Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Wakati mwingine mpira hutegemea na winning mentality ambayo Man Utd walikuwa nayo hivi karibuni kwa kushinda mechi 5 mfululizo, pia mpira bahati wala si ubora wa ku-possess, kushambulia na kuzuia tu.

Mi ni mshabiki wa Chelsea na watakia ubingwa Arsenal Fans lakini muwe na akiba za maneno...
 
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.

Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.
 
Wambieni wafiche bunduki zao

mlitutuma kwa man city
Sasa kibao kimegeuka man city wametutuma kwenu☝

Screenshot_20230114-172748_Facebook.jpg
 
Baada ya matokeo ya kesho dhidi ya spurs,ndipo arsenal wataona walifanya ujinga kumshabikia man utd walau kwa dakika 90 tu. Gap ya 6 pointS halafu tunakutana nao game inayofuata.

Wataanza kujua kuwa mshindani wao halisi ni UNITED na sio CITY kama walivyodhani awali.
 
Kwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU
Chelsea tuacheni tupumzike kwanza Wakuu, kwanini mnataka kila mwaka Chelsea wawe on fire , inamaana mnatuonea wivu na sisi tunavyo-trust process ya kujenga timu kwa miaka mitatu/minne ili baadaye tuwe tishio Ulaya kama ninyi Man Utd
 
huu ushindi wetu wa leo umewauma sana Arsenyani kuliko hata hao kina Mwasiti wenyewe.
Kesho Spurs wana jambo lao, nawahakikishia hamchomoki pale Tottenham Hotspur Stadium halafu jumamosi ijayo mtatembelewa na wanaume wa shoka.
Kama kuna mshabiki wa Arsenal kachukia ushindi wa Man Utd leo hii basi atakuwa ametoroka Mirembe...

Mwa-City si wazuri sana ukiwazidi point 5/6 tu wanaweza kukaza hata mechi 9 mfululizo wakiwa wanashinda tu.
 
Back
Top Bottom