GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,661
- 17,968
Huyo hana impact kwenye final third.Hivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwa [emoji91] balaa
Huyo hana impact kwenye final third.Hivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwa [emoji91] balaa
Mtake radhi Mtakatifu Anne, huko Upundani alipo ameshapachoka kutokana na mizigo mizito ya mateso na vipigo vya mara kwa mara.Una hali gani huko uliko we kocho mtumia Tecno [emoji38][emoji38][emoji38]
10 Hag hajamleta Van de beek mkuuKwa hiyo hiki ndio kikosi chake serious!!! [emoji38][emoji38] Huyu kocha bhana, kwanza wachezaji wake aliowaleta wote wamefail...Anthony, Van de Beek, Malacia, Lisandro pekee ndio anaonekana mtu. Hawa kina Martial aachane nao mapema huwezi kuwa na mchezaji mvivu kiasi hiki, Rashford anapambana lenyewe linatembea tu.
Saiv tungekuwa tunaongelea mengineSure.. au greenwoof asingeendekeza uchi tungekua tunainjoi tu apa
anachezaAlicheza winger wa kulia ?
Tumeshinda ila everton wamesumbua balaa
Antony ana tabia za dada yake neymar talent yke ni kubwa shida anajiona yeye n mkubwa kumbe ndo chipkizi anatakiwa kuendelea kujifunza ili afike anapotaka vile vile man u kuna tatizo la muendelezo wa vipaj jordan sachon ametoka Dortmund akiwa bora lakin now kiwango chake kimeshuka alikadhalika malacia vile vile kiwango kimeshuka kocha hayafanyie kaz hayo ila ingizo la casemiro na eriksen limefanya man u tuwe bora san hao viungo ndo wanafanya safu ya ulinzi kuwa bora san luke shaw good perfomance akiwa katikat anaondoka na mali juu kuobgeza namba ya attack ni kitu tofaut teg amekifanya utdFowards zetu butu, utoto mwingi amna mtu wa kufanya maamuz magumu wanaruka ruka tuu huyo antony mbwembwe nyingi mwisho watu wanachukua mali, akipiga pasi nying hazifiki
Washabik kama nyiny huwa nasemaga s watu wa mpira mchezaj akiperfom unasifia akiwa chin ya kiwango makasiriko atuchukui kikombe una mda gan umechukua kikombe wewe shukuru teg hag amekuja kuibadilisha team ilikuwa kweny hali mbaya na ushindan wa namba ukiwa mdogo kiwango cha mchezaj kina kuwa kinashuka tunamajerui kam sacho akirud akiwa anaingia kutakuwa na compete hpo utaona wanakaza na akisajiliwa strike na winga mwengine utoona utoto ukirtokoa kwa asilimia kubwa watakuwa na nidhamu kwa maana anajua akikosea nakaa bechHatuwezi kushinda chochote kwa wachezaji kama martial na Anthony [emoji706][emoji706]
10 Hag hajamleta Van de beek mkuu
Yaani kila kitu anachofanya kinakuwa right..pasi ndefu ambazo alikuwa hawezi kupiga,saivi anazipiga vizuri mno.Fred akitokea benchi ana imapct sana
Amekuwa na game nzuri sana kipindi hiki,mchezaji ambaye hajaimprove kwa Ten Hag naona Martial badoYaani kila kitu anachofanya kinakuwa right..pasi ndefu ambazo alikuwa hawezi kupiga,saivi anazipiga vizuri mno.
Tecno haziruhusiwi kwani?Una hali gani huko uliko we kocho mtumia Tecno [emoji38][emoji38][emoji38]
Wa kawaida sana halafu umbo Lake hatofautiani sana na Amad Diallo.Hivi yule Gray wa Everton Man U huwa hawamuoni. Tangu akiwa Leicester alikuwa [emoji91] balaa
Squad players ni muhimu huwa nashangaa watu wakitaka kila mchezaji wa kawaida auzwe wakati ni muhimu kuwa na watu wa kazi na wale watakaosaidia.Fred akitokea benchi ana imapct sana
Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..Greenwood kesi yake haijaisha na unavyowalaumu United ni uongo kwasababu United bado wana mkataba naye wamepisha kwanza mahakama iamue kesi yake ndiyo wajue hatma ya Greenwood.
Akikutwa hana hatia wala timu haina shida, tatizo kubwa litakuwa mashabiki, itakuwa vigumu kwake kupokelewa vizuri OT.
Kesi yake itaendelea tena November 23, 2023 kipindi ambacho tayari msimu mpya 2023/24 utakuwa umeanza na namba yake kikosini itakuwa ishapotea. Kama atakutwa hana hatia Greenwood kucheza tena football maybe 2024.
Angekuwa mchezaji muhimu sana kwa United muda huu tena chini ya EtH angekiwasha sana.Dogo alikuwa na bright future ila ndo hivyo tena..kipochi manyoya kimemponza..
Angekuwa ameiva sana saivi naamini hivyo.
Huyo jamaa kila siku kocha mjinga ila timu inashinda.Mzoee tu huyo jamaa! Ndivyo alivyo.