Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijaona update yeyote kwa hawa waandishi wenye ukaribu zaidi na maskani ya old trafford.

Chief-Mkwawa una access ya huu mtandao wa the athletic?
Kama umesoma hiyo makala, laurie ana lolote juu ya felix?
Mbona ile app bado inafanya kazi mkuu? Nimecheki ni hivyo hivyo ulivyoandika hakuna habari zaidi

Felix Atletico wabaki nae tu, Timu hata hela bank haina.
 
Screenshot_20230107-233350_1.png

Jamaa Anakaba kushinda Midfielder
 
Man u tunamsajir wout woghorst ambaye burnley wamemtoa kwa mkopo Besiktas na wamekumaliana ikipita miez 10 wauziane moja kwa moja sisi ndo tunamsajiri tunakwama wapi yani da shida bado hipo kama kombe la dunia nd tunaangalia ata maguire alishine martial bado ni the best kwa huyo hakuna mshindani hapo
Screenshot_20230108-060601.jpg
 
Sura ya kazi...sura ya kijeshi..ronaldo na selfish ego yake amegonga mwamba kwa mwamba huyu
Rashford alichelewa nini sijui ,mwamba akamuambia nakupiga adhabu, gafla akamuambia nimebatilisha adhabu yako utaenda kucheza mechi na nataka uonyeshe kiwango safi,
Mwamba anasema sajili zilizopita zilikua za kawaida tu , kuvaa jezi ya man utd inatakiwa uwe na hadhi ya kuivaa na uwe na moyo mgumu wa kuhimili presha na magumu yote, View attachment 2472809
The gaffer
 
Sura ya kazi...sura ya kijeshi..ronaldo na selfish ego yake amegonga mwamba kwa mwamba huyu
Rashford alichelewa nini sijui ,mwamba akamuambia nakupiga adhabu, gafla akamuambia nimebatilisha adhabu yako utaenda kucheza mechi na nataka uonyeshe kiwango safi,
Mwamba anasema sajili zilizopita zilikua za kawaida tu , kuvaa jezi ya man utd inatakiwa uwe na hadhi ya kuivaa na uwe na moyo mgumu wa kuhimili presha na magumu yote, View attachment 2472809
This is Pep wannabe who's older than pep himself
 
Jamaa pia lirefu..linaweza kutusaidia..

Mwezi wa sita tuende na Harry Kane.
Kane hawez ondoka Spurs,,, sijajua mkataba unaisha lini,,,,naona Kama watamsapot Conte na more signings,,,, kane atakuwa sehemu ya project!

Bad luck to him, umri unasonga, top talent hajashinda major trophy yoyote,,,, jua linazidi kuzama !
 
Binafsi sioni miaka hii miwili kama martial atasalia pale OT, ila kuna chuma kinaitwa Phil Jones kwanza kiligoma kukuwa kiwango kwakuwa sijui uchawi upo mwaka wa 12 huu chuma bado kipo kinakula pension
Alafu nashangaa, huwa wanamuongezea tu mkataba ? Uingereza unammbeba !

Erick bailly alivyoondoka alisema pale utd Kuna wachezaji wapo na wengine wanapata namba lakini sio viwango basi tu uingereza unawabeba !
 
Kuna mahali nliona utd pia wanam-chase Mr, choupo wa fc Bayern! Huyu nae Amna kitu !

J, Felix naona atletico wametaka hela kubwa Kama loan fee, wametemana nae !
 
Kane hawez ondoka Spurs,,, sijajua mkataba unaisha lini,,,,naona Kama watamsapot Conte na more signings,,,, kane atakuwa sehemu ya project!

Bad luck to him, umri unasonga, top talent hajashinda major trophy yoyote,,,, jua linazidi kuzama !
Mkataba wake upo ukingoni na sioni Kane akisign mwingine..So Spurs watalazimika kumuuza ili wapate chochote kitu.
 
Back
Top Bottom