Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Itakua umeangalia mechi ya leo kwa jicho moja.Anton auzwe mapema kabla hajazidi kuonekana galasa maana hakuna mchezaji pale
Itakua umeangalia mechi ya leo kwa jicho moja.Anton auzwe mapema kabla hajazidi kuonekana galasa maana hakuna mchezaji pale
VdB mchezaji mmoja wa hovyo sana
Rashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.Ndio unajua leo?
Ndio kilichomleta hiko kuzuia counterMechi imepiganiwa, wachezaji wanajituma sana, Antony pia muangalieni kwa jicho la pili, jamaa anakaba all time, kwa speed yake leo ameua counter 2 ambazo wachezaji wa wolves wangekua 1v1 na De Gea.




?????Usifananishe FUNDI NKETIAH na uharo wa pembaRashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
Hamna mchezaji humo.. tumepigwa
JINI KATOKA MGANGA HOIRashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.Ndio kilichomleta hiko kuzuia counter?????
Hili galasà uzeni mapema mkuu
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.
Amesajiliwa kutupa width na kucover upande wa kulia hio ndio kazi yake muhimu zaidi, na anaifanya vizuri tu hio kazi.
Nikweli kabisa hata huyo city tukikutana nae mrudiano oldtrafford ni vigumu kutufunga tena.Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.
Kuna kufungwa na kuadhibiwa
Nasisitiza hakuna.