Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.Hili jamaa nalo la wapi..unamjua Shaw wewe kweli?
Kajinga sana .Sancho nini hapa.
Huyo jamaa ni mpumbavu sana ila bado hajajijua.Yupo sahihi msindikizaji sana. Utakuta wametoana katikati mpaka golini.
Angalia Leicester mwanzoni.