Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sura ya kazi...sura ya kijeshi..ronaldo na selfish ego yake amegonga mwamba kwa mwamba huyu
Rashford alichelewa nini sijui ,mwamba akamuambia nakupiga adhabu, gafla akamuambia nimebatilisha adhabu yako utaenda kucheza mechi na nataka uonyeshe kiwango safi,
Mwamba anasema sajili zilizopita zilikua za kawaida tu , kuvaa jezi ya man utd inatakiwa uwe na hadhi ya kuivaa na uwe na moyo mgumu wa kuhimili presha na magumu yote, View attachment 2472809
This is Pep wannabe who's older than pep himself[emoji1787]
 
Jamaa pia lirefu..linaweza kutusaidia..

Mwezi wa sita tuende na Harry Kane.
Kane hawez ondoka Spurs,,, sijajua mkataba unaisha lini,,,,naona Kama watamsapot Conte na more signings,,,, kane atakuwa sehemu ya project!

Bad luck to him, umri unasonga, top talent hajashinda major trophy yoyote,,,, jua linazidi kuzama !
 
Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Alafu nashangaa, huwa wanamuongezea tu mkataba ? Uingereza unammbeba !

Erick bailly alivyoondoka alisema pale utd Kuna wachezaji wapo na wengine wanapata namba lakini sio viwango basi tu uingereza unawabeba !
 
Kuna mahali nliona utd pia wanam-chase Mr, choupo wa fc Bayern! Huyu nae Amna kitu !

J, Felix naona atletico wametaka hela kubwa Kama loan fee, wametemana nae !
 
Kane hawez ondoka Spurs,,, sijajua mkataba unaisha lini,,,,naona Kama watamsapot Conte na more signings,,,, kane atakuwa sehemu ya project!

Bad luck to him, umri unasonga, top talent hajashinda major trophy yoyote,,,, jua linazidi kuzama !
Mkataba wake upo ukingoni na sioni Kane akisign mwingine..So Spurs watalazimika kumuuza ili wapate chochote kitu.
 
Yale mahesabu ya Chief Mkwawa naanza kuyaelewa.

Na bado mechi 21.

Arsenal hawajawahi kuwa serious.View attachment 2469206
Respectfully, Sina imani na Arsenal. Msimu huu nawaona wakimaliza top 4 ila sio ubingwa. Arsenal yupo ktk kiwango bora ila bado hajafika level za ushindani wa makombe kwa sasa.

Timu imara pale EPL ni City na Liverpool pekee japokuwa L'pool wana-struggle msimu huu ila timu imejengwa ktk msingi imara. City na L'pool ni timu pekee ambazo zimesimamiwa project zake na kundi lile lile la ufundi kwa miaka zaidi ya 5 kila mmoja.

Tofauti ya City na L'pool kwa miaka zaidi ya 6 chini ya Pep na Jurgen kila mmoja ni City huwa wanampa support kubwa sana Pep kila msimu huwa anapewa zaidi ya Pound 150M na anaitumia yote kuongeza nguvu kikosini. Pep kila msimu lazima atumie zaidi ya Pound 100M sokoni hata awe na timu nzuri kiasi gani.

Endapo L'pool wakamnunua mtu kama Enzo Fernandes au Jude wanaweza ku-challenge tiltle msimu huu. Msimu uliopita muda kama huu walizidiwa points 14 na City ila mwisho wa msimu walikuwa nyuma yake kwa point 1 tu.
 
Salaries at #mufc will be capped at £200,000 a week with David de Gea the first to be impacted. Richard Arnold and Erik ten Hag want to avoid a culture of dressing-room jealousy. [Joe Bernstein, Mail]
Hii issue mwaka juzi niliwahi kulizungumzia sana hapa kuhusu madhara ya kuwa na mishahara mikubwa kiholela holela. Pia sio tu kuleta makundi baina ya wachezaji kuna ugumu wa ku-offload flops maana wanakuwa ghali sana kwa timu zinazowahitaji.

Tuna-struggle kumuuza mchezaji kama Jones, Tuanzebe, Williams sio kwamba hakuna timu zinawataka bali wanaogoopa kutikisa salary structure yao. Mfano mzuri ni Aaron Wan Bissaka alipokuwa Crystal Palace mshahara wake ulikuwa pound 10k/weekly ila United ni pound 100k/weekly leo hii analipwa mshahara mkubwa sawa sawa na top earner ndani ya timu ile ile ya awali unafikiri wanaweza kummudu?
 
Tunahitaji sana mkurugenzi wa ufundi. Huyu fala hana mipango kabisa ya kiufundi anajua ku-sign cheque tu.

Huwa najiulizaga sana kama Marcus na Anthony waliweza ku-negotiate nae mezani mpaka kuwalipa $200k kwa wiki, je vipi kwa Bruno ukifika wakati wake wa kuongeza mkataba? Si tutamlipa $500k/weekly.

Madhara ya kulipa mishahara mikubwa ina-limit timu ku-accommodate talents nyingi kwa wakati mmoja kila mchezaji akitaka kuja anaona hapa ndio mahala pa kulipwa pesa ndefu.

Kwa akili za Ed sina imani kama angeweza kui-manage ile Manchester United ya mwaka 2006 - 2009. Ange-inflate salary budget beyond manageable capacity. Ingetulazimu tuuze baadhi ya wachezaji.

Pia, kama umegundua kitu sisi tukimtaka mchezaji bei huwa inakuwa kubwa sana. Timu nyingi zinajua Manchester United ya miaka hii inaongozwa na mtu bwege bwege ni rahisi kujipigia pesa. Just imagine football executive wa timu kubwa kama Manchester United hana taarifa buyout clause za wachezaji tunaotaka kuwasajili mf. Marounne Fellani.
Madhara ya mishahara mikubwa kikosini niliandika hapa mwaka juzi japokuwa bodi wanajificha ktk kichaka cha wivu ktk vyumba vya kubadilishia nguo ila ni uongo.

Timu imeelemewa na mishahara mikubwa kwa ssb ya kuwa na mtendaji mkuu kilaza (Ed Wooward - ndiye responsible) kwa muda mrefu sana. Tumeshindwa kulipa pesa ndogo kwa Felix hapa hawataki kuongea ukweli. We are overpaying sehemu kubwa sana ya wachezaji wetu kikosini.
 
Manchester United have been offered the chance to sign Wout Weghorst as new striker — exploring the conditions of the deal. [emoji837] #MUFC

€10m buy option is included in the deal so it’s up to Besiktas and Burnley. The player already gave his green light.

[emoji2398]Fabrizio Romano
FB_IMG_16731797670334113.jpg
 
Respectfully, Sina imani na Arsenal. Msimu huu nawaona wakimaliza top 4 ila sio ubingwa. Arsenal yupo ktk kiwango bora ila bado hajafika level za ushindani wa makombe kwa sasa.

Timu imara pale EPL ni City na Liverpool pekee japokuwa L'pool wana-struggle msimu huu ila timu imejengwa ktk msingi imara. City na L'pool ni timu pekee ambazo zimesimamiwa project zake na kundi lile lile la ufundi kwa miaka zaidi ya 5 kila mmoja.

Tofauti ya City na L'pool kwa miaka zaidi ya 6 chini ya Pep na Jurgen kila mmoja ni City huwa wanampa support kubwa sana Pep kila msimu huwa anapewa zaidi ya Pound 150M na anaitumia yote kuongeza nguvu kikosini. Pep kila msimu lazima atumie zaidi ya Pound 100M sokoni hata awe na timu nzuri kiasi gani.

Endapo L'pool wakamnunua mtu kama Enzo Fernandes au Jude wanaweza ku-challenge tiltle msimu huu. Msimu uliopita muda kama huu walizidiwa points 14 na City ila mwisho wa msimu walikuwa nyuma yake kwa point 1 tu.
Arsenal wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa hata kimahesabu.

Ili waukose ubingwa wanahitaji kupoteza angalau mechi tano au Sare zisizopungua saba halafu timu inayowafuatia asipoteze zaidi ya mechi tatu.

Kimahesabu Arsenal wameukaribia sana ubingwa imagine katika mzunguko huu wamepoteza mechi moja tu.
 
Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Hiki chuma unaweza ukakiona ukajua kilienda labda mkopo kumbe kipo ndani kwako na haujui😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom