kaka yangu Ntuzu...usisahau kila jambo na majira yake..kuna wakati wa kupata na wa kukosa..tulivokua washindi mfululizo hatukuwaza kuiacha timu yetu nzuri..na hata sasa tunaposhindwa kila mara..hatutakiwi kuiacha..ndo maana ya upendo..ni katika shida na raha..mie nikiacha utawa (wala sitarajii) nitafunga ndoa na man U..
We mtawa huku hapakufai...hao akina Ntuzu hawana neno jema hata kidogo, utapatwa presha tu mtawa...nyodo, ngema, magomvi, fitna, majungu na kila kitu utayapata huku mtawa...karibukaka yangu Ntuzu...usisahau kila jambo na majira yake..kuna wakati wa kupata na wa kukosa..tulivokua washindi mfululizo hatukuwaza kuiacha timu yetu nzuri..na hata sasa tunaposhindwa kila mara..hatutakiwi kuiacha..ndo maana ya upendo..ni katika shida na raha..mie nikiacha utawa (wala sitarajii) nitafunga ndoa na man U..
Mimi nakuacha dada Yangu! Lkn nakunyima lambilambi dada yng! Nakuacha Na misiba yako!
hata sio vizuri..lieni na waliao
hata sio vizuri..lieni na waliao
[h=2]Mourinho Confirms Mata Move Close[/h]Jose Mourinho has confirmed Juan Mata is set to sign for Man United having been given permission to have a medical. Read
Welcome to Manchester #JuanUnitedMata
Namkubali Juan Mata"ta" atawasaidia kuziba pengo la Rooney pindi akiondoka summer hii. "Matata" na Adnan "Janajuzi" wanaweza kuwa mastar wakali msimu ujao
Ona huyu...unaanza kuweweseka?
Si ni wewe ulisema #ManUnited sasa haiwezi kuvutia world class players? Imekuwaje tena?
Na bado....mtazidi kuweweseka zaidi pale a sleeping giant likiamka.
Kuhusu Rooney, mazungumzo yanasemekana yameanza kati yake na United. Hivyo, kwa sasa, hakuna ushahidi wa kusema ataondoka next summer.