Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20230219_182301_All%20Goals.jpg
 
Hili jamaa nalo la wapi..unamjua Shaw wewe kweli?
Shida yako kubwa huwa ni kuhisi unaujua mpira kuliko wenzako kumbe ni mlala hoi tu, na hili ni tatizo nililoliona kwako tangu zamani ila nadhani wadau humu huwa wanakupuuza.

Shaw ni mzuri kwenye kupeleka mashambulizi mbele (hilo linajulikana) ila kwenye swala la ukabaji hana hayo maajabu yoyote unayojaribu kutuaminisha hapa, hasa anapokutana na mawinga teleza (ndiomaana nikasema nae ni msindikizaji mzuri tu)

Kaangalie ile game yetu na Arsenal uone alivyokuwa anamsindikiza Saka golini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo sahihi msindikizaji sana. Utakuta wametoana katikati mpaka golini.

Angalia Leicester mwanzoni.
Huyo jamaa ni mpumbavu sana ila bado hajajijua.

Shaw ni mzuri team ikiwa inashambulia, ila kwenye kukaba huwa anasindikiza sana anapokutana na mawinga wanaoijua kazi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
24 goals and 8 assists this season for Marcus Rashford, unbelievable form — also a goal in 7 consecutive games @ Old Trafford 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 #MUFC

“We can’t lose him, of course — we’re working to extend his contract”, Ten Hag said today.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_182804_452.jpg
 
Marcus Rashford has now scored 24 goals in all competitions so far this season, that’s as many as Cristiano Ronaldo managed last season when he was Manchester United’s top scorer.

Filling his boots.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_182817_884.jpg
 
Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.
Mpira wa kisasa unataka kuanzia nyuma (hakuna aliyekataa), ila wachezaji wanaoendana na huo mfumo unao kule nyuma, ukiachana na Martinez?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom