Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.
Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani [emoji1787]
Man Utd mna Kocha bora sana, wekeni mpunga wa kutosha sasa katika usajili ili mumuaibishe Pep Kipara kuwa ni Kocha wa kawaida sana isipokuwa amejificha katika kichaka cha mahela ya Waarabu [emoji847]We did it guys..
Mzee wa "hajafukuzwa tu" sasa hivi utakuwa unaimba "Man Utd hajabeba tu ndoo"[emoji119][emoji28]Wapinzani chali
Kupenda kubaya nyie mpira umeisha na chozi lanitoka
Mchezaji anayeshangilia tu Ball Possession ni wa kumuonea huruma sana.Tutawachapa tena, nyie tutawaachia mmliki mpira kama falsafa yenu ila kipigo lazima kiwe upande wenu
Kaliwa tunda kimasiharaNilishasemaa leo Man city lazima akaeeee[emoji3533][emoji3533][emoji3533]
kamegwaa kibabeeee...imepenyaaa shwaaangKaliwa tunda kimasihara
Chelsea tuacheni tupumzike kwanza Wakuu, kwanini mnataka kila mwaka Chelsea wawe on fire [emoji91], inamaana mnatuonea wivu na sisi tunavyo-trust process ya kujenga timu kwa miaka mitatu/minne ili baadaye tuwe tishio Ulaya kama ninyi Man Utd [emoji848][emoji16]Kwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kama kuna mshabiki wa Arsenal kachukia ushindi wa Man Utd leo hii basi atakuwa ametoroka Mirembe...[emoji124][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ushindi wetu wa leo umewauma sana Arsenyani kuliko hata hao kina Mwasiti wenyewe.
Kesho Spurs wana jambo lao, nawahakikishia hamchomoki pale Tottenham Hotspur Stadium halafu jumamosi ijayo mtatembelewa na wanaume wa shoka.
Yule dogo kafanya kaz kubwa sana pale nyum Big upMbona hakuna anayeuzungumzia ubora wa bwana mdogo Malacia
Haalland ni mchezaji wa kawaida sana asipopenyezewa mipira, Mbappe anakaba, anakokota mpira, anatoa pass assistance na anakufunga popote iwe karibu, mbali, kulia kushoto, kwa kichwa hata kwa kisigino.Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.
Bissaka shida yake ni kwenye kuanzisha mashambulizi, mengine yote yupo vizuri.Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Sema Spurs kama matahira vile..usishangae akapigwa kama bwegeBaada ya matokeo ya kesho dhidi ya spurs,ndipo arsenal wataona walifanya ujinga kumshabikia man utd walau kwa dakika 90 tu. Gap ya 6 pointS halafu tunakutana nao game inayofuata.
Wataanza kujua kuwa mshindani wao halisi ni UNITED na sio CITY kama walivyodhani awali.
Mbappe mwambaa sanaa aiseee... Kijanaa ana balaa yuleee halland kama sallah tu[emoji1787][emoji1787]Haalland ni mchezaji wa kawaida sana asipopenyezewa mipira, Mbappe anakaba, anakokota mpira, anatoa pass assistance na anakufunga popote iwe karibu, mbali, kulia kushoto, kwa kichwa hata kwa kisigino.
Narudia tena, Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka hasa wawezeshaji wake wakizuiwa kama leo KDB alivyofichwa na akina Mahrez.