Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.

Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Bonge moja la transformation hawajamaa wakiondolewa hususan Maguire.
 
Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.

Labda ziwe mind games

Let's wait
Hahahaa Ten Hag ni mjanja sana anapo-deal na waandishi wa habari. Usiamini kauli zake kirahisi rahisi umesahau alichokuwa anasema kuhusu Ronaldo mbele ya camera?

Rashford, Shaw na Dalot ndio wachezaji pekee aliowakuta ambao Ten Hag ame-approve bodi ianze mazungumzo nao ya mkataba wa muda mrefu. Waliobakia wote ni 50/50 tu.
 
Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !

Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!


Chief-Mkwawa
Darmian
Huyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.
 
Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !

Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!


Chief-Mkwawa
Darmian
Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.

United huwa tunaingia sokoni muda ambao ni rahisi kupigwa pesa ndefu. Unafikiri Fulham watatuacha salama hapo? Hawawezi kumuuza chini ya pound 40M. Usisahau pesa kwa sasa hatuna priority ni mshambuliaji wa kati majira ya kiangazi.

Hali ya kifedha ikiendelea kuwa tete Kenneth Taylor anweza kuwa mtu sahihi sana akiwa understudy ya Casemiro. Ni kijana mdogo ila ana akili nyingi sana uwanjani plus ni mchezaji ambaye Ten Hag anamfahamu vizuri sana.
 
Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.

Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Baily nilikuwa namkubali sana ila cheza yake sasa reckless sana
 
Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.

United huwa tunaingia sokoni muda ambao ni rahisi kupigwa pesa ndefu. Unafikiri Fulham watatuacha salama hapo? Hawawezi kumuuza chini ya pound 40M. Usisahau pesa kwa sasa hatuna priority ni mshambuliaji wa kati majira ya kiangazi.
Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !
Alafu nafasi hio sio target kwetu, tunahitaji cF,, tutAenda kupigwa kitu kizito kwa victor wa Napoli au vlahovic

Summer rice atauzwa over 100m , same applies to caicedo,!
 
Maana halisi ya Kiungo mkabaji,
Casemero amejuaje kitendo alichokifanya kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta maana sahihi kabisa kwenye nafasi anayocheza?
Screenshot_20230205_155229.jpg
 
Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !
Alafu nafasi hio sio target kwetu, tunahitaji cF,, tutAenda kupigwa kitu kizito kwa victor wa Napoli au vlahovic

Summer rice atauzwa over 100m , same applies to caicedo,!
Yes. Victor Osimhen hapo hakuna mjadala bila euro 100M hatumpati na jambo jema kwetu yule dogo anaitaka United. Mwezi wa 8 mwaka jana Napoli walikuwa tayari kutuuzia ila priority kwa Ten Hag ilikuwa ule upande wa kulia (Antony).
 
Maana halisi ya Kiungo mkabaji,
Casemero amejuaje kitendo alichokifanya kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta maana sahihi kabisa kwenye nafasi anayocheza?
View attachment 2507370
VAR ina u-snitch sana jinsi ile slow motion ilivyoonyesha utafikiri he was choking that boy for hours kumbe zilikuwa sekunde kadhaa tu.
 
Back
Top Bottom