Ten Hag juzi alisema tokea amefika hajafanya training session hata moja. Alisaini mkabata mpya feb,2019 mpaka june mwaka huu na amecheza michezo 19 tu ndani ya miaka minne.Atakaemuongezea mkataba Phill Jones afungwe jiwe shingoni atupwe baharini.
Ten Hag juzi alisema tokea amefika hajafanya training session hata moja. Alisaini mkabata mpya feb,2019 mpaka june mwaka huu na amecheza michezo 19 tu ndani ya miaka minne.Atakaemuongezea mkataba Phill Jones afungwe jiwe shingoni atupwe baharini.
Muone huyu, kwahiyo Man Utd pekee ndo ambao hawana mechi ngumu na watashinda mechi zote.City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Safi sana na tumeshinda mfululizo...akafie huko huko alipo.Msimu huu antony martial amekosa mechi 20
Mwaka wetu huu kaka tunaenda na quadrupleCity morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu


Mkiwa mnawaombea wenzenu vibaya na nyie nao mnauhakika WA kushinda mechi zijazo?City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Hii ligi ina suprise kinyama kama za eveton Kwa arsenal ..jus lower ur expectationsnikukumbushe tu kwamba Mechi ya Man U na Leeds kesho Jumatano mtashinda na kufikisha point 45,lakini Mechi ya Jumapili na haohao Leeds nyumbani kwao mkipata DRAW mshukuru!!kwa hiyo kwa akili zako unaona Arsenal tu ndio ana Mechi ngumu eti na Man City morali ipo chiniCity morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
huo ndio uchambuzi uchwaraWalioweka hizi sheria waliona mbali.Nakuelewa sana kona unayojaribu kusimamia hasa hasa kuleta funzo kwa wengine. Binafsi, naheshimu zaidi watu waliopambania kupata hayo mataji wao ni wahanga tu wa uhuni wa viongozi wa timu zao.
Man Utd kitakachotuumiza ni fatigue, injury na red cards.City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu

You are a living idiothawana Upepo wowote,juzi Casemiro kala Red Card lazima wateteleke Mechi 3 zijazo,si rahisi kupata point zote 9,hilo nina uhakika nalo Asilimia![]()
Hahahaha..Dusan Vlahovic hawezi kuwa chaguo sahihi EPL, he is too nice
Huyu Martial anaumia akiwa wapi maana ana muda mrefu hachezi au tumepata Phil Jones mwingine ?Erik ten Hag confirms Antony, Anthony Martial and Scott McTominay will all miss the Leeds United game through injury.#mufc
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2509543
Nazani kwenye zoezi, ila mimi nahisi ni muda muafaka wa huyu jamaa kutuachia timu yetu aende zake.Huyu Martial anaumia akiwa wapi maana ana muda mrefu hachezi au tumepata Phil Jones mwingine ?
Martial ni wa kuuzwa aisee..kila siku pancha..na akipona anacheza kama anaNazani kwenye zoezi, ila mimi nahisi ni muda muafaka wa huyu jamaa kutuachia timu yetu aende zake.