OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Kesho mapema wale arse8 wanawapakata 😂😂😂
Kwanini? Kwani pogba mlimuuza au alienda bureJuventus tapokwa point,
AtajijuKwanini? Kwani pogba mlimuuza au alienda bure
Kesho kitakachobadilika ni GD tuu kutoka 8 had 6Crystal Palace walitunyima point 2 ila tunawashukuru pia kwa kuwabania New Castle leo
Kazi kwetu kesho GGMU
Naona leo kulikuwa na pepo la draw!!!
Unaikumbuka odd ya man city? Huku mtaani kwetu kuna jamaa ilimpa mil 7.Man u ana odd 4
Haya zifateni kama mnaiamini timu yenu
Vyovyote mkuuKesho kitakachobadilika ni GD tuu kutoka 8 had 6
Huyu jamaa hata jukwaa la liverpool simuoni kabisa wala uzi wowote humu JF.View attachment 2490486
Miaka miwili iliopita niliandika comment hii.
Tulikuwa tunajadili safari ya makocha hawa watatu waliopewa majukumu makubwa ya kuziongoza timu tatu zenye mafanikio ndani na nje ya uwanja.
Don Clericuzio amepotea huku nikiwa na deni la ahadi kwake
- Frank lampard - akiwa chelsea
- Ole gunnar solskjaer - akiwa man utd
- Mikel arteta - akianza maisha ya ukocha hapo ARSENAL
Huwa wana msemo wao kuwa ni premier league proven,na mara nyingi hii kauli ndio hupandisha thamani ya wachezaji wa kiingereza kwenye soko la usajili.Binafsi siungi mkono suala la kumsajili Kane umri umeshaenda sana 30 years tutafute mtu ambae bado umri mdogo 22 hadi 25 walau
MagalasaGapko
Antony
Nunez
Sancho
Grealish
Auba
Sijui nataka kuandika nini!
Never say never
Itakuwa anahisi bado manager wa united ni babu yake Ole.
Vipo vitu vingine vya kusema never.Never say never
Kabisa.Itakuwa anahisi bado manager wa united ni babu yake Ole.
Aaron Wan Bissaka has now chances to stay at Manchester United at least until the end of the season, as things stand. 
#MUFC

