Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanatamani kusema brighton wabovu ila wakikumbuka....


Ahhh au bas
images%20(90).jpg
 
Kabisa hakuna aliyekua anategemea jana City kikamkuta kile
City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopita

Rejea mechi na Man u 2nd half Baada ya man u kuondoa ile fear factor ,Man city alizidiwa kila Kitu
 
City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopita

Rejea mechi na Man u 2nd half Baada ya man u kuondoa ile fear factor ,Man city alizidiwa kila Kitu
Man utd huwa akiondoa fear factor anatishaga sana.

Ninapenda uchezaji wa malacia, Antony, dalot, Martinez, experience ya casemiro they don't fear, wanafanya timu inawakawaka
 
Back
Top Bottom