Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Enzo tutoe karibia £105m ili kumpata?..Kwahiyo Gakpo to Liverpool and possibly Enzo to Chelsea.
We might never be happy again, man.
Ndo kipaumbele chetu kweli?
Enzo tutoe karibia £105m ili kumpata?..Kwahiyo Gakpo to Liverpool and possibly Enzo to Chelsea.
We might never be happy again, man.
kuna hawa jaamaaChief-Mkwawa nikushukuru kwa mara nyengine tena kwa kunisaidia application ya kuangalia mechi mubashara.
changamoto kubwa iliopo kwenye ile app ni kwa baadhi ya mechi kutokuonyeshwa licha ya kuwekwa kwenye ratiba.
kwa mfano jumatatu nilitaka kuangalia mechi ya sunderland dhidi ya blackburn rovers, bahati mbaya mechi hiyo haikuonyeshwa licha ya kuwepo kwa link yake.
siku hizi ni bora ukose nafasi ya kumuangalia darwin nunez kuliko kuipoteza nafasi ya kumuangalia amad diallo.
nahitaji msaada wa tovuti ya akiba ya kuangalia mechi pindi inapotokezea mechi husika haionyeshwi katika application ile.
www1.footybite.com
kwa club nyengine inawezekana, timu nyingi wamiliki wanaingiza hela zao kufanya invenstment, ila hawa parasite wetu hawawezi kamwe kufanya hivyo.wakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.
wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
Wale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.A moment of silence plzView attachment 2463870
Kweli kabisa ,umeongea point muhimu, jamaa wamemsajili Enzo, katumika kwao miezi 3 tu, Lakini wenzetu wanawaza mbele zaidi, waliweka release clause tamu (€120m) wanatoa darasa kwa Hadi huku TZmiezi 12 iliopita klabu haikuonyesha nia ya kulipa euro millioni 18 kwa ajili ya enzo fernandez.
kwa mara nyengine tena benfica wanatoa darasa la bure ya jinsi gani ya kunusa fursa.
wakati huo huo wanazifundisha timu za kitanzania maana ya release clause tofauti na ile ya feisal.
euro millioni 120 ni utakatishaji wa fedha kwa mchezaji mfano wa enzo fernandez.
Huyu jamaa hata Mimi ananishangaza, ila nadhani Ni Sababu alikuta klabu ina deo ZERO, alikuta imetoka kufanya vizuri UCL ,Hivo ilikuwa na space kubwa ya mapato ,so FFP ilimpa space kubwa ya kuspendwakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.
wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
Ronaldo shughuli imeishia hapaA moment of silence plzView attachment 2463870
Mpira wa ulaya asilimia kubwa umebadilika tofauti na zamaniWale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.
Nilisema huyu kilichobaki ni kukimbilia Sporting,Uarabuni au Marekani.
A moment of silence plzView attachment 2463870
Ntioo ntioooKwa miezi 30 aliyo saini mpaka anamaliza mkataba wake atakuwa amevuna Tsh. Trilioni 1 na billion 230.
Kabisa aiseeGame ya leo ipo tricky ili tupate matokeo chanya wachezaji wapambane haswa
Game iwe TRICK isiwe TRICK wachezaji lazima wapambane tu,tupo behind uwezo wa miaka ileGame ya leo ipo tricky ili tupate matokeo chanya wachezaji wapambane haswa