D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Wout weghorst
Taarifa zinadai huenda akasajiliwa kwa mkopo wa miezi 6.Kafanyaje huyu mkuu?
Man u timu ya baba timu ya mama
Depay na Aboubakar, definitely namchagua Aboubakar bila wasiwasi wowote, depay hana kitu kipya cha kuprove tenaSi walete hata Depay. Aboubakar wamuache astaafu![]()
Aboubakar speed hana kwasasa, umri umeshasogeaDepay na Aboubakar, definitely namchagua Aboubakar bila wasiwasi wowote, depay hana kitu kipya cha kuprove tena
Ten Hag:
“I also expect Liverpool to be right back - and I see them, together with City, as the two teams to beat in England.
Also, Arsenal are having a super season and are already far ahead in the league.”
_____
Umegundua kitu gani kwenye nukuu hizo mbili
Kusema kweli Bora huyu jamaa, Proven Goal scorer na ni pure no 9, atatupa quality tofauti na Martial na Rashford. Ighalo part 2.Wout weghorst
View attachment 2472341
Kumbe anacheza Burnley?Kusema kweli Bora huyu jamaa, Proven Goal scorer na ni pure no 9, atatupa quality tofauti na Martial na Rashford. Ighalo part 2.
Kaja mwaka jana Burnley kacheza Nusu msimu tu, Alitufunga Epl msimu uliopita.Kumbe anacheza Burnley?
Sijui Martial ana mashetani gani,kipindi cha pre season alifanya vizuri sana hadi EtH akabadili mawazo jamaa asiuzwe kwanza,baada ya kupata majeruhi na kurejea amekuwa hovyo sana,Amekuwa na game nzuri sana kipindi hiki,mchezaji ambaye hajaimprove kwa Ten Hag naona Martial bado
Jamaa bado anaamini arsenal sio tishio endelevu kwenye kugombea makombe licha ya form nzuri waliyo nayo kwa sasa. Kipimo cha ubora wa timu yake ni level za Liverpool na city.Ten Hag:
“I also expect Liverpool to be right back - and I see them, together with City, as the two teams to beat in England.
Also, Arsenal are having a super season and are already far ahead in the league.”
_____
Umegundua kitu gani kwenye nukuu hizo mbili
Kwa kifupi Martial hatufai tena bila kupepesa macho maana miaka nenda rudi yupo hivyo hivyo, angalau Rashford siku hizi anakaza kinomaSijui Martial ana mashetani gani,kipindi cha pre season alifanya vizuri sana hadi EtH akabadili mawazo jamaa asiuzwe kwanza,baada ya kupata majeruhi na kurejea amekuwa hovyo sana,
Pia mkianza kumsema vibaya anapandisha kiwango mnaona sasa mmepata striker,baada ya game kadhaa anavurunda hadi hamtaki kumuona hata benchi.
Vipi deal ya Joao Felix,limekwamia wapi?Memphis Depay is another option for a loan move to Manchester United while Vincent Aboubakar is not being pursued #mufc
Kwa mujibu wa Laurie whitwell