Samuel luckhurst amekuwa mpayukaji sanaTetesi( Samuel Luckhurst) zinasema tutasajili,
New GK
Younger Midfielder
Striker
Shekhe Yahaya kumbe hukufa bado upo hai?Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?



Ikifika mida ya saa tano kasoro jisogeze kwenye kibanda umiza chochote kilicho karibu na wewe ukashuhudie kwanza bakora atakazo kula Forest leo halafu uje ufute hio kauli yako ya kinajimu.Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?
Tena wachawi 62
Asharudi kwao Newcastle huyu.Dubravka napenda kumwona golini kocha sijui kwann hampi nafasi
Hawa wachezaji sahv kwa kuhamahama hawajamboAsharudi kwao Newcastle huyu.
Ni mchezaji wakawaida Sana ila mnajuaga kuwapamba wachezaji wenu Hata wenye mentality za u averageGarnacho akianza kwenye 1st eleven hua anazingua sana, ni bora awe anaingia tu kuanzia dakika ya 75+