Naangalia mpiraUnaangalia mpira au unasikiliza kwenye redio???
Hivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwaTumeshinda ila everton wamesumbua balaa
balaaAkija timu mkubwa anakuwa Kimeo ghafla tuHivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwabalaa
Huyo hana impact kwenye final third.Hivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwabalaa
Mtake radhi Mtakatifu Anne, huko Upundani alipo ameshapachoka kutokana na mizigo mizito ya mateso na vipigo vya mara kwa mara.Una hali gani huko uliko we kocho mtumia Tecno![]()
10 Hag hajamleta Van de beek mkuuKwa hiyo hiki ndio kikosi chake serious!!!Huyu kocha bhana, kwanza wachezaji wake aliowaleta wote wamefail...Anthony, Van de Beek, Malacia, Lisandro pekee ndio anaonekana mtu. Hawa kina Martial aachane nao mapema huwezi kuwa na mchezaji mvivu kiasi hiki, Rashford anapambana lenyewe linatembea tu.
Saiv tungekuwa tunaongelea mengineSure.. au greenwoof asingeendekeza uchi tungekua tunainjoi tu apa
anachezaAlicheza winger wa kulia ?
Tumeshinda ila everton wamesumbua balaa
Antony ana tabia za dada yake neymar talent yke ni kubwa shida anajiona yeye n mkubwa kumbe ndo chipkizi anatakiwa kuendelea kujifunza ili afike anapotaka vile vile man u kuna tatizo la muendelezo wa vipaj jordan sachon ametoka Dortmund akiwa bora lakin now kiwango chake kimeshuka alikadhalika malacia vile vile kiwango kimeshuka kocha hayafanyie kaz hayo ila ingizo la casemiro na eriksen limefanya man u tuwe bora san hao viungo ndo wanafanya safu ya ulinzi kuwa bora san luke shaw good perfomance akiwa katikat anaondoka na mali juu kuobgeza namba ya attack ni kitu tofaut teg amekifanya utdFowards zetu butu, utoto mwingi amna mtu wa kufanya maamuz magumu wanaruka ruka tuu huyo antony mbwembwe nyingi mwisho watu wanachukua mali, akipiga pasi nying hazifiki
Washabik kama nyiny huwa nasemaga s watu wa mpira mchezaj akiperfom unasifia akiwa chin ya kiwango makasiriko atuchukui kikombe una mda gan umechukua kikombe wewe shukuru teg hag amekuja kuibadilisha team ilikuwa kweny hali mbaya na ushindan wa namba ukiwa mdogo kiwango cha mchezaj kina kuwa kinashuka tunamajerui kam sacho akirud akiwa anaingia kutakuwa na compete hpo utaona wanakaza na akisajiliwa strike na winga mwengine utoona utoto ukirtokoa kwa asilimia kubwa watakuwa na nidhamu kwa maana anajua akikosea nakaa bechHatuwezi kushinda chochote kwa wachezaji kama martial na Anthony![]()