Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nick Pope kala umeme huko.

Good news kuelekea fainali. Dubraka sina uhakika kama ataweza kucheza maana alichezea United hata tukibeba kombe atachukua medali kama mchezaji wa United.

Tushindwe sisi tu.
Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??
 
Mapemaa saana 3points
Screenshot_20230218-212345_Facebook.jpg
 
Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??
Wakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.

Newcastle wakishinda hatapata medali ya mshindi kwasababu jina lake halipo kwenye kikosi cha Newcastle kilichosajiliwa kwenye Carabao Cup.
 
Facundo Pellistri: “It’s incredible [to be managed by Ten Hag]. He has a very good mentality. In the first days he arrived here, he was very clear with his ideas and I think we are looking [like we understand his ideas] on the pitch every match.”

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_003052_380.jpg
 
Wakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.

Newcastle wakishinda hatapata medali ya mshindi kwasababu jina lake halipo kwenye kikosi cha Newcastle kilichosajiliwa kwenye Carabao Cup.
Dah, changamoto. Imagine Newcastle wamelose afu jamaa anaingia na medali
 
Habari kubwa hii. Quatar wapo serious kuinunua United.View attachment 2521118

Sheikh Hamad Al Than apewe timu hii, ni mtu sahihi sana kwanza ni kijana then die hard utd fan, kwa mujibu wake mwenyewe anasema alianza kuishabikia utd akiwa na 10 years old ilikua mwaka 1992 baada ya ile “class of 92”
Kikubwa zaidi ainunui kwa mkopo kama kina glazers walichotufanyia mabwege hawa, yeye ni mzee wa cash arab money, kaweka wazi atainvest in and out of pitch na atarudisha glory days

Kikubwa zaidi haters wafahamu huyu ana mzigo kuwazidi maboss wa man city
 
Umenena vema mkuu ila tatizo la fred ni muendelezo tu. Wiki hii amesifiwa kwa kiwango bora ila hutarajii kuona kiwango kama hicho mechi ijayo.

Marcus kiaina anaondoka kwenye hii hali ya kudumisha kiwango chake siku hizi ingawa ni kwa kiasi fulani.
Hawa wote watasepeshwa endapo muarabu atachukua hii timu, wachezaji wa timu ndogo kasoro de gea.
 
Back
Top Bottom