Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,304
- 46,777
Nitashangaa sana akiongezewa mkatabaMsimu huu antony martial amekosa mechi 20
Nitashangaa sana akiongezewa mkatabaMsimu huu antony martial amekosa mechi 20
The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.mKuu unafanya kosa kubwa sana kutomtaja LISANDRO MARTINEZ![]()
Hii mi palace siipendi kinoma..


hua ina sifa sana zikifika zile dakika za lala salama.
Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.Nitashangaa sana akiongezewa mkataba
kabisa mkuu.The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.
Hawa ndiyo aina ya wachezaji wanaostahili kuvaa jezi ya United.
kabisa mkuu.
nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
Nipo nacheck kwa mala nyingineJamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.
Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
Nipo nacheck kwa mala nyingineView attachment 2506374
Pia kuongeza zile dakika 7 na anaona tupo pungufu, cha muhimu Pointi 3Muamuzi alifanya kila namna ili tudondoshe point, hili lilikuwa goli la tatu.
Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vilemnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi
Tatizo hii issue haipo kwa Man U pekee yake , inahusu na wadhamini wa timu wanachukuliaje hili swala?Sio kirahisi hivyo, kwa zile forward tulizonazo hakuna hata 1 anayefikia uwezo wa Greenwood kwenye finishing, Period
KaErik certainly enjoyed Marcus' goal
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2506321View attachment 2506323View attachment 2506320View attachment 2506322
Huyo jamaa mi huwa siuoni umuhimu wake, ni bora kule mbele tuweke hata betri.Whegohst kumbe alikuwepo namuona akiwa anatoka
Wataalamu wa mpira wanakwambia ni "presser" mzuri.Huyo jamaa mi huwa siuoni umuhimu wake, ni bora kule mbele tuweke hata betri.