Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,721
Mkiweka hii lineup sion mkitoboaMatchday..
GGMU.
Imagine being beaten up by Arsenal!!!...ni maumivu matupu.
Vijana wapambane.
======
My Starting XI
======
De Gea
AWB Varane Shaw Malacia
Fred Martinez Eriksen
Fernandes Rashford Garnacho
==============
Naona mnataka kufanya majaribio ya kumuweka martinez DM, najua anacheza hiyo nafas ,ila hatujaona msimu huu mechi yoyote akicheza hivo, kitendo cha kumuweka leo ,mtamsababishia majanga
Njoon na MCFred au Fred & Eriksen ,japo Lazima katikati tuwazidi tu ,Sisi hatuchezi na viungo wawili ,ni watatu Partey Zinchenko na Xhaka



1.30 jioni
Emirates
🤍