Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mazoezini anaenda kufanya nini wakati yuko injured tangu October huko?Nazani kwenye zoezi, ila mimi nahisi ni muda muafaka wa huyu jamaa kutuachia timu yetu aende zake.
Mazoezini anaenda kufanya nini wakati yuko injured tangu October huko?Nazani kwenye zoezi, ila mimi nahisi ni muda muafaka wa huyu jamaa kutuachia timu yetu aende zake.
Jamaa career yake kama inamalizika akiwa mdogo sana tena kwa aibu.Martial ni wa kuuzwa aisee..kila siku pancha..na akipona anacheza kama ana
usingizi.
Baada ya ile Pre-season nilidhani huu utakuwa msimu wake bora kabisa..kumbe nilikuwa najidanganya.Jamaa career yake kama inamalizika akiwa mdogo sana tena kwa aibu.
mbona alipona wakarejea na sancho siku ya mrudiano na Nottingham aliingia kama sub na akasababisha Goli alilofunga Rashford.Mazoezini anaenda kufanya nini wakati yuko injured tangu October huko?
Jamaa huwa kama anacheza na akili zetu Pia nakumbuka kuna kipindi cha OGS walimsema sana wachambuzi kuwa hajitumi anaingia kwenye mechi anatoka Pensi na Rumba lake safi, baada ya hayo maneno alipotoka majeruhi akakiwasha sana nazani nikipindi kile kanyoa upaa mpaka tukasema si ndio martial huyu atatuokoa na msimu ujao kumbe ...... ila inafaa aende tu.Martial ni wa kuuzwa aisee..kila siku pancha..na akipona anacheza kama ana
usingizi.
Safi, ila Tominay apone tu mapema.Erik ten Hag confirms Antony, Anthony Martial and Scott McTominay will all miss the Leeds United game through injury.#mufc
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2509543
Sio mdogo kiumri labda kimpira kwa sasa ana miaka 27. Umri wa mchezaji kucheza ktk peak ni miaka 21 mpaka 29.Jamaa career yake kama inamalizika akiwa mdogo sana tena kwa aibu.




Kumbe hili jukwaa la Leeds? hongera sana kiongozi yani unaanza ligi mechi ya 22Kocha mpya mambo mapya ushindi mpya
Ndyo tunaanza ligi Leo
Kila la kheri Leeds united![]()



Hakufukuzwa aliresign.. alishindwaSijamaliza kusoma comment yako pale ulipoonyesha kudharau maoni ya mtu wa manzese na kuabudu maoni ya mtu wa ulaya kisa ni mzungu. Wala simdharau Scholes namuheshimu sana mchango waje akiwa mchezaji pale utd ila sio kila anachosema yeye yupo sahihi.
Hivi unajua kuwa huyo unayemuita mtaalanu alishawahi pewa timu kule daraja la kwanza inaitwa Ordham kama sikosei na akafurushwa ndani ya miezi miwili. Unakumbuka pia Gary Nevil naye alipewa timu huko Spain yakamshinda.
Antony ni mchezaji mzuri tena sana tu, wewe mtizame alipokuwa Ajax. Na hata alipotua OT alicheza vyema mechi za kwanza hivyo ni swala la muda tu kurudi kwenye peak yake.
Arsenal hamfungi Brentford anaweza kufungwa yeye 3... kazi ni kwetu kumfunga leeds mechi zote na wiki ijayo headlines zinaenda kibadilikaZile hesabu zetu za ubingwa bado zinawezekana?![]()

We jamaa haujawahi kua na akili hata siku moja.Kocha mpya mambo mapya ushindi mpya
Ndyo tunaanza ligi Leo
Kila la kheri Leeds united![]()
Mganga kutoka wapi?Katika hizi games mbili na Leeds lazima mdondoshe alama