Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.Hili jamaa nalo la wapi..unamjua Shaw wewe kweli?
Kajinga sana .Sancho nini hapa.
Huyo jamaa ni mpumbavu sana ila bado hajajijua.Yupo sahihi msindikizaji sana. Utakuta wametoana katikati mpaka golini.
Angalia Leicester mwanzoni.
Ushaliwa kwa muhindi hukoWrite your reply...Hii mechi inaisha sare ya 2-2


Mpira wa kisasa unataka kuanzia nyuma (hakuna aliyekataa), ila wachezaji wanaoendana na huo mfumo unao kule nyuma, ukiachana na Martinez?Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.
Kuna mrembo humu alikua anatuwekea sana magoli sijui yupo wapi sasa