Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.

United huwa tunaingia sokoni muda ambao ni rahisi kupigwa pesa ndefu. Unafikiri Fulham watatuacha salama hapo? Hawawezi kumuuza chini ya pound 40M. Usisahau pesa kwa sasa hatuna priority ni mshambuliaji wa kati majira ya kiangazi.
Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !
Alafu nafasi hio sio target kwetu, tunahitaji cF,, tutAenda kupigwa kitu kizito kwa victor wa Napoli au vlahovic

Summer rice atauzwa over 100m , same applies to caicedo,!
 
Maana halisi ya Kiungo mkabaji,
Casemero amejuaje kitendo alichokifanya kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta maana sahihi kabisa kwenye nafasi anayocheza?
Screenshot_20230205_155229.jpg
 
Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !
Alafu nafasi hio sio target kwetu, tunahitaji cF,, tutAenda kupigwa kitu kizito kwa victor wa Napoli au vlahovic

Summer rice atauzwa over 100m , same applies to caicedo,!
Yes. Victor Osimhen hapo hakuna mjadala bila euro 100M hatumpati na jambo jema kwetu yule dogo anaitaka United. Mwezi wa 8 mwaka jana Napoli walikuwa tayari kutuuzia ila priority kwa Ten Hag ilikuwa ule upande wa kulia (Antony).
 
Maana halisi ya Kiungo mkabaji,
Casemero amejuaje kitendo alichokifanya kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta maana sahihi kabisa kwenye nafasi anayocheza?
View attachment 2507370
VAR ina u-snitch sana jinsi ile slow motion ilivyoonyesha utafikiri he was choking that boy for hours kumbe zilikuwa sekunde kadhaa tu.
 
Rufaa ikifeli kifungo chake kinaongezewa mechi moja, badala ya kukaa nje mechi 3 atakaa nje mechi 4.
Kwa nini kiongezeke? Leeds (H), Leeds (A) na Leicester (H) bila Casemiro hizi mechi tunaweza kushinda bila shida ila sio final na Newcastle hasa hasa ukizingatia Bruno Guimaraes atakuwa amemaliza adhabu yake ya mechi 3 nae.
 
My name is Carlos Henrique 𝐂𝐚𝐬𝐢𝐦𝐢𝐫𝐨.

I remember that I played a game for Sao Paulo and the club got name wrong. They wrote it with an ‘E’.

𝐈 𝐩𝐥𝐚𝐲𝐞𝐝 𝐫𝐞𝐚𝐥𝐥𝐲 𝐰𝐞𝐥𝐥 and said to them ‘Just leave like that as things are going well’.”
 
Unapoteza mechi then unakimbia jukwaa.....

Teh teh teh
huu utoto nimeushuhudia kwenye thread ya ARSENAL kwa baadhi ya wafuasi wao, nafikiri kuna wanadamu wapo Tanzania na wanaufanya mpira wa ulaya kama ni sehemu muhimu ya maisha yao.

Tunajizalishia matatizo wenyewe
 
Back
Top Bottom