Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Frank sio kocha mzuri ila alikuwa overhyped sana na hana potential yoyote ile ya kuja kuwa kocha mzuri.

Ole mapungufu yake makubwa sana yupo soft sana. Hana ile strong character kama kocha mara nyingi sana hii inaweza kukufanya ukumbatie madhaifu ya timu.

Mikel Arteta ni young version ya Arsene Wenger ktk new generation ni mtu smart sana kimbinu ila soka la kisasa ni lazima pochi ipasuke ili ushindane in-longrun. Siku hizi huwezi kushinda makombe bila uwekezaji mkubwa sana. (Chelsea & Manchester City ni case in point)
Usichoelewa Mikel Arteta yupo gifted kwa kuona wachezaji wazuri, Talent identification, so hatuhitaji pochi kupata wachezaji wazuri, that's why tajiri miluzi scouting yake kaitegeshea Arsenal, kipindi unawaza tutamsajili Even ndicka, Arteta kashamuona Jakub kiwior kutoka Spezia [emoji16][emoji75]
 
Leo wanangu wa manyu msituangushe ndugu zenu City[emoji170]🤍
IMG-20230122-WA0004.jpg
 
Matchday..

GGMU.

Imagine being beaten up by Arsenal!!!...ni maumivu matupu.

Vijana wapambane.

======
My Starting XI
======

De Gea

AWB Varane Shaw Malacia

Fred Martinez Eriksen

Fernandes Rashford Garnacho

==============
@Darmian

1. Ina maana Martinez unamsogeza mbele kwenye kiungo? Sio beki tena?

2. Mpango mzuri lakini kocha anampenda sana Antony ataanza tu kwa namna yoyote badala ya Garnacho

3. Weghorst nadhani pia lazima aanze.
 
@Darmian

1. Ina maana Martinez unamsogeza mbele kwenye kiungo? Sio beki tena?

2. Mpango mzuri lakini kocha anampenda sana Antony ataanza tu kwa namna yoyote badala ya Garnacho

3. Weghorst nadhani pia lazima aanze.
Yes Martinez nimemsogeza mbele..

Werghost speed hana na game ya leo ambayo hatutamiliki mpira itakuwa uongo yeye kuanza..Werghost atakuwa mzuri kwa lesser teams ambazo most of the time tutamiliki mpira.
 
Yes Martinez nimemsogeza mbele..

Werghost speed hana na game ya leo ambayo hatutamiliki mpira itakuwa uongo yeye kuanza..Werghost atakuwa mzuri kwa lesser teams ambazo most of the time tutamiliki mpira.
Ni hapo Martinez atakapocheza kama CDM leo halafu apige show kali kuliko zile za Casemiro.
 
Ahhhh mkeka unaweka mwenyewe kw pesa yko mwenyew utapel utatoka wap wabongo ss ni wa mwiaho kabisa ni wa ovyoo
 
Back
Top Bottom