Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
nikukumbushe tu kwamba Mechi ya Man U na Leeds kesho Jumatano mtashinda na kufikisha point 45,lakini Mechi ya Jumapili na haohao Leeds nyumbani kwao mkipata DRAW mshukuru!!kwa hiyo kwa akili zako unaona Arsenal tu ndio ana Mechi ngumu eti na Man City morali ipo chinihuo ndio uchambuzi uchwara
 
Nakuelewa sana kona unayojaribu kusimamia hasa hasa kuleta funzo kwa wengine. Binafsi, naheshimu zaidi watu waliopambania kupata hayo mataji wao ni wahanga tu wa uhuni wa viongozi wa timu zao.
Walioweka hizi sheria waliona mbali.

Kuna timu hazitakaa zifurukute hata kuchukua Carabao.

Mshahara wa mchezaji mmoja kama Degea unaweza kuwa mkubwa kuliko mishahara ya wachezaji wote wa timu ndogo.

Timu kama Chelsea ya sasa usipowafunga speed governor utakuta wamesajili wachezaji 50 tena mastaa tupu.

Yani wanakuwa na timu tofauti za EPL, UCL, FA, Carabao.

Kama adhabu ya kuvuliwa ubingwa ipo? Naunga mkono na miguu.

Timu zitumie rasilimali zao vizuri na kulete ushindani kidogo.
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Man Utd kitakachotuumiza ni fatigue, injury na red cards.

Kuwa kwenye michuano 4 si kazi ndogo. Hapo unacheza kila baada ya siku 3 au 4, kwa almost msimu mzima. Sio kazi ndogo.

Mfano mzuri ni ile mechi tumetoka cheza na Crystal Palace tukaja kukutana na Arsenal iliyopumzika week nzima.

Na wachezaji wanakuwa exposed kwenye injury na red cards.

Tukiweza kwenda kwa mwendo huu itakuwa vyema sana. Na tutaweza fika mbali tunapopataka. Ila tusije fanya makosa kwenye usajili. Tupanue kikosi, sio kila mechi ni Casemiro pekee, akiumia au red card ndo kwaheri.
 
The WSL title race is heating up...

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230207_174549_542.jpg
 
Wachezaji wa Manyumbu Utd ndio hawa;

Antony; Mchezaji wa you tube,huyu alitakiwa kununuliwa kwa mil 12 tu Ila wajinga walipagawa na mbwe mbwe zake za you tube wakaamua kumnunua kwa mil 100.Huyu Hana lolote la kusaidia time kazi kukimbia na mpira kwenye touchline na kunyang'a nywa.

Casemiro; Huyu kashazeeka kazi kukaba Koo za wenzake na kuadhibiwa hovyo hovyo

Martial; Alishajichokea huyu kazi kukimbia na gloves mikononi tu, huwa hashiriki mechi ila anaongoza kwenye kuuguza majeraha

Rashford; Haka nako kanapata chances nyingi za kufunga magoli ila Ni kazinguaji balaa.Out of 10 goal chances kanaweza funga goli Moja tu.

Maguire; Kupiga blind passes na kujipiga own goals hajambo😂
Ni mmoja Kati ya madefender wa hovyo kbsa kuwahi kucheza kwenye EPL.

Luke Shaw; Mr injury, huyu hawezi kucheza mechi kumi mfululizo kabla hajaenda kwenye mkeka

Werghost; huyu Hana maajabu kazi kukimbia kimbia tu uwanjani
 
Back
Top Bottom