mkongwensibi
Senior Member
- Feb 1, 2022
- 133
- 215
nikukumbushe tu kwamba Mechi ya Man U na Leeds kesho Jumatano mtashinda na kufikisha point 45,lakini Mechi ya Jumapili na haohao Leeds nyumbani kwao mkipata DRAW mshukuru!!kwa hiyo kwa akili zako unaona Arsenal tu ndio ana Mechi ngumu eti na Man City morali ipo chiniCity morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
huo ndio uchambuzi uchwara




