Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
 
FT: #mufc 2-1 Crystal Palace

Manchester United hold on with 10 men to secure a massive three points at Old Trafford.

Lisandro Martínez.

What a player

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230204_201613_753.jpg
 
Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Wa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.
 
Watu wanademand offensive impact yake Kwan alinunuliwa Kwa ajili ya shughuli ya kuzuia?
kocha wake anamjua kuliko sisi ,,,,kafanya nae kazi ajax ! Ana impact kubwa Sana kwenye mechi,,,,, ule upande anaocheza anasaidia Sana ! Usikariri magoli na assist ! Collectively Yuko vizuri sana

Angalia bruno anavyocheza now, siku hzi hafungi sana Wala assist,,,, Ni punguani pekee atakayesema Bruno amedrop !
 
Siwezi kumlaumu Antony yule jamaa wa Palace kamsukuma makusudi halafu anamuangalia kidharau.

Safi sana wachezaji wamemtetea dogo, hawa wachezaji wa Palace wahuni, muhimu tuwapige hivihivi tukiwa na red card.
Yaani kuna watu wao kila kukicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.
 
Wa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.
mKuu unafanya kosa kubwa sana kutomtaja LISANDRO MARTINEZ
 
Yaani kuna watu wao kila kikicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.
Jamaa hua analeta balance sana kwenye timu ila show off zake za kijinga anatakiwa abadilike.
Mimi hua ananifurahisha sana na yale mashuti yake nje ya box.
 
Back
Top Bottom