mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 789
- 1,264
Habari kubwa hii. Quatar wapo serious kuinunua United.View attachment 2521118
Sheikh Hamad Al Than apewe timu hii, ni mtu sahihi sana kwanza ni kijana then die hard utd fan, kwa mujibu wake mwenyewe anasema alianza kuishabikia utd akiwa na 10 years old ilikua mwaka 1992 baada ya ile “class of 92”
Kikubwa zaidi ainunui kwa mkopo kama kina glazers walichotufanyia mabwege hawa, yeye ni mzee wa cash arab money, kaweka wazi atainvest in and out of pitch na atarudisha glory days
Kikubwa zaidi haters wafahamu huyu ana mzigo kuwazidi maboss wa man city







