Winning mentality ipo juu sana,wazoefu wa mataji tunao.Naamini leo Rashford atacheza ki-utu-uzima.Game day !!!!
Eth namuamini Sana, mtu anapasuka leo !
Draw ya Newcastle ilikuwa nzuri Sana kwa upande wetu !
#GGMU
Wasiwasi wako ndio maradhi yako.Anyone confident going to this?
Sina amani kabisa..unahitaji kuwa kwenye kiwango bora sana kila idara ili kuwafunga Arsenal.
@DarmianMatchday..
GGMU.
Imagine being beaten up by Arsenal!!!...ni maumivu matupu.
Vijana wapambane.
======
My Starting XI
======
De Gea
AWB Varane Shaw Malacia
Fred Martinez Eriksen
Fernandes Rashford Garnacho
==============
Yes Martinez nimemsogeza mbele..@Darmian
1. Ina maana Martinez unamsogeza mbele kwenye kiungo? Sio beki tena?
2. Mpango mzuri lakini kocha anampenda sana Antony ataanza tu kwa namna yoyote badala ya Garnacho
3. Weghorst nadhani pia lazima aanze.
Yes Martinez nimemsogeza mbele..
Werghost speed hana na game ya leo ambayo hatutamiliki mpira itakuwa uongo yeye kuanza..Werghost atakuwa mzuri kwa lesser teams ambazo most of the time tutamiliki mpira.
Utapeli huuWale wanaotaka mikeka niwaunge kweny group langu la kubashiri 99"% win weka namb hpo
Timu nzima ya Arsenal ina wachezaji wanne wenye akili na maarifa ya mpira.Katika kikosi kizima cha arsenal,namuogopa Saka kuliko huyo Odegard wao.
Ulitaka nani anunuliwe?Kila nikiiwazia forward line yang ya kina rashford nasikitika kwakwel.. baada ya gemu ntakuja kucomment