Manchester United (Red Devils) | Special Thread

City hawajawahi kufanya vizuri misimu mitatu mfululizo EPL, hizo sababu zingine sidhani kama zina ukweli.
 
kayachoma ndugu yenu.

Juventus deny stories and rumours reporting intention of terminating Paul Pogba's contract. It's not even a possibility considered by the club at this stage, as they're waiting for him. [emoji836]️[emoji835]️[emoji632] #Juventus

Pogba has still zero minutes since he joined in July due to injuries.

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
 
City hawana tatizo lolote wanazidiwa kimbinu tu na timu zingine.

Man city hufungwa kwa namna inayofanana ukijua namna ya kumfunga utashinda ni hakika kikubwa ujue pia na namna ya kumzuia.
 
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
At least ndiye anaeonekana walau ana ahueni ! Kina Trent, fabinho , mo, Gakpo, Nunez, Thiago, vvd(before injury) Nani alikuwa na kiwango Bora ? Mpira Ni mchezo wa wazi kila mtu anaona !
 
Bado wanamwacha Phil Jones? Kenge maji kweli
 
Ndugu mganga kwenye ubora wako
 
Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.
Mwana anapiga kazi kichizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…