Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The Emir of Qatar does not just want to buy shares in #MUFC, he wants the club.

#RMCsport
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230211_192018_811.jpg
 
Kila siku Arsenal anapondosha points nakumbuka mechi ya Palace na Arsenal away na ile ya juzi vs Leeds.

5 points dropped kizembe tu tena kipindi ambacho tupo kwenye form nzuri.
Kwa msimu huu, ndio uwezo wetu ulipoishia.

Mimi naamini Tungekuwa na DM backup ya Casemiro na Striker.
Hizo mechi zote nafasi ya kushinda ilikuwa kubwa.
 
Arsenal ameanza kukata viuno..

Point tumezidondosha kijinga jinga kuanzia ile game ya Palace,Arsenal(ilibidi atleast tutoke na draw) na hii ya Leeds..tungefanya poa tungekuwa tunawapumulia vibaya mno.

Hopefull vijana hatatotuangusha kesho.
 
Umuhimu wa kushida mechi zote ndo huu.
Mpaka sasa top 4 naiona tayari imekamilika sioni timu inayoweza kuleta ushindani kwa timu nne za juu.

Michezo mitano ijayo inaweza kuwa ishara kubwa sana kwa Arsenal kama kweli wapo serious na kombe msimu huu.

United : Leeds, Leicester, Liverpool, Southampton, Brighton.

City : Aston Villa, Arsenal, Nottm Forrest, Bournemouth, Newcastle.

Arsenal : City, Aston Villa, Leicester, Everton, Bournemouth.
 
Kwa msimu huu, ndio uwezo wetu ulipoishia.

Mimi naamini Tungekuwa na DM backup ya Casemiro na Striker.
Hizo mechi zote nafasi ya kushinda ilikuwa kubwa.
Uwezo upo basi tu. Tukiachana na mechi zilizopita, tunapaswa kuchukua points 6 kwa Leeds na Leicester na sioni sababu ya kutuzuia. Uwezo tunao, wale jamaa pale juu inatakiwa tuende nao sambamba mpaka mwisho wa msimu kitaeleweka.
 
Uwezo upo basi tu. Tukiachana na mechi zilizopita, tunapaswa kuchukua points 6 kwa Leeds na Leicester na sioni sababu ya kutuzuia. Uwezo tunao, wale jamaa pale juu inatakiwa tuende nao sambamba mpaka mwisho wa msimu kitaeleweka.
Msimu huu ni mrahisi sana. Just imagine tunadondosha points ila bado utofauti wetu na anayetuzidi ni chini ya points 12. Kumbuka City na Arsenal wana mechi mbili baina ya wao kwa wao.
 
Msimu huu ni mrahisi sana. Just imagine tunadondosha points ila bado utofauti wetu na anayetuzidi ni chini ya points 12. Kumbuka City na Arsenal wana mechi mbili baina ya wao kwa wao.
Msimu ule 21/22 tulikuwa vzr pia...Kuna mechi tatu tulifanya ujinga.

Pogba disease ilitusumbua... this year we treated Cr7 behavior so we are fine
 
Uwezo upo basi tu. Tukiachana na mechi zilizopita, tunapaswa kuchukua points 6 kwa Leeds na Leicester na sioni sababu ya kutuzuia. Uwezo tunao, wale jamaa pale juu inatakiwa tuende nao sambamba mpaka mwisho wa msimu kitaeleweka.
EPL sio rahisi kihivyo.

Tuweni tuu serious, tusiwe ni ushabiki kupitiliza,.

ETH amefanya kazi kubwa.
Ila bado kufikiria ubingwa msimu huu.
Hao walioko juu, huu ni msimu wa pili wako pamoja, sisi ndio kwanza tuna miezi kadhaa.

Sisi bado tunategeneza timu, na kudrop points wakati unatengeneza timu ni vitu vya kawaida kabisa.

Kufikilia ubingwa msimu huu ni kujipa pressure isiyokuwa na sababu.
 
Back
Top Bottom