Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?
 
[emoji187] Focused on Sunday's task.

#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230121_134037_614.jpg
 
Mashabiki wenzangu wote, wa chama kubwa duniani la Manchester united. Nipende kusema kesho ushindi ni lazma pale emirates.

Hivyo hao arsenyonyo, Kesho hata wapige pasi zao zote, hata ikiwezekana za kwenye ile movie ya kichina ya (shaulini soccer). Lakini hawata amini kitakacho watokea hapo kwao emirates, Sababu hawata pata hata ile nafasi ya ku draw na united.
 
Man u kesho u have our support from etihad plz msituangushe wachakazen hao asenali plz[emoji3061]
Arsenal lazma achezee vitasa vya uhakika.

Afu tusiwangushe kivip! Kila mtu ashinde mechi zake, nasio kutegemea Manchester united iwasaidie nyie Manchester fisi.

Kupunguza gepu la point, vinginevyo msubirie mkikutana nae ndio mfanye kutojiangusha wenyewe.
 
Arsenal lazma achezee vitasa vya uhakika.

Afu tusiwangushe kivip! Kila mtu ashinde mechi zake, nasio kutegemea Manchester united iwasaidie nyie Manchester fisi.

Kupunguza gepu la point, vinginevyo msubirie mkikutana nae ndio mfanye kutojiangusha wenyewe.
Our very own cheap labour. Weken hyo ngazi tupande af tukifika juu tunawakanyaga.
 
Screenshot_20230121-200849_Samsung Internet.jpg

Miaka miwili iliopita niliandika comment hii.

Tulikuwa tunajadili safari ya makocha hawa watatu waliopewa majukumu makubwa ya kuziongoza timu tatu zenye mafanikio ndani na nje ya uwanja.
  1. Frank lampard - akiwa chelsea
  2. Ole gunnar solskjaer - akiwa man utd
  3. Mikel arteta - akianza maisha ya ukocha hapo ARSENAL
Don Clericuzio amepotea huku nikiwa na deni la ahadi kwake
 
Back
Top Bottom