Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.

Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Wote tunafatilia soka bro tunapotoa facts huwa tunakua na data!. Hakuna Man utd katika dunia hii ilishawahi kishinda Camp nou!. Hapa mimi na wewe nani alikuwa mdogo sasa
Screenshot_20230218-111646_1.jpg
 
Game ya Newcastle jumapili ijayo,tarehe 26/2 inamaana Man utd itakua imecheza jumla ya mechi 17 kwa muda wa siku 57,sawa na wastani wa mechi moja kila baada ya siku 3...

Naimani kwa wenzetu sidhan kama wangemaintain hata iyo nafasi ya pili waliyonayo...
 
Waarabu wakiichukua hii timu itakuwa better kuliko huyu mwuingereza,,,, .watakuja na uwekezaji mzuri, maboresho miundombinu na sajili za maana!


Kwanza anataka akope bank ! Hii timu Ni ya kimalkia/kifalme unashangaa jamaa anapewa!

Liverpool na Manchester United ndo timu pekee zinazobeba utamaduni wa uingereza na falme zake toka enzi na enzi
 
Back
Top Bottom