Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

What a win,,,


Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !

Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !


#GGMU
Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.

Casemiro nilimwambia mtu siku ile tumepigwa 6-3 na Shitty, kwamba akizoea ligi atatusaidia sana.
 
Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Wakati mwingine mpira hutegemea na winning mentality ambayo Man Utd walikuwa nayo hivi karibuni kwa kushinda mechi 5 mfululizo, pia mpira bahati wala si ubora wa ku-possess, kushambulia na kuzuia tu.

Mi ni mshabiki wa Chelsea na watakia ubingwa Arsenal Fans lakini muwe na akiba za maneno...
 
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.

Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.
 
Back
Top Bottom