Wote tunafatilia soka bro tunapotoa facts huwa tunakua na data!. Hakuna Man utd katika dunia hii ilishawahi kishinda Camp nou!. Hapa mimi na wewe nani alikuwa mdogo sasaMwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Si ndio maana umasikini hauishiMashekhe uchwarwa wa huku wanasema mpira ni dhambi na ni ufreemason![]()
Well barcelona kashinda old trafford mara moja tuuWote tunafatilia soka bro tunapotoa facts huwa tunakua na data!. Hakuna Man utd katika dunia hii ilishawahi kishinda Camp nou!. Hapa mimi na wewe nani alikuwa mdogo sasaView attachment 2521379

Bonge la jezi ni zame dukani tu sasa.Jezi zenu za msimu ujao baada ya waarabu kuchukua timu View attachment 2521642
Aisee huyu mwamba huwa namkubali sana anakazi chafu pale kati utadhani ni mchezaji kutoka Paraguay.Wakuuuu...... tupate kiungo kama jonjo shelvey. Ericksen hana mapafu na ni pancha sana
Ronaldo fala sana, angepunguza mdomo angeondoka na medali na heshima kubwa sana pale Old Trafford.
Ronaldo fala sana, angepunguza mdomo angeondoka na medali na heshima kubwa sana pale Old Trafford.
Ila yote kwa yote amemrahisishia EtH kazi yake.
Ronaldo hakuwa wa kwanza kulalamika kuhusu Glazers.Lkn Bila Ya Interview Yake ile Kuanika Uozo Wote Wa Glazers Huenda Timu Isingeuzwa Leo.
Hamna kitu kama hicho..Interview tu ya Ronaldo haiwezi kusababisha Glazzers wauze timu.Lkn Bila Ya Interview Yake ile Kuanika Uozo Wote Wa Glazers Huenda Timu Isingeuzwa Leo.
Ronaldo hakuwa wa kwanza kulalamika kuhusu Glazers.
Kabla ya hapo watu walishaanza kuchukua hatua juu ya hawa Glazers.