Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sikubahatika kuangalia mechi ya jana ila ukiniuliza ni wachezaji gani pale manchester united hupendelea zaidi kucheza mpira wa tennis kama alivyosikika erik ten hag akibwatuka basi ni hawa wafuatao.
  1. david de gea
  2. scott mctominay
  3. anthony elanga
  4. bruno fernandez = HUYU NDIYE MASTER
  5. wan bissaka
  6. harry maguire
  7. fred
 
sikubahatika kuangalia mechi ya jana ila ukiniuliza ni wachezaji gani pale manchester united hupendelea zaidi kucheza mpira wa tennis kama alivyosikika erik ten hag akibwatuka basi ni hawa wafuatao.
  1. david de gea
  2. scott mctominay
  3. anthony elanga
  4. bruno fernandez = HUYU NDIYE MASTER
  5. wan bissaka
  6. harry maguire
  7. fred
Fernandes amekosa sana utulivu nowdays..
 
Huyu jamaa mwisho wake umekuwa na changamoto ndio maana vilabu vinamuogopa
Screenshot_20230104-200646_Facebook.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Msimu uliopita tulimaliza na clean sheets 8 ktk mechi 38 mpaka sasa ndani ya michezo 17 tumezipata 8. Tumezidiwa na Newcastle pekee mwenye clean sheets 10 ndani ya michezo 18.

Tumeshinda mechi 11 kati ya 17 tumezidiwa na Arsenal pekee aliyeshinda michezo 14 ktk mechi 17 pia. Bodi wasifanye masikhara kama wanaweza hata wakope ila mshua apewe mshambuliaji mmoja. Tuna nafasi ya kufanya jambo msimu huu.
 
Bado kumekuwa na tetesi za ujio wa FdJ majira ya joto yajayo pale United. Na ni matumaini yangu hii nafasi ikitokea basi EtH hawezi kuiacha impite kwa jinsi alivyo na mahaba na huyu kijana.

Shughuli ya Casemiro haina mjadala hapa,Bruno (mzee wa tennis kwa mujibu wa I AM SALIM ) ingawa tunamponda sana siku hizi (kasoro Chief-Mkwawa ) ubora wake huwa unaonwa na walimu wake tangu enzi za Ole,EtH na hata kocha wa timu ya taifa ya ureno.
Eriksen pamoja na uzee wake yule mtu ana brain ya mpira

Swali langu ni namna gani atakipanga kiungo chake wakati FdJ akicheza kama Deep Laying Playmaker pamoja na uwepo wa Case,Bruno na Eriksen kwenye eneo la kati?
 
Msimu uliopita tulimaliza na clean sheets 8 ktk mechi 38 mpaka sasa ndani ya michezo 17 tumezipata 8. Tumezidiwa na Newcastle pekee mwenye clean sheets 10 ndani ya michezo 18.

Tumeshinda mechi 11 kati ya 17 tumezidiwa na Arsenal pekee aliyeshinda michezo 14 ktk mechi 17 pia. Bodi wasifanye masikhara kama wanaweza hata wakope ila mshua apewe mshambuliaji mmoja. Tuna nafasi ya kufanya jambo msimu huu.
Yale mahesabu ya Chief Mkwawa naanza kuyaelewa.

Na bado mechi 21.

Arsenal hawajawahi kuwa serious.
IMG-20230104-WA0051.jpg
 
Bado kumekuwa na tetesi za ujio wa FdJ majira ya joto yajayo pale United. Na ni matumaini yangu hii nafasi ikitokea basi EtH hawezi kuiacha impite kwa jinsi alivyo na mahaba na huyu kijana.

Shughuli ya Casemiro haina mjadala hapa,Bruno (mzee wa tennis kwa mujibu wa I AM SALIM ) ingawa tunamponda sana siku hizi (kasoro Chief-Mkwawa ) ubora wake huwa unaonwa na walimu wake tangu enzi za Ole,EtH na hata kocha wa timu ya taifa ya ureno.
Eriksen pamoja na uzee wake yule mtu ana brain ya mpira

Swali langu ni namna gani atakipanga kiungo chake wakati FdJ akicheza kama Deep Laying Playmaker pamoja na uwepo wa Case,Bruno na Eriksen kwenye eneo la kati?
Hapo ni Casemiro + FDJ, Mbele yao anacheza Bruno.
Ubora wa FDJ uko kwenye kukokota mipira kutoka eneo la chini kwenda mbele.
Kwa sasa hatuna mchezaji wa aina hiyo.

FDJ akipeleka mipira mbele nyuma anamuacha Casemiro.
 
Acha kuniuliza maswali ya kitoto.

Unadhani ningeweza tu from nowhere kutoa comment hiyo kama siangalii mpira kwa details??
Ambao wanalipa viingilio kwenda uwanjani wanamkubali... Halafu mechi hyo hyo ambayo mashabiki wamemkubali wewe uliopo kwenye kibanda umiza AGAFILO una diss....

Anyway.... Ndio raha ya mpira kila mtu anamtizamo wake..
 
Bado kumekuwa na tetesi za ujio wa FdJ majira ya joto yajayo pale United. Na ni matumaini yangu hii nafasi ikitokea basi EtH hawezi kuiacha impite kwa jinsi alivyo na mahaba na huyu kijana.

Shughuli ya Casemiro haina mjadala hapa,Bruno (mzee wa tennis kwa mujibu wa I AM SALIM ) ingawa tunamponda sana siku hizi (kasoro Chief-Mkwawa ) ubora wake huwa unaonwa na walimu wake tangu enzi za Ole,EtH na hata kocha wa timu ya taifa ya ureno.
Eriksen pamoja na uzee wake yule mtu ana brain ya mpira

Swali langu ni namna gani atakipanga kiungo chake wakati FdJ akicheza kama Deep Laying Playmaker pamoja na uwepo wa Case,Bruno na Eriksen kwenye eneo la kati?
Watu wanamuangalia Bruno kama mtoa pasi za Mwisho tu ila jamaa ni Fighter sana, hata kama hachezi vizuri ila yupo maeneo yote anakaba, mara nyingi asipokuepo Eriksen anakuwa exposed.

Akija FDJ ina maana Eriksen atakuwa rotated nafasi ya Bruno na FDJ, mtu ambaye atapata tabu kwenye ujio wa FDJ ni Fred kwa inavyoonekana ETH anamtumia kama sub ya Eriksen.

Ila siku hizi kuna sub 5 watacheza wote, mashindano mengi,
 
Back
Top Bottom