Point hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no droo ya wazi kabisaArsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.
Huwezi kupack bus Emirates, utakuwa kwenye mazingira ambayo si salama, the atmosphere is behind, technically tuna wachezaji wazuri na structure ya kuunlock these low block teams, bahati mbaya hamuwezi kupossess mpira kwa kukosa technically gifted players kwenye key areas, hivyo mkiwa na mpira tutawapress aggressively tutachukua mpira, kwa jicho langu la kishabiki naona tutashinda 2-0/ 3-1 /3-0, ila sioni united wakishinda Emirates.
Hivi mbona wachezaji wa zamani kama walikuwa madingi sana hivi?Sir Matt Busby #Legend #RIP #Respect.
Busby, pictured here with one of his early squads, was appointed manager of Manchester United on 12 February 1945.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2488845
Hereni zina shida boss?Na yeye ashaanza kuvaa hereni!
Ilikuwa kama ‘farmers league’. Yaani watu wanapiga kazi zingine, football wanacheza jioni au part time. Ingawa professional football imeanza zamani.Hivi mbona wachezaji wa zamani kama walikuwa madingi sana hivi?
Aisee hakuna namna lazima mkae mlizochukua kwenu zinatosha.Point hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no droo ya wazi kabisa
Aston villa aliwafunga 3-1 Mzee mnasahau haraka hvyoPoint hapo ni jicho la kishabik, na hamna uwezo wa kuifunga united goli 3, tangu tulipofungwa na Man city hakuna aliyeweza shinda goli 3 kwa Man u, Game itakuwa ngumu sana na mkileta utoto tutawapiga kimoja kazi iishe, na sisi tukizingua tunaweza pigwa goli 1 tu la kuamua mechi, la sivyo hii no droo ya wazi kabisa

Eeh eti unasema nini?Aston villa aliwafunga 3-1 Mzee mnasahau haraka hvyo![]()
Du!!!Arsenal wakishinda keshokutwa najipiga burn jamii forum hadi msimu mpya wa ligi utakapoanza ndio naingia humu tena.





Waingereza wameanza kumuingilia EtH kimtindo na wachezaji wao wa mchongo.Erik ten Hag is keen to bring Harry Kane to Manchester United in the summer. [Daily Mail]
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |
Points nzuri sana.Waingereza wameanza kumuingilia EtH kimtindo na wachezaji wao wa mchongo.
Ilitakiwa wamuache mwalimu achague mshambuliaji mwenye umri mdogo ili awe sehemu ya mpango wa muda mrefu sio kibabu Kane kisa mtoto wa malkia.
Pale United inatakiwa tusafishe waingereza akiwemo Rashford mchezaji mwenye kiwango kisichotabirika.
City pia walikuwa na records za kipuuzi kama hizi. Waulizeni kilichowakuta. Huoni hata aibu kwa opponents mliokutana nao?Karibuni Emirates😁View attachment 2489458