Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.

N.B Martial dhidi ya City huwa hajawahi kuniangusha.
 
Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.

N.B Martial dhidi ya City huwa hajawahi kuniangusha.
Martial nimemwangalia hizi game ligi ilivyorudi baada ya World Cup,,daah kusema ukweli anakatisha tamaa..Tumebaki na Rashford tu..sasa hii sio nzuri hata kidogo.
 
Napita hapa kijiwe nongwa vijana wana tabasamu kweli kweli kama wameambiwa kuna bia za bure kumbe amna bwana nimewauliza kuna nini hapa wame jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 1 vs Everton 0

Time

Saa 5 usiku

Last match

Everton 1 vs manchester united 2

GGMU
1672933183893.jpg
 
Everton leo kayakanyaga lazima achapike pale kwenye vile vitofali vya kuchoma.
Ila hizi mechi za saa 11:00 zimeshaanza kunichosha, utafikiri tunaangalia La Liga banaa.
Mechi za saa 5 zinakera kinoma ilisababisha nikaikosa mechi ya Nottingham Forest nilipumzika lengo saa 5 ikifika nicheki game nakuja kushtuka mechi ishaisha.

Sasa hivi UK kipindi cha winter washabadili saa yao kutoka BST to GMT.

Hizi mechi za United siyo za kukosa siku hizi ni full entertainment. Msimu huu nimekosa mechi 3 tu: ya Spurs na Chelsea nilipata matatizo zikanipita.

#GGMU
 
First XI ya leo ni mwendo wa kuminya mbupu tu.

Ila tukitoboa leo game ya Everton aweke full mkoko then kwa Charlton rotation kidogo. City na Arsenal ni full mkoko.

Msimu huu tunapiga kotekote, FA na Carabao ndo vikombe vyetu.

#GGMU
FULL MKOKOOO!!!
 
Naweza kusema kocha mjinga sana huyu😡😡 Toa Anthony weka Garnacho toa Malacia weka Maguire toa Martial weka .........
First XI ya leo ni mwendo wa kuminya mbupu tu.

Ila tukitoboa leo game ya Everton aweke full mkoko then kwa Charlton rotation kidogo. City na Arsenal ni full mkoko.

Msimu huu tunapiga kotekote, FA na Carabao ndo vikombe vyetu.

#GGMU
 
Ten Hag on tonight's #mufc XI: "We take every game and every competition seriously." [mutv]
 
Tuna game na Barca Europa na Martinez hatokuwepo naona hamuamini tena Maguire

Erik ten Hag on Shaw at centre-back: “He has done well there but it's also a tactical choice. They form a very good hinge with Rapha [Varane] and Tyrell Malacia played very well, so I kept that.”
 
Napita hapa kijiwe nongwa vijana wana tabasamu kweli kweli kama wameambiwa kuna bia za bure kumbe amna bwana nimewauliza kuna nini hapa wame jibu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 1 vs Everton 0

Time

Saa 5 usiku

Last match

Everton 1 vs manchester united 2

GGMUView attachment 2471254
Mwamba umefika.

Wadau walikusubiri kwa hamu.
 
Back
Top Bottom