Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,304
- 46,777
Martial nimemwangalia hizi game ligi ilivyorudi baada ya World Cup,,daah kusema ukweli anakatisha tamaa..Tumebaki na Rashford tu..sasa hii sio nzuri hata kidogo.Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.
N.B Martial dhidi ya City huwa hajawahi kuniangusha.

