Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
JINI KATOKA MGANGA HOI

Kila Siku ukitegemea miujiza , ndio yanayomkuta David Moyes

Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k

Ratiba Kama hii ndio ilimfukuzisha kazi Ole gunar
 
Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k
Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.

Kuna kufungwa na kuadhibiwa
Nasisitiza hakuna.
 
Ndio kilichomleta hiko kuzuia counter?????
Hili galasà uzeni mapema mkuu
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.

Amesajiliwa kutupa width na kucover upande wa kulia hio ndio kazi yake muhimu zaidi, na anaifanya vizuri tu hio kazi.
 
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.

Amesajiliwa kutupa width na kucover upande wa kulia hio ndio kazi yake muhimu zaidi, na anaifanya vizuri tu hio kazi.

Kuna mijitu haijui mpira,unapoteza muda wako buuuure.
 
Bruno Fernandes’ game by numbers vs. Wolves:

85% pass accuracy
68 touches
4 key passes
4 ground duels won
3 long balls completed
1 assist

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221231_174737_864.jpg
 
Marcus Rashford’s game by numbers vs. Wolves:

93% pass accuracy
45 minutes played
23 touches
2 shots on target
1 yellow card
1 dribble completed
1 goal

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221231_174743_127.jpg
 
Anthony Elanga, discussed between Lampard and the board as option for January window.


#FabrizioRomano
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.

Kuna kufungwa na kuadhibiwa
Nasisitiza hakuna.
Nikweli kabisa hata huyo city tukikutana nae mrudiano oldtrafford ni vigumu kutufunga tena.
 
Rashford: “I overslept and I missed the pre game meeting. I was a little bit late. It's the team rules and I understand the decision”,
10 Hag hana masihara ukijifanya una unausingizi sana mpaka ukachelewa mazoezini au kwenye pre game meeting unakula bench bila kuangaliwa usoni hata kama ndio mchezaji tegemeo kwenye timu.

Kocha simamia hapohapo kwenye ni nidhamu ya timu maana kuna michezaji ilikua ishaanza kujiona mifaza hapo OT.
 
10 Hag hana masihara ukijifanya una unausingizi sana mpaka ukachelewa mazoezini au kwenye pre game meeting unakula bench bila kuangaliwa usoni hata kama ndio mchezaji tegemeo kwenye timu.

Kocha simamia hapohapo kwenye ni nidhamu ya timu maana kuna michezaji ilikua ishaanza kujiona mifaza hapo OT.
Short tempered huyo manager kibonde wenu
 
Back
Top Bottom