Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
 
Hawa watu Dalot Lindelof na Shaw hawapaswi kuanza pamoja.

Unakuta Shaw na Lindelof wasindikizaji sana.

Dalot akili ipo kushambulia tukipoteza mpira ndio hivyo mpira ni threat tena.

Wan Bissaka aiingie bana kupunguza makali ya kushambuliwa.
Ungekuwa hapa karibu ningekupiga bonge la mbata..ongea ujinga wako wote usimguse Shaw.
 
Wout Weghorst made four tackles in the first half against Leicester, more than any other player on the pitch

[BBC Sport]
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230117_153841_008.jpg
 
David De Gea’s first half by numbers vs. Leicester City:

27 touches
17 passes completed
7 long balls completed
2 saves
2 saves from close range
1 punch
1 clearance

Vital saves at 0-0.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_180231_050.jpg
 
Alafu wakuu hii kitu ya timu yetu kujaribu kuimplement kuanzisha mashambulizi kuanzia mabeki sio nzuri kwetu.

De Gea ni traditional wa kizamani hana pass nzuri za mipira mara awapasie wapinzani.

Kingine mabeki tulionao wengine ni migogoro ukitoa Martinez wengine ndio hivyo hawana confidence ya kuturn na mpira.

Inapelekea wenyewe ndio tunatengeneza hatari langoni.

Why isiwe hivi, piga pembeni piga kati rushia winga, piga through ball kwa washambuliaji.



Maoni yangu tu.


Yaani tunasababishaga hatari langoni kifala kisa kumuiga Pep.
Hayo ni maoni yako..mpira wa kisasa lazima uanzishie mashambulizi nyumba (jitahidi uwe unaangalia mechi nyingi nyingi za timu tofauti tofauti utaelewa). Mipira ya kupiga hovyo mbele ni hatari sana ukitua kwa adui na spidi ya wachezaji sekunde moja wamefika golini kwako. Lazima mipira ianze nyuma ili kuwavuta wapinzani ili rashford, whergost na garnacho na wengine waweze kufungua vyumba (yaani wapate nafasi) MIPIRA YA KUPIGA MBELE NI MIGUMU KWANI KILA MTU ANAKUWA AMEKABWA NA ADUI HUWEZI KUPATA MTU YUKO FREE UMPIGIE.
 
Martinez mnyama sana akiwa na mpira mguuni huna wasiwasi.

Hawa Leicester 1st half wamekosa tu bahati, leo United wamefanya makosa mengi kama ile mechi ya Barca goli la pili wanacheza karibu na goli huku kikosi chetu hakina wapigaji pasi wazuri.

Butua-butua nazo zinafanya tushambuliwe kila muda kwa kupoteza mipira. Acha tuone 2nd half itakuwaje.
 
Back
Top Bottom