Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230204_202124_273.jpg
 
Watu wanademand offensive impact yake Kwan alinunuliwa Kwa ajili ya shughuli ya kuzuia?
kocha wake anamjua kuliko sisi ,,,,kafanya nae kazi ajax ! Ana impact kubwa Sana kwenye mechi,,,,, ule upande anaocheza anasaidia Sana ! Usikariri magoli na assist ! Collectively Yuko vizuri sana

Angalia bruno anavyocheza now, siku hzi hafungi sana Wala assist,,,, Ni punguani pekee atakayesema Bruno amedrop !
 
Siwezi kumlaumu Antony yule jamaa wa Palace kamsukuma makusudi halafu anamuangalia kidharau.

Safi sana wachezaji wamemtetea dogo, hawa wachezaji wa Palace wahuni, muhimu tuwapige hivihivi tukiwa na red card.
Yaani kuna watu wao kila kukicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.
 
Wa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.
mKuu unafanya kosa kubwa sana kutomtaja LISANDRO MARTINEZ
 
Yaani kuna watu wao kila kikicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.
Jamaa hua analeta balance sana kwenye timu ila show off zake za kijinga anatakiwa abadilike.
Mimi hua ananifurahisha sana na yale mashuti yake nje ya box.
 
The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.

Hawa ndiyo aina ya wachezaji wanaostahili kuvaa jezi ya United.
kabisa mkuu.

nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
 
kabisa mkuu.

nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
Jamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.

Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
 
Jamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.

Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
Nipo nacheck kwa mala nyingine
 
No comment

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
mnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi
Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
 
Back
Top Bottom