buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.
De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.
Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.
Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.
Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.
Maoni yangu tu.
Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.
Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.
Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.
Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.
Maoni yangu tu.
Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.




