Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Squad players ni muhimu huwa nashangaa watu wakitaka kila mchezaji wa kawaida auzwe wakati ni muhimu kuwa na watu wa kazi na wale watakaosaidia.Fred akitokea benchi ana imapct sana
Squad players ni muhimu huwa nashangaa watu wakitaka kila mchezaji wa kawaida auzwe wakati ni muhimu kuwa na watu wa kazi na wale watakaosaidia.Fred akitokea benchi ana imapct sana
Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..Greenwood kesi yake haijaisha na unavyowalaumu United ni uongo kwasababu United bado wana mkataba naye wamepisha kwanza mahakama iamue kesi yake ndiyo wajue hatma ya Greenwood.
Akikutwa hana hatia wala timu haina shida, tatizo kubwa litakuwa mashabiki, itakuwa vigumu kwake kupokelewa vizuri OT.
Kesi yake itaendelea tena November 23, 2023 kipindi ambacho tayari msimu mpya 2023/24 utakuwa umeanza na namba yake kikosini itakuwa ishapotea. Kama atakutwa hana hatia Greenwood kucheza tena football maybe 2024.
Angekuwa mchezaji muhimu sana kwa United muda huu tena chini ya EtH angekiwasha sana.Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..
Angekuwa ameiva sana saivi naamini hivyo.
Huyo jamaa kila siku kocha mjinga ila timu inashinda.Mzoee tu huyo jamaa! Ndivyo alivyo.
White Pepe......





We signed Antony for €100m!!!!!?????White Pepe......![]()
Hapo ndipo mashabiki tunaposhindwa kuzuia mihemukoNaweza kusema kocha mjinga sana huyuToa Anthony weka Garnacho toa Malacia weka Maguire toa Martial weka .........
Wasituletee ujinga wao mbwa hawaHizi tetesi za kumtaka Vicent Aboubakari yule mcameroon kwa mkopo ni mimi peke yangu ndiye nimezisoma?
Si walete hata Depay. Aboubakar wamuache astaafu 😅😅😅
Wamuache astaafu tu 😅😅😅😅Hizi tetesi za kumtaka Vicent Aboubakari yule mcameroon kwa mkopo ni mimi peke yangu ndiye nimezisoma?
Taarifa zinadai huenda akasajiliwa kwa mkopo wa miezi 6.Kafanyaje huyu mkuu?
Man u timu ya baba timu ya mama