rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Kufungwa mara kwa mara kunaweza kukufanya uwe hivi. Someni hii BBC News - Manchester United fan calls 999 asking for Alex Ferguson
cc belo, nzi,dondonald
cc belo, nzi,dondonald
Mata sio World Class ni bench warmer. Nakubali ana quality lakini huwezi kumweka katika mabano ya World class, kama angekuwa world class asingesugulia benchi Chelsea. Jamaa alikuwa desperate kuondoka Chelsea hata Newcastle wangempandia dau angetimua.
Jose huwa anachemka sana...kamfanyia fitna LUKAKU huyo sasa anang'aa Everton...same way to #Mata , he is a good playerDuh!
Kwa hiyo Torres anapokuwa bench naye anakuwa siyo world class player? Kwa hiyo Rooney alivyokuwa akipigwa benchi na SAF akawa sio world class player? Cesc anavyokuwa bench Barca anakuwa siyo world class player? Kwa hiyo Willian kucheza mbele ya Mata ndiyo anakuwa world class player?
Kwa sababu anakuja United eti sasa Mata anaonekana mchezaji wa kawaida. Lakini wanasahau alivyokuwa mchezaji bora wa Chelsea toka amehamia pale. Jose kuwajaza ujinga, nao wanakula, badala ya kuchanganya na za kwao!
If You arae true fan..then Just be there to support your shit..wananishawishi kuikacha timu yangu nzuri..na wewe u mmoja wao?
Mata sio World Class ni bench warmer. Nakubali ana quality lakini huwezi kumweka katika mabano ya World class, kama angekuwa world class asingesugulia benchi Chelsea. Jamaa alikuwa desperate kuondoka Chelsea hata Newcastle wangempandia dau angetimua.
Na Nemanja Mati M.23 = Chenchi M.3
Duh!
Kwa hiyo Torres anapokuwa bench naye anakuwa siyo world class player? Kwa hiyo Rooney alivyokuwa akipigwa benchi na SAF akawa sio world class player? Cesc anavyokuwa bench Barca anakuwa siyo world class player? Kwa hiyo Willian kucheza mbele ya Mata ndiyo anakuwa world class player?
Kwa sababu anakuja United eti sasa Mata anaonekana mchezaji wa kawaida. Lakini wanasahau alivyokuwa mchezaji bora wa Chelsea toka amehamia pale. Jose kuwajaza ujinga, nao wanakula, badala ya kuchanganya na za kwao!
ebana nilikwambia hamia ARSENAL utaweza kupata nafasi ya kubeba hata madeli ya ice cream. Hii timu bora mgawane jezi kama Pompey lol
Umemsikia Fergie alichosema leo kuhusu suala la ubingwa??
Nimesikia mpirani watangazaji wanadai kasema Arsenal defence sio nzuri kama inavyosifika..... Kasema nini? kuwa Man utd bado mna chance ya kubeba domestic trebles? lol
Utatukubalii tuu, Ngoja hii window ya january iishe uone vifaa vinavyokuja
Kocha wako keshaanza kuweweseka (Ohh hizi ni njama) kuona kifaa Mata kinatua old traford
hahaha hata Fellaini alipotua mlisema ni bonge la kifaa. Wengine hapa wanadai Kagawa hawafai. Vifaa vitakavyokuja summer vitakuwa level ya World Class Welbeck, Young.
Fergie kasema timu 6 zina uwezo wa kuchukua ubingwa na la muhimu alilolizungumzia ni kuwa kipindi hiki ndio UTD inaonyeshaga makali.
Huku RVP huku Wayne huku Juan dimba la kati atakuwa anazunguka PP (anarudi nyumbani), kweli anachosema Fergie ninakubaliana nacho
Alipokuja Fellaini , Wenger hakulalamika, shituka kwanini ujio wa Mata unamuwewesesha?
Hahahaha kwahiyo Sir Alex hatakiwi kuzungumza ukweli ? {juu ya hizo timu 6 minus liverpool}
Mziki wa Mata unaanza mwaka huu, wewe angalia uone
Pogba anarudi home kuja kurudisha heshima yetu
RVP atacheza msimu huu wote huu {akirudi uwanjani}[/QUOTE]
Yeah, akirudi uwanjani.. Miaka 8 tulikuwa tunasema hivyo hivyo akirudi akirudi.Jamaa anafaidi 100,000+GB pounds a week, akirudi atacheza wiki mbili, tatu then ataumia hadi mid-late April atarudi kustay fit kwa World Cup.
Fergie michosho sana.. Kasema timu sita lakini kakataa kuitaja liverpool. Jamaa anawachukia Liverpool kinoma afu roho itakuwa inamuuma kuona Liverpool wapo juu ya United. Kweli jasiri hasau asili. Liverpool watamaliza ligi miaka miwili mfululizo juu ya man utd tutaona jinsi Fergie atakavyokuwa na hasira za mbwa kichaa.Babu bado anadhani mtapush kupata nafasi za juu juu. Huyu dingi naona anataka kufanya kama vile Osama alivyokuwa anatoa meseji kwa vibaraka wake, sitoshangaa kuona marefa wanaanza kuwabeba mpate nafasi ya CL lol.
Hivi RVP kacheza mechi ngapi mfululizo msimu huu? Mata nadhani amenunuliwa kwa msimu ujao zaidi, msimu huu hamtapata mengi toka kwake. PP ni Pogba? kama ndo yeye sidhani kama atarudi England na Man Utd muda wa karibuni.
cc Pazi
Fergie michosho sana.. Kasema timu sita lakini kakataa kuitaja liverpool. Jamaa anawachukia Liverpool kinoma afu roho itakuwa inamuuma kuona Liverpool wapo juu ya United. Kweli jasiri hasau asili. Liverpool watamaliza ligi miaka miwili mfululizo juu ya man utd tutaona jinsi Fergie atakavyokuwa na hasira za mbwa kichaa.Babu bado anadhani mtapush kupata nafasi za juu juu. Huyu dingi naona anataka kufanya kama vile Osama alivyokuwa anatoa meseji kwa vibaraka wake, sitoshangaa kuona marefa wanaanza kuwabeba mpate nafasi ya CL lol.
Hivi RVP kacheza mechi ngapi mfululizo msimu huu? Mata nadhani amenunuliwa kwa msimu ujao zaidi, msimu huu hamtapata mengi toka kwake. PP ni Pogba? kama ndo yeye sidhani kama atarudi England na Man Utd muda wa karibuni.
cc Pazi