Tumetoa bikra kumbeCity pia walikuwa na records za kipuuzi kama hizi. Waulizeni kilichowakuta. Huoni hata aibu kwa opponents mliokutana nao?
View attachment 2489633
Nina uhakika 100% unaipenda Man U sema ni vile tu ulichagua kuwa Arsenal.Man u ana odd 4
Haya zifateni kama mnaiamini timu yenu
Hapa Hata ukiwa arsenal fan unampa Man UTD. Ukishinda poa sana. Ukifungwa umekula Hela.Man u ana odd 4
Haya zifateni kama mnaiamini timu yenu
Waingereza wameanza kumuingilia EtH kimtindo na wachezaji wao wa mchongo.
Ilitakiwa wamuache mwalimu achague mshambuliaji mwenye umri mdogo ili awe sehemu ya mpango wa muda mrefu sio kibabu Kane kisa mtoto wa malkia.
Pale United inatakiwa tusafishe waingereza akiwemo Rashford mchezaji mwenye kiwango kisichotabirika.
Pogba alisema atatuonyesha ni kiasi gani tulikosea kutokumuongeza mkataba mpya.Gundu la PogbaView attachment 2489613



Football should be an ArtNina uhakika 100% unaipenda Man U sema ni vile tu ulichagua kuwa Arsenal.
Prove me wrong
Kane is for small clubs tu.Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?Ila kane sidhani kama anatufaa hebu tutafute watu wa maana wenye speed na wanaoweza kuhold mpira huko mbele kane kwangu hapana.
Ila kwenye thread hii ya man u upo daily kuliko kule kwa arsenal. Kazi kweli kweliFootball should be an Art
Man u mpira wa magimbi siwez kushabikia hata unishike bastola



najaribu kufananisha na mwanamke ambae humpendi ila kila siku upo nyumbani kwake unamuongeleaBinafsi simshabikii hata.Huyu boyhood arsenal fan akisema anataka kuja kwetu matusi yote tuliyomtukana tumasahau na tunamkaribisha vizuri sana. Nyie mnampotezea?



