za usoNzi wa chooni hawapiti huu uzi. Tena wale nzi wa bluu wasipite hapa timu yao imezidiwa magoli na Rashford.
Arsenyani shikilia bomba vizuri.



