Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tafsiri isiyo rasmi:

"Baada ya uzembe wa wamiliki wa Liverpool na kukataa kutoa asilimia inayozidi 49% (asilimia ya kudhibiti ambayo maamuzi hufanyika), dira ilibadilika kabisa kwa Manchester United, hatua rahisi sana kutangaza ununuzi wa United."View attachment 2520253
Ukiwa na hela raha sana.

Una-tweet kwa lugha yako, asielewa shauri zake.
 
Kuna vyeo vya kipuuzi sana.
IMG_20230217_135705.jpg
 
Kweli kabisa mm mara ya mwisho kuona mechi kali kama ya jana ilikuwa ni

Wazee fc vs mwandiga fc

Ilikuwa ni fainali ya kombe la Ng'ombe mechi ilitoka sare ya 8:8

Penati hakuna aliyefunga hata moja wakarudia kesho yake mechi ikaisha 11 : 11

Zikapigwa penati kila mtu akakosa ikabidi Ng'ombe ichinjwe wagawane nyama
Chai kama hii nimeisikia katika vijiwe vingi sana..
 
David de Gea: “It is always great to play the second leg at home, with our fans and we are in a great way. It is perfect for us to go there and play our game and win the game.”

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230217_153953_049.jpg
 
Popote walipo wanafki wafikishiwe salamu kuwa Man Utd ni moto wa kuotea mbali sasa hivi kwa ubora wa Kocha na mpira mzuri wa matokeo chanya.

FT Barca 2 - 2 Man Utd.

Hongereni Mazee mmeupiga mwingi sana.

Kulia kupokezana, sasa hivi ni zamu yetu Mashabiki wa Chelsea FC kuomboleza kwa vipigo na droo hadi watapofukuzwa wala mishahara bure kama;

1. Pulisic.
2. Havertz.
3. Mount.
4. Cheek.
5. Cucurela.
6. Ziyech.

HP hatuna namna inatulazimu kumvumilia tu maana Wamiliki na bodi kuu ya timu ina project naye muda mrefu tu.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom