Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230121_232752_328.jpg
 
Binafsi siungi mkono suala la kumsajili Kane umri umeshaenda sana 30 years tutafute mtu ambae bado umri mdogo 22 hadi 25 walau
Kweli kabisa Jombaa. Dusan Vlahovic (23 yrs old) mwezi wa 6 yupo sokoni siwaoni Juve wakitoboa kufuzu UEFA champions league msimu ujao. (Juve wamekatwa alama 15 serie A)

Plan B ni Victor Osihmen (24 yrs old) ila huyu bei yake imechangamka sana. Kiubora wote wapo daraja moja na Dusan. Yeyote yule ndiye mtu sahihi kuongoza safu ya ushambualiaji.
 
View attachment 2490486
Miaka miwili iliopita niliandika comment hii.

Tulikuwa tunajadili safari ya makocha hawa watatu waliopewa majukumu makubwa ya kuziongoza timu tatu zenye mafanikio ndani na nje ya uwanja.
  1. Frank lampard - akiwa chelsea
  2. Ole gunnar solskjaer - akiwa man utd
  3. Mikel arteta - akianza maisha ya ukocha hapo ARSENAL
Don Clericuzio amepotea huku nikiwa na deni la ahadi kwake
Frank sio kocha mzuri ila alikuwa overhyped sana na hana potential yoyote ile ya kuja kuwa kocha mzuri.

Ole mapungufu yake makubwa sana yupo soft sana. Hana ile strong character kama kocha mara nyingi sana hii inaweza kukufanya ukumbatie madhaifu ya timu.

Mikel Arteta ni young version ya Arsene Wenger ktk new generation ni mtu smart sana kimbinu ila soka la kisasa ni lazima pochi ipasuke ili ushindane in-longrun. Siku hizi huwezi kushinda makombe bila uwekezaji mkubwa sana. (Chelsea & Manchester City ni case in point)
 
Matchday..

GGMU.

Imagine being beaten up by Arsenal!!!...ni maumivu matupu.

Vijana wapambane.

======
My Starting XI
======

De Gea

AWB Varane Shaw Malacia

Fred Martinez Eriksen

Fernandes Rashford Garnacho

==============
 
Matchday..

GGMU.

Imagine being beaten up by Arsenal!!!...ni maumivu matupu.

Vijana wapambane.

======
My Starting XI
======

De Gea

AWB Varane Shaw Malacia

Fred Martinez Eriksen

Fernandes Rashford Garnacho

==============
Mkiweka hii lineup sion mkitoboa

Naona mnataka kufanya majaribio ya kumuweka martinez DM, najua anacheza hiyo nafas ,ila hatujaona msimu huu mechi yoyote akicheza hivo, kitendo cha kumuweka leo ,mtamsababishia majanga

Njoon na MCFred au Fred & Eriksen ,japo Lazima katikati tuwazidi tu ,Sisi hatuchezi na viungo wawili ,ni watatu Partey Zinchenko na Xhaka
 
Ni DM anaiweza hiyo nafasi ,lakini hatujaona msimu huu akitumika hiyo nafasi,

So sio mechi ya majaribio
Mechi yetu dhidi ya Asenali hata tuwe wabovu vipi ni mechi ya majaribio,ni kama tunafanya mazoezi vile.

Kufungwa ni matokeo ya bahati mbaya sana, ndege ni usafiri salama kwa 99% lakini hiyo 1% ya ubaya huwa inaondoka na abiria wote
 
Leo nimeamka asubuhi na mapema ni kiwa na tabasam tu najiuliza kuna nini leo mbona nafuraha sana leo kumbe!

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Matchday

Arsenal vs Manchester united

Arteta vs Ten hag

Prediction

arsenal 2 vs Manchester united 4

Time
1.30 jioni

Stadium
Emirates

Lastmatch

Manchester united 3 vs Arsenal 1

GGMU
Screenshot_20230120-132257.jpg
 
Frank sio kocha mzuri ila alikuwa overhyped sana na hana potential yoyote ile ya kuja kuwa kocha mzuri.

Ole mapungufu yake makubwa sana yupo soft sana. Hana ile strong character kama kocha mara nyingi sana hii inaweza kukufanya ukumbatie madhaifu ya timu.

Mikel Arteta ni young version ya Arsene Wenger ktk new generation ni mtu smart sana kimbinu ila soka la kisasa ni lazima pochi ipasuke ili ushindane in-longrun. Siku hizi huwezi kushinda makombe bila uwekezaji mkubwa sana. (Chelsea & Manchester City ni case in point)
Usichoelewa Mikel Arteta yupo gifted kwa kuona wachezaji wazuri, Talent identification, so hatuhitaji pochi kupata wachezaji wazuri, that's why tajiri miluzi scouting yake kaitegeshea Arsenal, kipindi unawaza tutamsajili Even ndicka, Arteta kashamuona Jakub kiwior kutoka Spezia
 
Back
Top Bottom