Lile goli ata ww unafunga... ukitoa goli amna cha maana anachofanya anakaa sana na mpira wanampokonya timu nyuma na kati inacheza vizur huko mbele upumbavu mwing***** aliefunga goli ni nani mbona mnapenda kuandama wachezaji kama ni kazi rahisi ??
Huyu anthony hata wc aliitwa tu sabb ya kuchezea man u hamna kituLile goli ata ww unafunga... ukitoa goli amna cha maana anachofanya anakaa sana na mpira wanampokonya timu nyuma na kati inacheza vizur huko mbele upumbavu mwing
Wafosi wamchukue benzema.. jamaa kashashinda kila kitu na madrid wamshawishi aje OT pale awafundishe watoto proper number nine anatakiwa acheze vp...Gakpo![]()
Anthony huyu aliyefunga goli ?Hatuwezi kushinda chochote kwa wachezaji kama martial na Anthony![]()
hii winger ya antony angekuwepo GakpoWafosi wamchukue benzema.. jamaa kashashinda kila kitu na madrid wamshawishi aje OT pale awafundishe watoto proper number nine anatakiwa acheze vp...
Gakpo ni winger wa kulia ?hii winger ya antony angekuwepo Gakpo
Wc alicheza mbna...Gakpo ni winger wa kulia ?
Yani kuna ile counter ameiharibu kifala sana..
Napata shaka kuamini kama huyu ndio yule Anthony tuliyekuwa tunamuona kwenye 'highlights'
Hamna cha gakpo huyu jamaa anatakiwa aelekezwe. Watu wanaotumia mguu wa kushoto wapo wengi tu na wanafanya kitu inaeleweka.hii winger ya antony angekuwepo Gakpo
Unaangalia mpira au unasikiliza kwenye redio???Anthony huyu aliyefunga goli ?
Fowards zetu butu, utoto mwingi amna mtu wa kufanya maamuz magumu wanaruka ruka tuu huyo antony mbwembwe nyingi mwisho watu wanachukua mali, akipiga pasi nying hazifikiVery sloppy tukufika maeneo ya hatari..na hii shida sio ya leo tu.
Sure.. au greenwoof asingeendekeza uchi tungekua tunainjoi tu apahii winger ya antony angekuwepo Gakpo
Kwa hiyo hiki ndio kikosi chake serious!!! 😆😆 Huyu kocha bhana, kwanza wachezaji wake aliowaleta wote wamefail...Anthony, Van de Beek, Malacia, Lisandro pekee ndio anaonekana mtu. Hawa kina Martial aachane nao mapema huwezi kuwa na mchezaji mvivu kiasi hiki, Rashford anapambana lenyewe linatembea tu.Ten Hag on tonight's #mufc XI: "We take every game and every competition seriously." [mutv]
10hag aliamua kuwapunguzia ajax mzigo kwa kumchukua
Napata shaka kuamini kama huyu ndio yule Anthony tuliyekuwa tunamuona kwenye 'highlights'
Alicheza winger wa kulia ?Wc alicheza mbna...