Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.What a win,,,
Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !
Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !
#GGMU
Casemiro nilimwambia mtu siku ile tumepigwa 6-3 na Shitty, kwamba akizoea ligi atatusaidia sana.
What a win,,,








