NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,965
- 12,757
Jamaa huwa kama anacheza na akili zetu Pia nakumbuka kuna kipindi cha OGS walimsema sana wachambuzi kuwa hajitumi anaingia kwenye mechi anatoka Pensi na Rumba lake safi, baada ya hayo maneno alipotoka majeruhi akakiwasha sana nazani nikipindi kile kanyoa upaa mpaka tukasema si ndio martial huyu atatuokoa na msimu ujao kumbe ...... ila inafaa aende tu.Martial ni wa kuuzwa aisee..kila siku pancha..na akipona anacheza kama ana
usingizi.









