synthesizere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 882
- 1,280
Kila la heri Leeds United 


Hao Newcastle mechi zao unaangalia? Timu ina draw 11 ndo imalize juu ya Arsenal? Mnaota kweliAsernal atashika Kwa Kasi Sana Kwa sabab wanaokujanwana speed ya hatari wote watatu na Newcastle..
Asernal atafika Hadi 6th position
Ubingwa wa nini unazungumzia hapa? Carabao au?Werghost akianza ubingwa unakua wa nongwa, nashauri asianze kabisa kama tunataka ushindi.
Unyama ni mwingi kutokea desert city



Utawakataa hao.Kila la heri Leeds United![]()
Tukifungwa tusimtafute mchawi Leeds XI: Meslier, Ayling, Koch, Wöber, Firpo, Gnonto, Harrison, Summerville, Adams, McKennie, Bamford
Man Utd XI: de Gea, Diogo Dalot, Malacia, Shaw, Maguire, Bruno Fernandes, Rashford, Sabitzer, Fred, Sancho, Weghorst
Kuna siku nilisema huyi kocha ni "mjinga" watu wakanijia juu. Kuna mtu angeweza kuhisi Maguire, Dalot, Whergost wataanza leo?Akianza leo itabidi nimvunjie heshima EtH kwa kumtukana kidogo..
Sure..una akili sana. Kwa kiwango cha Bissaka Dalot alitakiwa aozee benchi.Malacia wale vijanq hawawezi, atakuwa anateleza lakini hawafikii. Dalot na Malacia hawana uwezo wa kukaba.
Ningependa tumwamini Fred na Sabtzer pale kati. Shaw abaki sehemu yake, Bisaka arejeshwe sehemu yake. Sacho arudi kwa Garnacho.
Mechi ya juzi weak point ilikuwa Dalot na siyo Fred
Watu wachawi sana.Nileteeni harry maguire....
Nasema nireteeni maguiree