Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Sasa mkuu, unaposema "ni utoto tu wa Barca.." si ndio madhaifu yenyewe hayo ambayo hufanya timu zifungwe na watu wabebe makombe? Mpira ni mchezo wa makosa.

Hata MUFC ya Ole ilikuwa timu nzuri ila "ni utoto tu wa akina Pogba na ubishoo ila tulikuwa tubebe makombe."

Hakuna muujiza kwenye mpira, unafanya makosa na unaadhibiwa watu wanabeba makombe. Acha tantalila nyingi, wewe kwa sasa hauna timu ya kutisha. Kunywa maji utulie.

Kumbuka umeitafuta sare kwenye uwanja wako wa nyumbani na hapo ulikuwa unacheza na MUFC ambayo haina Martinez wala Sabitzer.
Hongereni kwa ushindi jana nyie manure maan sishani kama kuna team kutoka EPL imeshawi kuondoka na ushindi pale camp nou .Kupata sare ni ushindi mkubwa sana kwenu.
 
Gemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..
Kweli kabisa mm mara ya mwisho kuona mechi kali kama ya jana ilikuwa ni

Wazee fc vs mwandiga fc

Ilikuwa ni fainali ya kombe la Ng'ombe mechi ilitoka sare ya 8:8

Penati hakuna aliyefunga hata moja wakarudia kesho yake mechi ikaisha 11 : 11

Zikapigwa penati kila mtu akakosa ikabidi Ng'ombe ichinjwe wagawane nyama
 
Kutoka kwa GEORGE Ambangile


Hii mechi utasema mpira wa kikapu end to end, lakini pia mistakes nyingi hasa zile basic tu bad passing, bad control, bad positionally, katika hii level ukifanya mistakes kama hizi 9/10 mpira upo wavuni

Timu zote mbili zilikuwa zinalazimisha mwenzake afanye makosa wakiwa wanamiliki mpira, press mtu mwenye mpira halafu funga njia za pasi na kulazimisha wapoteze mpira (Forced TurnOvers)

Kutoka kwa Pedri iliwa limit Barca kucheza na namba 10 wawili wakiwa na mpira kama wanavyofanyaga (Pedri na Gavi) matokeo yake wakawa wanatumia pembeni mwa uwanja hasa baada ya Kounde kwenda kucheza RB (combo yeye na Raphinha)

Man United waliamua kurahisisha mpira wakiamini Barca wanataka ku press sana wakawa wanacheza direct sana ili kuipita pressing ya Barca (Bypassing the press) na kushambulia space iliyoachwa wazi na highline ya Barca walivyokuwa wanakabia juu.

NOTE

1: Ter Stegen na De Gea kwa nyakati tofauti wamefanya savez nzuri kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa kwa timu zao

2: Kuna wachezaji ndani ya Man United wakiwa na mali mguuni unashikilia moyo wako

3: Barca watatamani wachezaji wao wengi wapone kuelekea mechi ya marudiano maana watamkosa pia Gavi ambaye kadi ya njano ya leo inafanya akose mechi ya OT, kama Man United wanavyomuhitaji sana Anthony Martial

4: Marcus Rashford anazidi kuwa hatari

5: WATAKUJA PALE MAGETONI AMBAPO (Arsenal Liverpool City na Spurs ) wote wanajua kilichowakuta tena Barca watakuja huku jukwaani kuna wale wanaovaa kanzu nyeupe na minoti yao

FT: Barca 2-2 Man United
Screenshot_20230114_180155.jpg
 
Tafsiri isiyo rasmi:

"Baada ya uzembe wa wamiliki wa Liverpool na kukataa kutoa asilimia inayozidi 49% (asilimia ya kudhibiti ambayo maamuzi hufanyika), dira ilibadilika kabisa kwa Manchester United, hatua rahisi sana kutangaza ununuzi wa United."
Screenshot_20230217_114632.jpg
 
Kusema kweli sikuwa na uhakika kama man utd angepishana na Barca hivi,nimefarijika sana na project ya EtH.

Hata anapokosekana mchezaji mmoja muhimu bado timu haikosi mwelekeo kama zamani na kuwa kichaka cha kufichia ubovu wa timu nzima na/au mwalimu. Interview zake anaanika mapungufu yaliyopo,ila yule rafiki yake DAEMUSHIN angeisha anza mambo ya "the boys..."

Huyu Erik tumpatieni mkataba mapema kama tajiri miluzi hajaweka dau maana keshasajili kila idara kasoro mwalimu ili timu kwake.

Mzee wa “mountains are there to be climbed”
 
Kwa timu hipi ya kunifunga?

Una timu mbovu sana.

Wachezaji wazito na wavivu kama wamebebeshwa dunia mgongoni.

Mkipata mpira hata kukaa nao kwa sekunde tano ni mtihani.

Ni utoto tu wa Barca ila ulikua unakufa nyingi.

Timu yenu still inategemea miujiza kushinda na sio uwezo.
subiri mechi ijayo ambayo the butcher na sabitzer watakuwepo ndani huku gavi na pedri wakikosa mechi hiyo
 
Shida ya madogo huwa hawawezi kumanage sifa wanazopewa, dogo sasahivi anawaza afunge yeye tu.

Hata kwenye nafasi ambayo anatakiwa kutoa pasi ili mwenzie asukumie mpira wavuni, yeye ataforce kufunga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni udhaifu wake wa muda mrefu.sioni kama atakua-matured kama Mbappe.
 
Tafsiri isiyo rasmi:

"Baada ya uzembe wa wamiliki wa Liverpool na kukataa kutoa asilimia inayozidi 49% (asilimia ya kudhibiti ambayo maamuzi hufanyika), dira ilibadilika kabisa kwa Manchester United, hatua rahisi sana kutangaza ununuzi wa United."View attachment 2520253
Ukiwa na hela raha sana.

Una-tweet kwa lugha yako, asielewa shauri zake.
 
Kweli kabisa mm mara ya mwisho kuona mechi kali kama ya jana ilikuwa ni

Wazee fc vs mwandiga fc

Ilikuwa ni fainali ya kombe la Ng'ombe mechi ilitoka sare ya 8:8

Penati hakuna aliyefunga hata moja wakarudia kesho yake mechi ikaisha 11 : 11

Zikapigwa penati kila mtu akakosa ikabidi Ng'ombe ichinjwe wagawane nyama
Chai kama hii nimeisikia katika vijiwe vingi sana..
 
David de Gea: “It is always great to play the second leg at home, with our fans and we are in a great way. It is perfect for us to go there and play our game and win the game.”

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230217_153953_049.jpg
 
Back
Top Bottom