D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,055
Licha ya kwamba bado hatuperform kwa kiwango cha juu ila jicho langu bado linaniambia Ukimuondoa manchester city hakuna timu nyengine yenye uhakika wa kutufunga na kutuadhibu bila ya huruma kwa wakati mmoja.Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k
Kuna kufungwa na kuadhibiwa
Nasisitiza hakuna.