Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Muone huyu, kwahiyo Man Utd pekee ndo ambao hawana mechi ngumu na watashinda mechi zote.

Haya endelea na utabiri Sheikh Yahya😂😂😂
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Mwaka wetu huu kaka tunaenda na quadruple

#GGMU
d1255055620f0e6a.jpg
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Mkiwa mnawaombea wenzenu vibaya na nyie nao mnauhakika WA kushinda mechi zijazo? Hii ligi ina suprise kinyama kama za eveton Kwa arsenal ..jus lower ur expectations
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
nikukumbushe tu kwamba Mechi ya Man U na Leeds kesho Jumatano mtashinda na kufikisha point 45,lakini Mechi ya Jumapili na haohao Leeds nyumbani kwao mkipata DRAW mshukuru!!kwa hiyo kwa akili zako unaona Arsenal tu ndio ana Mechi ngumu eti na Man City morali ipo chinihuo ndio uchambuzi uchwara
 
Nakuelewa sana kona unayojaribu kusimamia hasa hasa kuleta funzo kwa wengine. Binafsi, naheshimu zaidi watu waliopambania kupata hayo mataji wao ni wahanga tu wa uhuni wa viongozi wa timu zao.
Walioweka hizi sheria waliona mbali.

Kuna timu hazitakaa zifurukute hata kuchukua Carabao.

Mshahara wa mchezaji mmoja kama Degea unaweza kuwa mkubwa kuliko mishahara ya wachezaji wote wa timu ndogo.

Timu kama Chelsea ya sasa usipowafunga speed governor utakuta wamesajili wachezaji 50 tena mastaa tupu.

Yani wanakuwa na timu tofauti za EPL, UCL, FA, Carabao.

Kama adhabu ya kuvuliwa ubingwa ipo? Naunga mkono na miguu.

Timu zitumie rasilimali zao vizuri na kulete ushindani kidogo.
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Man Utd kitakachotuumiza ni fatigue, injury na red cards.

Kuwa kwenye michuano 4 si kazi ndogo. Hapo unacheza kila baada ya siku 3 au 4, kwa almost msimu mzima. Sio kazi ndogo.

Mfano mzuri ni ile mechi tumetoka cheza na Crystal Palace tukaja kukutana na Arsenal iliyopumzika week nzima.

Na wachezaji wanakuwa exposed kwenye injury na red cards.

Tukiweza kwenda kwa mwendo huu itakuwa vyema sana. Na tutaweza fika mbali tunapopataka. Ila tusije fanya makosa kwenye usajili. Tupanue kikosi, sio kila mechi ni Casemiro pekee, akiumia au red card ndo kwaheri.
 
Back
Top Bottom