OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,939
- 25,269
Hii timu bado sana mupira wake wa kuotea otea tuUnalingine la kusema?
Hii timu bado sana mupira wake wa kuotea otea tuUnalingine la kusema?
Hi nafasi etu munetushikia tu
Nahisi kipindi cha pili alipopangwa amefaa zaidi maana amegusa mipira mingi na ametoa assist.Aliemuona Werghost kugusa mpira aniambie kagusa dakika ya ngapi?
Hakuna wa kufanya hivyo msimu huu.Nyie matakataka huu msimu munakatwa point 15
Hili litimu likishinda napata hasira kweli kweli nalichukia sana
Cheki tunavyopiga watu achana na hawa majibwa.Hili litimu likishinda napata hasira kweli kweli nalichukia sana
Alicheza nyuma ya RashfordNahisi kipindi cha pili alipopangwa amefaa zaidi maana amegusa mipira mingi na ametoa assist.
Napenda michezaji ya kuforce force wakati wa kugombania mipira.
Iyo game munapoteza hamuna timu nyie halaand hana maajabu tenaCheki tunavyopiga watu achana na hawa majibwa.
Hakua mchoyo sana.
Au niweke mguu mfukoni 😂😂😂😂Meza wembe mkuu.