Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tarkowski on Odegaard

#Joke
IMG_20230204_202550_930.jpg
 
The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.

Hawa ndiyo aina ya wachezaji wanaostahili kuvaa jezi ya United.
kabisa mkuu.

nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
 
kabisa mkuu.

nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
Jamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.

Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
 
Jamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.

Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
Nipo nacheck kwa mala nyingine
 
No comment

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
mnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi
Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
 
Sio kirahisi hivyo, kwa zile forward tulizonazo hakuna hata 1 anayefikia uwezo wa Greenwood kwenye finishing, Period
Tatizo hii issue haipo kwa Man U pekee yake , inahusu na wadhamini wa timu wanachukuliaje hili swala?
 
Nadhani zile namba muhimu kwenye kikosi tunahitaji wachezaji wawili wa uhakika. Midfield ni moja wapo.

Casemiro asipokuwepo kunakuwa na mtafutano sana uwanjani. Timu inaonekana imepwaya sana.

Tumtafute au kumtengeneza Casemiro mwingine. Anaweza asiwe 100% kama yeye ila akiwa uwanjani atapunguza madhara kwa kiasi kikubwa.

Sipati picha Casemiro akipata injury ya muda mrefu.
 
Tungekua hatujasajiri sijui ingekuwaje dah. Kama kuna kamkosi kameanza kutuandama.
 
Back
Top Bottom