raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Na tumewanyoga kweli 🍾Nyie wanyongaji....
Na tumewanyoga kweli 🍾Nyie wanyongaji....
Umetisha aiseeeeeNilisema lkn![]()
Mjomba putin nina wasiwasi hapo kwa casemiro itakuwa ulikwenda kwa kalimanzilaNilisema lkn![]()
Mkuu hivi unaona Antony anavyoludi kuzui au wewe unaangalia magoli tu?mnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi
If I'm not mistaken Europa haiingiliani na EPL mkuu ! Nadhan mechi za Barca case atakuwepo !Mechi muhimu tutakazomhitaji Casemiro ni:
Barca (H & A)
Carabao Cup final
na zote atakuwepo. Wale vijana wa Palace walihitaji adabu kidogo. Nasema tena, safi sana Casemiro.
Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !






Marcel is vibe. Atatuongezea thamani sana.Point tatu za damu na machoz !!!!!
Dah, baada ya red card game plan ilivurugika
Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !
Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Atakuwepo pamoja na mechi ya fainali vs Newcastle United.If I'm not mistaken Europa haiingiliani na EPL mkuu ! Nadhan mechi za Barca case atakuwepo !
Wa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.Point tatu za damu na machoz !!!!!
Dah, baada ya red card game plan ilivurugika
Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !
Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Watu wanademand offensive impact yake Kwan alinunuliwa Kwa ajili ya shughuli ya kuzuia?Mkuu hivi unaona Antony anavyoludi kuzui au wewe unaangalia magoli tu?
Hapo match fitness anaipata kwenye game za Barca, fainali anatupa kombe. 😄Casemiro willl miss United’s next three domestic games:
Leeds (H)
Leeds (A)
Leicester (H)
Back for the Carabao Cup final.
Tumeshindwa kuuona ubora wake , hakua na pea (Casemiro), then tulikuwa 10men,,,, !!!! Akiseto vzr atatusaidia SanaMarcel is vibe. Atatuongezea thamani sana.