Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili Dili la Marcel Sabitzer naona limeenda Chap.

Changes zilizofanyika kwa upande wa recruitment team. Sasa zimeanza kuonekana.
Inasemwa jamaa alikuwa tayari kwenye vitabu vya United.
Injuries ya Erikseen ilivyojulikana tuu. Waya ukavutwa.

Ngoja tuone Summer itakuwaje..

Tetesi( Samuel Luckhurst) zinasema tutasajili,

New GK
Younger Midfielder
Striker
 
IMG_0546.jpg



Kwamba kipara aliahidi bodi mwaka huu lazima kikombe chochote kitue OT nini….. Mwamba yuko serious sana khaaa!!
 
Tuwaambie Ukweli manyua kuwa hatoki kwa Newcastle fainali Carabao au tuwaache Kwanza?
Ikifika mida ya saa tano kasoro jisogeze kwenye kibanda umiza chochote kilicho karibu na wewe ukashuhudie kwanza bakora atakazo kula Forest leo halafu uje ufute hio kauli yako ya kinajimu.
 
HUYU TEN HAG KWELI ANAYATAKA MAKOMBE YOTE MANNE. YAANI KATIMU HAKA ANA AGGREGATE YA GOLI 3-0 NA BADO ANAWEKA FULL MZIKI! BY THE WAY NI WACHEZAJI WAWILI TU KWENYE HII 1ST XI HAWAKUWEPO WORLD CUP.
Screenshot_20230201_221547_Google.jpg
 
EtH harembi muandiko, ni mziki mnene tu. Huko Twitter kuna watu bado wanalalamika kwanini anaenda na strong line up akiwa na 3 goals, wanasahau hii ni football lolote linaweza tokea. Leo Nottingham hawana cha kupoteza.

Tukipata at least magoli 2 ndiyo tubadili kikosi.
 
Back
Top Bottom