Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester inacheza leo na dunia yote ina huzuni
tumempoteza mwana Manchester mwenzetu AKA tukae kimya kwa dk moja kumuenzi

hawa ndo mashabiki sasa Mpaka wana tatoo za timu ni uzuni kwakweli kwa fans wa United wote duniani

Anyway ushindi leo lazima

Prediction

Leeds United 0 vs Manchester United 2

GGMUView attachment 2514563
apumzike kwa Amani
 
DODOMA CITY..

United wameturusha wanangu
Screenshot_20230212-150336_Instagram.jpg
 
Katika mechi mbili hv karibuni timu zote za juu na huyu Newcastle aliyeopo Chini yetu wame drop point ni sisi peke yetu tume gain Pont 4...
Hii inamaana league ni ngumu ila timu inajitahidi...
Hebu tuone msimamo utakavyokuwa baada ya mechi 5...
Namuona arsenal akishuka mpk nafasi ya 3
Asernal atashika Kwa Kasi Sana Kwa sabab wanaokujanwana speed ya hatari wote watatu na Newcastle..


Asernal atafika Hadi 6th position
 
Malacia wale vijanq hawawezi, atakuwa anateleza lakini hawafikii. Dalot na Malacia hawana uwezo wa kukaba.

Ningependa tumwamini Fred na Sabtzer pale kati. Shaw abaki sehemu yake, Bisaka arejeshwe sehemu yake. Sacho arudi kwa Garnacho.

Mechi ya juzi weak point ilikuwa Dalot na siyo Fred
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Leeds XI: Meslier, Ayling, Koch, Wöber, Firpo, Gnonto, Harrison, Summerville, Adams, McKennie, Bamford

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man Utd XI: de Gea, Diogo Dalot, Malacia, Shaw, Maguire, Bruno Fernandes, Rashford, Sabitzer, Fred, Sancho, Weghorst
 
Naona Eth kawarotate licha na varane,, ,,, !

Kikosi sio kibaya kiivo,,,, wout asingekaa pale mbele,,, ! Ni Kama tunacheza pungufu vile ,,,,

Kafanya vzr kumuanzisha Sancho !

Le capitaiiin apambane aonyeshe anahitaji namba yake !
 
Back
Top Bottom