Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanatamani kusema brighton wabovu ila wakikumbuka....


Ahhh au bas
images%20(90).jpg
 
Kabisa hakuna aliyekua anategemea jana City kikamkuta kile
City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopita

Rejea mechi na Man u 2nd half Baada ya man u kuondoa ile fear factor ,Man city alizidiwa kila Kitu
 
City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopita

Rejea mechi na Man u 2nd half Baada ya man u kuondoa ile fear factor ,Man city alizidiwa kila Kitu
Man utd huwa akiondoa fear factor anatishaga sana.

Ninapenda uchezaji wa malacia, Antony, dalot, Martinez, experience ya casemiro they don't fear, wanafanya timu inawakawaka
 
View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.

Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.

Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.

Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.

Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
 
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.

Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.

Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.

Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.

Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
2021 mda kama huu tulikuwa tunamfukuzia Liverpool na tukampata tukawa Juu Epl Table. Hata 2020 pia tulivyoanza kuifukuzia Top 4 hatukupunguza speed mpaka tukawa watatu.

Same kwa sasa timu ina Fight spirit nzuri tu, Timu yetu inacheza sasa hivi bila Dalot, Martinez, Shaw (Natural position) na Sancho lakini unaona kabisa timu ipo vizuri.

Na pia mtofautishe kugombania ubingwa na Kuchukua Ubingwa ni vitu viwili tofauti.
 
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.

Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.

Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.

Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.

Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
Arsenal katika mechi tatu zijazo ,mechi ngumu Ni ya away, Arsenal kwa Sasa ndio best kwa Atmosphere Wakiwa home , naziona points 7-9 katika hizo mechi 3, coz 2 home ,1 ya Spurs away .Spurs Kama unavyomjua ,Ni kudefence tu
 
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.

Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.

Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.

Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.

Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
Bado tu hamjakoma kuhusu ratiba yetu, ile ya October ilikua ni ngumu kuliko hata iyo inayokuja
 
Back
Top Bottom