Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

A moment of silence plz
FB_IMG_1672434749459.jpg
 
miezi 12 iliopita klabu haikuonyesha nia ya kulipa euro millioni 18 kwa ajili ya enzo fernandez.
kwa mara nyengine tena benfica wanatoa darasa la bure ya jinsi gani ya kunusa fursa.

wakati huo huo wanazifundisha timu za kitanzania maana ya release clause tofauti na ile ya feisal.
euro millioni 120 ni utakatishaji wa fedha kwa mchezaji mfano wa enzo fernandez.
Kweli kabisa ,umeongea point muhimu, jamaa wamemsajili Enzo, katumika kwao miezi 3 tu, Lakini wenzetu wanawaza mbele zaidi, waliweka release clause tamu (€120m) wanatoa darasa kwa Hadi huku TZ
 
wakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.

wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
Huyu jamaa hata Mimi ananishangaza, ila nadhani Ni Sababu alikuta klabu ina deo ZERO, alikuta imetoka kufanya vizuri UCL ,Hivo ilikuwa na space kubwa ya mapato ,so FFP ilimpa space kubwa ya kuspend

Jamaa katembeza pesa vibaya Sana kuanzia summer Hadi hii January , anaweza kufika €500m+
 
Wale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.

Nilisema huyu kilichobaki ni kukimbilia Sporting,Uarabuni au Marekani.
Mpira wa ulaya asilimia kubwa umebadilika tofauti na zamani

Kwasasa kila mchezaji ndani ya pichi ana majukumu muhimu ,ikitokea mmoja hatimizi, anavuruga systems nzima ,Ronaldo kwa ulaya top teams zisingeweza kumvumilia, hakimbii tena, anataka atembee kwenye pichi , matokeo yake mnakuwa Kama mmepewa Red card
 
Kwa miezi 30 aliyo saini mpaka anamaliza mkataba wake atakuwa amevuna Tsh. Trilioni 1 na billion 230. Ndie mchezaji anae lipwa zaidi duniani katika michezo yote unayo ijua. Hiyo ni rekodi ya duniani haijawahi kutokea awali aliyekuwa analipwa zaidi alikuwa Mbappe.

1. Cristiano Ronaldo

2. Mbappe

3. Nikola Jokic
 
The outcomes of the previous 4 games between Manchester United and Wolves have been decided by 1 goal.

The last time a victory of 2+ goals was recorded in this fixture was in 2012- in a 5-0 Manchester United win.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221231_115848_715.jpg
 
Jadon Sancho has returned to Man Utd as revealed by Erik ten Hag: “Jadon is back in Manchester. He will now start individual training”.

“His return? The time is not now but his making good progress, we’ see when he is ready to return into the squad”.

#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20221231_115753_706.jpg
 
Siku ya furaha imefika siku ya pira safi na la kuvutia imefika ni siku ambayo hata fans wa arsenal lia lia Aaron Arsenal alikuwa anaingoja kwa shauku kubwa kweli kweli.

Ni siku ambayo dunia nzima inatulia kazi zinasimama ndo ni leo iyo unajua kwanini?
sababu ni moja tu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Prediction

Wolverhampton 1 vs Manchester united 2

Time

9.30 mchana

Na nyote mna karibishwa.
1672462120396.jpg
 
Siku ya furaha imefika siku ya pira safi na la kuvutia imefika ni siku ambayo hata fans wa arsenal lia lia Aaron Arsenal alikuwa anaingoja kwa shauku kubwa kweli kweli.

Ni siku ambayo dunia nzima inatulia kazi zinasimama ndo ni leo iyo unajua kwanini?
sababu ni moja tu.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Prediction

Wolverhampton 1 vs Manchester united 2

Time

9.30 mchana

Na nyote mna karibishwa.View attachment 2464298
Mkuu allypip katika ubora wako,kweli dunia nzima ina furaha.
 
Back
Top Bottom