Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Snitch
20230217_193720.jpg
 
BREAKING NEWS

Qatari Royal Family have promised to pay all the debts of the club, including those of transfers in the past years.

Investment and re-construction of the Old Trafford stadium up to €1.5b, including the increase of the stadium's capacity up to 100,000.

#Terry flewers/The footbal terrace
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2520661

Jamaa wachukue tu hii team! Wale wamarekani wanatusumbua sanaa nyakati za usajili!
 
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Hapo kwa Fred, sikuungi mkono.
Fred anakichafua mpaka usingizi unakata.
 
Hongereni kwa ushindi jana nyie manure maan sishani kama kuna team kutoka EPL imeshawi kuondoka na ushindi pale camp nou .Kupata sare ni ushindi mkubwa sana kwenu.
Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.

Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
 
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Kama uliweza kusema Yanga ni tishio Kwa team za Ulaya unaonekana Una depression au Una kichaa kinakunyemelea


 
Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.

Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Baada ya hapo kilichofuata utaki hata kukumbuka.

Mpaka leo huu mwaka wa 15 hujaifunga Barca.

Jana mmepata draw mmefurahi kweli.
 
Mwaka 2008 Manchester United ilimfunga Barcelona hapo hapo Camp nou, goli lilifungwa na Poul schols.

Tatizo wewe ulikua mdogo sana, bado ulikua unakunya kwa mafungu, unakunya hapa unainuka, unaenda kunya pale, sisi kaka zako tunacheki soccer.
Hii mechi ndio ilifanya nihame Liverpool na kushabikia MANCHESTER United Yule half Albino alipiga shuti kilo 100 puyol akakwepesha kichwa Victor Valdes akaruka ushaidi tu

Umefanya nimkumbuke Dmitry barbatov na Rafael
 
Back
Top Bottom