Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial ni wa kuuzwa aisee..kila siku pancha..na akipona anacheza kama ana
usingizi.
Jamaa huwa kama anacheza na akili zetu Pia nakumbuka kuna kipindi cha OGS walimsema sana wachambuzi kuwa hajitumi anaingia kwenye mechi anatoka Pensi na Rumba lake safi, baada ya hayo maneno alipotoka majeruhi akakiwasha sana nazani nikipindi kile kanyoa upaa mpaka tukasema si ndio martial huyu atatuokoa na msimu ujao kumbe ...... ila inafaa aende tu.
 
Jamaa career yake kama inamalizika akiwa mdogo sana tena kwa aibu.
Sio mdogo kiumri labda kimpira kwa sasa ana miaka 27. Umri wa mchezaji kucheza ktk peak ni miaka 21 mpaka 29.

Umri wa kupata majeraha ya mara kwa mara ni miaka kuanzia 30, ndio maana utaona timu nyingi ulaya zina policy ya kutoa mikataba ya miaka miwili kwa wachezaji wenye umri mkubwa unless uwe na injuries history nzuri.
 
Screenshot_20230208-002306_Samsung Internet.jpg
 
Sijamaliza kusoma comment yako pale ulipoonyesha kudharau maoni ya mtu wa manzese na kuabudu maoni ya mtu wa ulaya kisa ni mzungu. Wala simdharau Scholes namuheshimu sana mchango waje akiwa mchezaji pale utd ila sio kila anachosema yeye yupo sahihi.

Hivi unajua kuwa huyo unayemuita mtaalanu alishawahi pewa timu kule daraja la kwanza inaitwa Ordham kama sikosei na akafurushwa ndani ya miezi miwili. Unakumbuka pia Gary Nevil naye alipewa timu huko Spain yakamshinda.

Antony ni mchezaji mzuri tena sana tu, wewe mtizame alipokuwa Ajax. Na hata alipotua OT alicheza vyema mechi za kwanza hivyo ni swala la muda tu kurudi kwenye peak yake.
Hakufukuzwa aliresign.. alishindwa
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 3 vs Leeds United 1

Time
5.00 usiku

Stadium
Old Trafford

Last match

Leeds United 2 vs Manchester United 4

Red Rose vs White Rose
Man United vs Leeds United

GGMU
1675768751217.jpg
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester United 3 vs Leeds United 1

Time
5.00 usiku

Stadium
Old Trafford

Last match

Leeds United 2 vs Manchester United 4

Red Rose vs White Rose
Man United vs Leeds United

GGMUView attachment 2510236
Sema last match msimu uliopita maana msimu huu hamjacheza nao hata Mechi Moja,leo ni ya kwanza na marudiano ni Jumapili,leo mtashinda,lakini marudiano kwao patachimbika,weka na msimamo tuone nani yupo kileleni
 
Back
Top Bottom