Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa.......kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiii...nasikia raha utamu,utamu raha kufungwa hili gari la mkaaaaaaaa.
 
ebana eeh niliondoka dk ya 117 nkadhani mmeshinda. What MATA with Man divided?
 
Sasa utaona maajabu pale watu watakaposema DM aondoke!!

Wachezaji wanakosa penati, sasa kocha ana kosa gani?!

Ebu mlete Juan United Mata.....
 
ebana nilikwambia hamia ARSENAL utaweza kupata nafasi ya kubeba hata madeli ya ice cream. Hii timu bora mgawane jezi kama Pompey lol

Medali? Hivi mara ya mwisho medali imeonekana lini hapo? Kwanza ukitamka hilo neno pale Emirates, watakushangaa, kwani wachezaji hawajui maana yake....

Vipi, S'land ni tawi la nani sasa?
 
quote_icon.png
By rubaman
ebana nilikwambia hamia ARSENAL utaweza kupata nafasi ya kubeba hata madeli ya ice cream. Hii timu bora mgawane jezi kama Pompey lol

Medali? Hivi mara ya mwisho medali imeonekana lini hapo? Kwanza ukitamka hilo neno pale Emirates, watakushangaa, kwani wachezaji hawajui maana yake....

Vipi, S'land ni tawi la nani sasa?

Angalia usijitose relini wakati treni linakuja sababu ya hasira. Nimesema MADELI au Coolers kama unayakumbuka?
Anyway, Timu ya Kibritish, kocha mbritish mlitegemea mtashinda kwa penati vs Kocha wa South America?
 
Yaani moyes hamna kitu galasa kupita maelezo anamwacha mchezaji mdogo mwenye miaka 18,acheze dk 120 (januzaj)anamtoa kagawa experienced player,ambae alikuwa ana dictacte game kiasi kikubwa walau na kuanzisha mashambulizi.kwa sasa kilichobakitujiliwaze na kumchukua mata tu ila kocha kwa kweli hatuna tukubali tukatae,kocha hajui kupanga kikosi,kocha hajui kufanya sub,kocha hajui kusajili,kocha hajui kuwatia wachezaji morali,kocha hajui kupangwa wapigaji penlaty(usiniulize nilitaka apige yy??,ilibidi awatrain haiwezekani wachezaji wa4 wote wakose penalt huo ni us...) anchojua yy ni kumnyima namba kagawa tu na kujaza waingereza ndani poor him,in moyes i dont trust.
 
Hahahaha nasikia JUAN MATA KAJIFELISHA medical eti alisahau peni na karatasi hii yote ni kuwa hataki kuchezea timu mbovu
 
binafsi nilishatoa tamko DM hatufai, Nzi ndugu yangu anamtetea tu huyu jamaa!
 
Dah hata sijui nifanye nini ili usingizi uweze kuja huyu ---- anayeitwa moyes amenitibua sana kila nikiwaza nawaza kipigo cha leo hata sijui niwaze nini nijipooze na machungu haya.-oh nimepata jibu ngoja niwaze party ya jumamosi tu escape one.
 
article-2544172-1AE29A1300000578-934_634x367.jpg




Fungie kakomba brown envelopes zote ......kabaki kushangaa shangaa tu
before the game at Old Trafford

Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


article-2544172-1AE29C7400000578-775_634x417.jpg



Throaty: Marcos Alonso grabs hold of the tricky Adnan Januzaj
who advances towards goal


article-2544172-1AE2C81700000578-612_634x388.jpg


Living on a prayer: Javier Hernandez prays before kick
off alongside Michael Carrick and Danny Welbeck



Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee salam kwa Mfarisayo, Eqlpzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz huyu kabadili jina khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee, BJ, Ogah, Idimi, Manda, Belo na wakongwe wote wa Manure original sio hawa vipepe kina Nzi et al
 
hahahahaha Hail King Vito. Arsene knows. Agent King Vito katufurahisha na atatufurahisha tena tukicheza muda si mrefu.
 
Hii game haikupaswa kufika kwenye penati na inaonekana Moyes hakuandaa timu kwa penati.Now nguvu zote tuhamishie EPL,Moyes tayari ameanza vizuri kwenye usajili naamini mwisho wa msimu tutapata viungo wanaotufaa.Nilipendelea sana kumpata Vidal au Cabaye
 
Back
Top Bottom