Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chief-Mkwawa nikushukuru kwa mara nyengine tena kwa kunisaidia application ya kuangalia mechi mubashara.
changamoto kubwa iliopo kwenye ile app ni kwa baadhi ya mechi kutokuonyeshwa licha ya kuwekwa kwenye ratiba.

kwa mfano jumatatu nilitaka kuangalia mechi ya sunderland dhidi ya blackburn rovers, bahati mbaya mechi hiyo haikuonyeshwa licha ya kuwepo kwa link yake.

siku hizi ni bora ukose nafasi ya kumuangalia darwin nunez kuliko kuipoteza nafasi ya kumuangalia amad diallo.
nahitaji msaada wa tovuti ya akiba ya kuangalia mechi pindi inapotokezea mechi husika haionyeshwi katika application ile.
 
Chief-Mkwawa nikushukuru kwa mara nyengine tena kwa kunisaidia application ya kuangalia mechi mubashara.
changamoto kubwa iliopo kwenye ile app ni kwa baadhi ya mechi kutokuonyeshwa licha ya kuwekwa kwenye ratiba.

kwa mfano jumatatu nilitaka kuangalia mechi ya sunderland dhidi ya blackburn rovers, bahati mbaya mechi hiyo haikuonyeshwa licha ya kuwepo kwa link yake.

siku hizi ni bora ukose nafasi ya kumuangalia darwin nunez kuliko kuipoteza nafasi ya kumuangalia amad diallo.
nahitaji msaada wa tovuti ya akiba ya kuangalia mechi pindi inapotokezea mechi husika haionyeshwi katika application ile.
kuna hawa jaamaa

ni aggregator, kwenye mechi husika wanakupa link zaidi ya 50, sema style hii inataka internet ambayo sio ya mawazo.
 
wakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.

wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
kwa club nyengine inawezekana, timu nyingi wamiliki wanaingiza hela zao kufanya invenstment, ila hawa parasite wetu hawawezi kamwe kufanya hivyo.
 
A moment of silence plz
FB_IMG_1672434749459.jpg
 
miezi 12 iliopita klabu haikuonyesha nia ya kulipa euro millioni 18 kwa ajili ya enzo fernandez.
kwa mara nyengine tena benfica wanatoa darasa la bure ya jinsi gani ya kunusa fursa.

wakati huo huo wanazifundisha timu za kitanzania maana ya release clause tofauti na ile ya feisal.
euro millioni 120 ni utakatishaji wa fedha kwa mchezaji mfano wa enzo fernandez.
Kweli kabisa ,umeongea point muhimu, jamaa wamemsajili Enzo, katumika kwao miezi 3 tu, Lakini wenzetu wanawaza mbele zaidi, waliweka release clause tamu (€120m) wanatoa darasa kwa Hadi huku TZ
 
wakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.

wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
Huyu jamaa hata Mimi ananishangaza, ila nadhani Ni Sababu alikuta klabu ina deo ZERO, alikuta imetoka kufanya vizuri UCL ,Hivo ilikuwa na space kubwa ya mapato ,so FFP ilimpa space kubwa ya kuspend

Jamaa katembeza pesa vibaya Sana kuanzia summer Hadi hii January , anaweza kufika €500m+
 
Wale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.

Nilisema huyu kilichobaki ni kukimbilia Sporting,Uarabuni au Marekani.
Mpira wa ulaya asilimia kubwa umebadilika tofauti na zamani

Kwasasa kila mchezaji ndani ya pichi ana majukumu muhimu ,ikitokea mmoja hatimizi, anavuruga systems nzima ,Ronaldo kwa ulaya top teams zisingeweza kumvumilia, hakimbii tena, anataka atembee kwenye pichi , matokeo yake mnakuwa Kama mmepewa Red card
 
Kwa miezi 30 aliyo saini mpaka anamaliza mkataba wake atakuwa amevuna Tsh. Trilioni 1 na billion 230. Ndie mchezaji anae lipwa zaidi duniani katika michezo yote unayo ijua. Hiyo ni rekodi ya duniani haijawahi kutokea awali aliyekuwa analipwa zaidi alikuwa Mbappe.

1. Cristiano Ronaldo

2. Mbappe

3. Nikola Jokic
 
Back
Top Bottom