christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,201
- 5,135
Aisee huyu mwamba huwa namkubali sana anakazi chafu pale kati utadhani ni mchezaji kutoka Paraguay.Wakuuuu...... tupate kiungo kama jonjo shelvey. Ericksen hana mapafu na ni pancha sana
Aisee huyu mwamba huwa namkubali sana anakazi chafu pale kati utadhani ni mchezaji kutoka Paraguay.Wakuuuu...... tupate kiungo kama jonjo shelvey. Ericksen hana mapafu na ni pancha sana
Ronaldo fala sana, angepunguza mdomo angeondoka na medali na heshima kubwa sana pale Old Trafford.
Ronaldo fala sana, angepunguza mdomo angeondoka na medali na heshima kubwa sana pale Old Trafford.
Ila yote kwa yote amemrahisishia EtH kazi yake.
Ronaldo hakuwa wa kwanza kulalamika kuhusu Glazers.Lkn Bila Ya Interview Yake ile Kuanika Uozo Wote Wa Glazers Huenda Timu Isingeuzwa Leo.
Hamna kitu kama hicho..Interview tu ya Ronaldo haiwezi kusababisha Glazzers wauze timu.Lkn Bila Ya Interview Yake ile Kuanika Uozo Wote Wa Glazers Huenda Timu Isingeuzwa Leo.
Ronaldo hakuwa wa kwanza kulalamika kuhusu Glazers.
Kabla ya hapo watu walishaanza kuchukua hatua juu ya hawa Glazers.
Hamna kitu kama hicho..Interview tu ya Ronaldo haiwezi kusababisha Glazzers wauze timu.
Mwaka juzi mashabiki waligoma hadi game yetu vs Liverpool ikahairishwa...Glazzers out ni kampeni ya muda mrefu.
Hii staili nahisi kama kupinga uonevu au ubaguzi dhidi ya watu weusi maana moana ndio wanatumia sana siku hizi kuanzia Welbeck ,Saka , Rashford na Tchoumeni WC22..Na kuna mmoja hapo kazaliwa karne iliyopitaView attachment 2521961
Duuh, mpka umeamua, kupotea kwa makusudiDuuuh Simba yangu

Nimelegea miguu yoteDuuh, mpka umeamua, kupotea kwa makusudi![]()
Jogoo walipata Mtu wa kumtupia Lawama Ile fainali ila bila boko za jamaa kipigo kilikuwa un-kwepable.