



Amefanya kazi kubwa sana leo hasa kwenye ukabaji na kuharibu mipango alikuwa yupo karibu kila mahali penye mpira, ni kweli leo kwa mara ya kwanza nimeona kapewa pasi nyingi na amekosa magoli ila siwezi mlaumu kwa kuwa timu imeshinda na pia niwapongeze mabeki na kipa wa Lester maana walisave au kublock mashuti yake.Ila leo kacheza vizuri isipokuwa kufunga goli.
Chelsea ni kakikundi kawavuta BangiNzi wa chooni hawapiti huu uzi. Tena wale nzi wa bluu wasipite hapa timu yao imezidiwa magoli na Rashford.
Arsenyani shikilia bomba vizuri.
Naombeni like za kutosha katika hii quoteMapemaa saana 3pointsView attachment 2522175