Wale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.A moment of silence plzView attachment 2463870
Kweli kabisa ,umeongea point muhimu, jamaa wamemsajili Enzo, katumika kwao miezi 3 tu, Lakini wenzetu wanawaza mbele zaidi, waliweka release clause tamu (€120m) wanatoa darasa kwa Hadi huku TZmiezi 12 iliopita klabu haikuonyesha nia ya kulipa euro millioni 18 kwa ajili ya enzo fernandez.
kwa mara nyengine tena benfica wanatoa darasa la bure ya jinsi gani ya kunusa fursa.
wakati huo huo wanazifundisha timu za kitanzania maana ya release clause tofauti na ile ya feisal.
euro millioni 120 ni utakatishaji wa fedha kwa mchezaji mfano wa enzo fernandez.
Huyu jamaa hata Mimi ananishangaza, ila nadhani Ni Sababu alikuta klabu ina deo ZERO, alikuta imetoka kufanya vizuri UCL ,Hivo ilikuwa na space kubwa ya mapato ,so FFP ilimpa space kubwa ya kuspendwakati huu ambao mzunguko wa cash umepungua kwenye vitabu vya mahesabu, je haiwezekani kwa matajiri kuwekeza fedha zao binafsi kwa lengo la kuendeshea klabu.
wataalamu wa fedha nisaidieni.
mfano mdogo huyu tajiri wa chelsea haya matumizi yake yanatokea chanzo gani
Ronaldo shughuli imeishia hapaA moment of silence plzView attachment 2463870
Mpira wa ulaya asilimia kubwa umebadilika tofauti na zamaniWale waliokuwa wanadhani kuna Top club ya Ulaya watachukua tatizo hili waje waone.
Nilisema huyu kilichobaki ni kukimbilia Sporting,Uarabuni au Marekani.
A moment of silence plzView attachment 2463870
Ntioo ntioooKwa miezi 30 aliyo saini mpaka anamaliza mkataba wake atakuwa amevuna Tsh. Trilioni 1 na billion 230.
Kabisa aiseeGame ya leo ipo tricky ili tupate matokeo chanya wachezaji wapambane haswa
Game iwe TRICK isiwe TRICK wachezaji lazima wapambane tu,tupo behind uwezo wa miaka ileGame ya leo ipo tricky ili tupate matokeo chanya wachezaji wapambane haswa



Mkuu itakua mda gany kwa masaa ya huku#PL - Game Week 18
Wolverhampton
Sat, Dec 31, 15:30
Molineux St.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2464280
Mkuu allypip katika ubora wako,kweli dunia nzima ina furaha.Siku ya furaha imefika siku ya pira safi na la kuvutia imefika ni siku ambayo hata fans wa arsenal lia lia Aaron Arsenal alikuwa anaingoja kwa shauku kubwa kweli kweli.
Ni siku ambayo dunia nzima inatulia kazi zinasimama ndo ni leo iyo unajua kwanini?
sababu ni moja tu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Wolverhampton 1 vs Manchester united 2
Time
9.30 mchana
Na nyote mna karibishwa.View attachment 2464298