BREAKING NEWS
Qatari Royal Family have promised to pay all the debts of the club, including those of transfers in the past years.
Investment and re-construction of the Old Trafford stadium up to €1.5b, including the increase of the stadium's capacity up to 100,000.
#Terry flewers/The footbal terrace
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2520661
Namcheck tu mimi mwenyewe
Ww ungekuwa unacheza ungempa pasi ngongoti kweli 😂😂😂😂Karibu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
Huyo jamaa me nilishamdharaugu zamani sana.Weghost amuongezee mganga wake malipo maana sio kwa kumpumbaza hvyo Ten Haag
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Hapo kwa Fred, sikuungi mkono.Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.Hongereni kwa ushindi jana nyie manure maan sishani kama kuna team kutoka EPL imeshawi kuondoka na ushindi pale camp nou .Kupata sare ni ushindi mkubwa sana kwenu.
Kama uliweza kusema Yanga ni tishio Kwa team za Ulaya unaonekana Una depression au Una kichaa kinakunyemeleaMagoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Mkuu goal la Scholes lilikuwa OT, Catalunya tulidraw 0-0Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Sio kocha tu na wachezaji wake mpaka sisi mashabiki wa Man Utd wa huku Tandahimba tuko full confidence na timu pendwa ya dunia nzima.Mbona kocha mpaka wachezaji wanajiamini sana hivi![]()
Baada ya hapo kilichofuata utaki hata kukumbuka.Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Hamna alichokifanya jana mpuuzi anarukaruka tuHuyo jamaa me nilishamdharaugu zamani sana.
Japo game ya jana sikuiona, lakini jamaa najua ni mbovu, anacheza sababu ni muholanzi tu
Hii mechi ndio ilifanya nihame Liverpool na kushabikia MANCHESTER United Yule half Albino alipiga shuti kilo 100 puyol akakwepesha kichwa Victor Valdes akaruka ushaidi tuMwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Hii mechi Ronaldo ndio alikosa penatiMkuu goal la Scholes lilikuwa OT, Catalunya tulidraw 0-0
Rudisha kumbukumbu zako, Camp Nou game iliisha 0 : 0Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.
Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.