MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,451
Aisee hakuna namna lazima mkae mlizochukua kwenu zinatosha.Point hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no droo ya wazi kabisa
A





