Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu humu hua hawaoni kabisa mchango wa Anthony kwenye timu, ila yule jamaa pamoja na maujingaujinga yake hua analeta balance kubwa sana kwenye timu.
Uwepo wake hua unapunguza kwa kiwango kikubwa mashambulizi upande wetu. View attachment 2519238
Ile game ya Arsenal alivyotolewa ule upande kisha akaingizwa Fred team iliyumba, mpaka baadar sana alipokuja kumuweka Garnacho.

Antony ana umuhimu wake..
 
GGMU
Screenshot_2023_0216_213824.jpg
 
Back
Top Bottom