Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Greenwood kesi yake haijaisha na unavyowalaumu United ni uongo kwasababu United bado wana mkataba naye wamepisha kwanza mahakama iamue kesi yake ndiyo wajue hatma ya Greenwood.

Akikutwa hana hatia wala timu haina shida, tatizo kubwa litakuwa mashabiki, itakuwa vigumu kwake kupokelewa vizuri OT.

Kesi yake itaendelea tena November 23, 2023 kipindi ambacho tayari msimu mpya 2023/24 utakuwa umeanza na namba yake kikosini itakuwa ishapotea. Kama atakutwa hana hatia Greenwood kucheza tena football maybe 2024.
Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..

Angekuwa ameiva sana saivi naamini hivyo.
 
Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..

Angekuwa ameiva sana saivi naamini hivyo.
Angekuwa mchezaji muhimu sana kwa United muda huu tena chini ya EtH angekiwasha sana.

Wenyewe wanasema "A custodial sentence is inevitable if a person is found guilty of attempted rape." na ana mashitaka matatu, sijui atachomokaje hapa.

Hii kesi social media ndiyo imeichochea zaidi, watu hawataki kingine zaidi ya haki kwa yule binti.

Greenwood f*cked up big time!
 
Seventh-straight win for Manchester United

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230107_131410_727.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230107_131300_615.jpg
    IMG_20230107_131300_615.jpg
    163.4 KB · Views: 12
Ten Hag: mufc have bought an unimaginable number of players in recent years who have not been good enough.”

Most purchases have been average - and at mufc average is not good enough. United's shirt weighs heavily. Only real personalities, who can perform under great pressure, can play here
 
Ten Hag:
“I think we should be satisfied with where we are now given the bumps encountered in the early part of the season.

We are not yet competitive with Manchester City - and I still see that club as a step too high at the moment.”
 
Ten Hag:
“I also expect Liverpool to be right back - and I see them, together with City, as the two teams to beat in England.

Also, Arsenal are having a super season and are already far ahead in the league.”
_____

Umegundua kitu gani kwenye nukuu hizo mbili
 
Back
Top Bottom