Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Most Clean Sheets for Man Utd

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_154918_489.jpg
 
Ten Hag on Rashford contract expiring in 2024: “Rashford’s new deal is a priority. We are working on it, in the background we're working hard. We have to keep Marcus, of course".

“First day we met, I told him: I want to see your smile!”.

“He's in a happy place now”.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230219_154820_573.jpg
 
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof

Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.

Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.

Why hawamfikirii facudo
Mimi na wewe sijui mkuu japo kijana anaonyesha impact kubwa sana akiwa uwanjani.
 
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof

Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.

Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.

Why hawamfikirii facudo
Kocha ana tabia ya "kutunza" wachezaji kwa ajili ya mechi ijayo. Naona Bissaka na Varane wametunzwa kwa ajili ya Barcelona
 
Back
Top Bottom