Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hamna kitu kama hicho..Interview tu ya Ronaldo haiwezi kusababisha Glazzers wauze timu.

Mwaka juzi mashabiki waligoma hadi game yetu vs Liverpool ikahairishwa...Glazzers out ni kampeni ya muda mrefu.

Najua Ni Kampeni iliyoanza Muda Mrefu Tu Bila Mafanikio Mpk Kufikia Hivi Leo, Lkn Pia Interview Ya Ronaldo Imechagiza Pia Hawa Jamaa Kujiondoa..
 
Na kuna mmoja hapo kazaliwa karne iliyopita
20230218_200852.jpg
 
Nick Pope kala umeme huko.

Good news kuelekea fainali. Dubraka sina uhakika kama ataweza kucheza maana alichezea United hata tukibeba kombe atachukua medali kama mchezaji wa United.

Tushindwe sisi tu.
Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??
 
Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??
Wakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.

Newcastle wakishinda hatapata medali ya mshindi kwasababu jina lake halipo kwenye kikosi cha Newcastle kilichosajiliwa kwenye Carabao Cup.
 
Facundo Pellistri: “It’s incredible [to be managed by Ten Hag]. He has a very good mentality. In the first days he arrived here, he was very clear with his ideas and I think we are looking [like we understand his ideas] on the pitch every match.”

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_003052_380.jpg
 
Wakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.

Newcastle wakishinda hatapata medali ya mshindi kwasababu jina lake halipo kwenye kikosi cha Newcastle kilichosajiliwa kwenye Carabao Cup.
Dah, changamoto. Imagine Newcastle wamelose afu jamaa anaingia na medali
 
Back
Top Bottom