Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,325
Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.Hongereni kwa ushindi jana nyie manure maan sishani kama kuna team kutoka EPL imeshawi kuondoka na ushindi pale camp nou .Kupata sare ni ushindi mkubwa sana kwenu.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.


The Qatari offer for #mufc is 'about 5 billion's




