Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,414
Ikifika mida ya saa tano kasoro jisogeze kwenye kibanda umiza chochote kilicho karibu na wewe ukashuhudie kwanza bakora atakazo kula Forest leo halafu uje ufute hio kauli yako ya kinajimu.Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?
Sir Alex at OT!




