Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Reporting for duty 🫡

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |View attachment 2522998View attachment 2523001View attachment 2522999View attachment 2523000
IMG_20230219_154738_331.jpg
 
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof

Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.

Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.

Why hawamfikirii facudo
Mimi na wewe sijui mkuu japo kijana anaonyesha impact kubwa sana akiwa uwanjani.
 
Kosi la leo nina mashaka na upande Wa Dalot na Lindelof

Lindelof tatizo lake anasindikiza mpaka kwenye box, angekaa wan bissaka badala ya Dalot. Hakuna kusindikiza.

Gernacho kama kawa akianza majanga, ngoja tuone.

Why hawamfikirii facudo
Kocha ana tabia ya "kutunza" wachezaji kwa ajili ya mechi ijayo. Naona Bissaka na Varane wametunzwa kwa ajili ya Barcelona
 
Back
Top Bottom