Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Happy 20th birthday, Hannibal!

Wishing you all the best in your fixture for Birmingham today

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230121_120450_534.jpg
 
Harry Kane has set his sights on breaking the Premier League goalscoring record and is understood to prefer staying in England.

Tottenham are set to place a minimum £85m price tag on Harry Kane, but that figure is likely to increase for a rival Premier League side.


[ChrisWheeler]
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230121_120506_991.jpg
 
Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?
 
Mashabiki wenzangu wote, wa chama kubwa duniani la Manchester united. Nipende kusema kesho ushindi ni lazma pale emirates.

Hivyo hao arsenyonyo, Kesho hata wapige pasi zao zote, hata ikiwezekana za kwenye ile movie ya kichina ya (shaulini soccer). Lakini hawata amini kitakacho watokea hapo kwao emirates, Sababu hawata pata hata ile nafasi ya ku draw na united.
 
Man u kesho u have our support from etihad plz msituangushe wachakazen hao asenali plz
Arsenal lazma achezee vitasa vya uhakika.

Afu tusiwangushe kivip! Kila mtu ashinde mechi zake, nasio kutegemea Manchester united iwasaidie nyie Manchester fisi.

Kupunguza gepu la point, vinginevyo msubirie mkikutana nae ndio mfanye kutojiangusha wenyewe.
 
Back
Top Bottom