DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,877
Usifananishe FUNDI NKETIAH na uharo wa pembaRashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
Usifananishe FUNDI NKETIAH na uharo wa pembaRashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
Hamna mchezaji humo.. tumepigwa
JINI KATOKA MGANGA HOIRashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.Ndio kilichomleta hiko kuzuia counter?????
Hili galasà uzeni mapema mkuu
Hata Ajax alikua hivi hivi ETH anajua amenunua nini, kipindi anasajiliwa Mashabiki wa ajax walikuwa wanasema ni Big game player ila mechi ndogo nyingi anakuwa hana motivation.
Amesajiliwa kutupa width na kucover upande wa kulia hio ndio kazi yake muhimu zaidi, na anaifanya vizuri tu hio kazi.
Nikweli kabisa hata huyo city tukikutana nae mrudiano oldtrafford ni vigumu kutufunga tena.Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.
Kuna kufungwa na kuadhibiwa
Nasisitiza hakuna.
Rashford: “I overslept and I missed the pre game meeting. I was a little bit late. It's the team rules and I understand the decision”,


10 Hag hana masihara ukijifanya una unausingizi sana mpaka ukachelewa mazoezini au kwenye pre game meeting unakula bench bila kuangaliwa usoni hata kama ndio mchezaji tegemeo kwenye timu. Short tempered huyo manager kibonde wenu10 Hag hana masihara ukijifanya una unausingizi sana mpaka ukachelewa mazoezini au kwenye pre game meeting unakula bench bila kuangaliwa usoni hata kama ndio mchezaji tegemeo kwenye timu.
Kocha simamia hapohapo kwenye ni nidhamu ya timu maana kuna michezaji ilikua ishaanza kujiona mifaza hapo OT.