Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Henry hajaongea haya maneno wamemlisha tuWazee tujadili potential zinazofaa kuja united, tuache kubishana na arsenal
TIERY HENRY "namuamini arteta, naipenda arsenal pia lkn tumeona project ya miaka mitatu ya arteta dhidi ya project yeny miezi sita ya ETH, pia man u kapumzika Siku 3 dhidi ya timu imepumzika wiki moja kabla ya game, kwahili namuunga mkono na kuwa shabiki wa ETH anafany maajabu na naamini ndani ya miaka miwili atakuwa na timu top hapa england na ulaya"
Henry hajaongea haya maneno wamemlisha tu
Bro aliongea fatilia skyHenry hajaongea haya maneno wamemlisha tu
Bro aliongea fatilia sky
Sio kweli hiyo habari Ni fabricated ,hakuna video Henry aliongea hayo maneno ,Haamini kama Legendary wake kaongea maneno ya ukweli, ujue nini wenzetu hawanaga unafiki kama sisi wabongo wanaongea ukweli hata kama wengine hawapendi kuusikia.
Nilishafatilia vzr hakuna Kitu Kama hicho Ni mashabiki wa man u ndio wanajifariji, hakuna video ,Kama ipo iweke hapa linkBro aliongea fatilia sky
Project ya miaka mitatu lakini kidogo isimamishwe na project ya miezi 6 na hapo hatukua na mkata umeme miro na still mnapata tabu subirini tufike miaka miwili mtaomba poo ni vipigo tu.
Project unajenga na wazee miaka 30 unasema miaka 2 tutaomba pooProject ya miaka mitatu lakini kidogo isimamishwe na project ya miezi 6 na hapo hatukua na mkata umeme miro na still mnapata tabu subirini tufike miaka miwili mtaomba poo ni vipigo tu.
vip, kuna mwenye nalo,, this is our honour,, no one will get thisSasa kama mashabiki wengine wamechagua kuongea sana sisi kwanini tukae kimya raha ya mpira kupiga makelele bwana.
Kuna timu kama hazipo serious kabisa kweli uefa nayo ni kitu ya kukosa kweli.View attachment 2496330
Hao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.Project unajenga na wazee miaka 30 unasema miaka 2 tutaomba pootumieni akili Basi mtajikuta mnaanza kulia Tena hatuna mkabaji hatuna Beki hatuna CM hapo Casemiro varane Eriksen wanakimbizwa hoi ,tumeona Eriksen jumapili ulimi nje
Sasa kama sio project ,msidanganye watu mna project yenye miezi 6, sema mwakan ndo mnaanza projectHao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.
Mtasajili vizuriHao unaowataja sio project we jamaa ni vile tunasogeza siku msimu ujao tunasajiri vizuri kabisa hao ni wa muda mfupi tu.
Tutarudi tukifikisha misimu miwili kwa sasa sina ninalomdai ndugu 10han kabisa tuko sawaa.Mtasajili vizurikocha huyu analeta kujuana kwa kuleta waholanzi
Kama mmeshindwa kusajili vzr Hadi mnaleta ball dancer kwa £100m yule malacia average ,Eriksen akikimbizwa kidogo anatapika
Mtoe Rashford au aumie ,manyua inaenda alipo Chelsea na Liverpool
Huyu bado hajafikia alichofanya ole gunaTutarudi tukifikisha misimu miwili kwa sasa sina ninalomdai ndugu 10han kabisa tuko sawaa.
Una haki ya kutoa maoni japokuwa maoni yako ni miHuyu bado hajafikia alichofanya ole guna
Ole guna ile ndo project ila mkamvurugia mkamletea Ronaldo mwisho mkaharibu project yake
Project akiwa na Pogba asingeweza na yeye ndio alimlelea kipuuziHuyu bado hajafikia alichofanya ole guna
Ole guna ile ndo project ila mkamvurugia mkamletea Ronaldo mwisho mkaharibu project yake
Mmehamia April tenaSoma hizo stats angalia na matokeo halafu utasema nani mropokaji.
1.67xG tulifunga magoli mangapi? Tena hapohapo Emirates tukiwa hatuna DM wetu. Tulikuwa tushawaweka sehemu mbaya hata kwa droo tu, City alikuwa anawapumulia na nyie nina 100% mtatoka 1st position kama siyo siku za karibuni, April lazima muachie.