Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.

Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Teh enzi za OLE alichacha kuna moment alikua anatoa boko mpaka unataman uingie umchape fimbo ata Rashfd nahisi ETH anajua kuwatumia
 
Yule jamaa n moto mbaya sema sijui kwann kocha hamwamin Ila jamaa anaujua vizuri sana
Bisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.

Kifupi kocha anahitaji pongezi sababu kaleta ushindani wa number ambao umesaidia wachezaji kujituma, embu fikiria leo hii Maguire hana number wakati OGS alimuendekeza akamfukuzisha kazi, leo Shaw anatolewa left anawekwa kati anapiga kazi safi Martenez anaanza bench. What a kocha? Ronaldo anazingua anasitishiwa mkataba loooh! Yaani ETH ni kama Ferg alivyokuwa hataki upuuzi
 
Bisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.

Kifupi kocha anahitaji pongezi sababu kaleta ushindani wa number ambao umesaidia wachezaji kujituma, embu fikiria leo hii Maguire hana number wakati OGS alimuendekeza akamfukuzisha kazi, leo Shaw anatolewa left anawekwa kati anapiga kazi safi Martenez anaanza bench. What a kocha? Ronaldo anazingua anasitishiwa mkataba loooh! Yaani ETH ni kama Ferg alivyokuwa hataki upuuzi
Kocha anajali uwezo wako mazoezini sio jina, hapo wachezaji lazima wajitume
 
Kono limekita kwa nguvu zote
Screenshot_20230114-215131.png
 
Back
Top Bottom