Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,304
- 46,781
Pogba alisema atatuonyesha ni kiasi gani tulikosea kutokumuongeza mkataba mpya.Gundu la PogbaView attachment 2489613
Still waiting.
Pogba alisema atatuonyesha ni kiasi gani tulikosea kutokumuongeza mkataba mpya.Gundu la PogbaView attachment 2489613



Football should be an ArtNina uhakika 100% unaipenda Man U sema ni vile tu ulichagua kuwa Arsenal.
Prove me wrong
Kane is for small clubs tu.Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Ila kwenye thread hii ya man u upo daily kuliko kule kwa arsenal. Kazi kweli kweliFootball should be an Art
Man u mpira wa magimbi siwez kushabikia hata unishike bastola



najaribu kufananisha na mwanamke ambae humpendi ila kila siku upo nyumbani kwake unamuongeleaBinafsi simshabikii hata.Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?




Hiyo nafasi ya 4 wataipigania na arsenal, huu ndio msimamo wa ligi mpaka kufikia may👇Manure jikazeni Bryton anaitaka nafasi ya 4 hiyo
.
Arsenal lazma achezee vitasa vya uhakika.Man u kesho u have our support from etihad plz msituangushe wachakazen hao asenali plz![]()
Mpaka kufika mwez wa 5, ndio utajua hujui.Ndoto za mchana! yani timu iwe na GD 8 iingie top 4!