Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Kabisa tena jambo lipo ndani ya uwezo wetu.View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Kabisa tena jambo lipo ndani ya uwezo wetu.View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Hizo game 3 una Arsenal Emirates na una City OTView attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Hizo mechi tatu zijazo yupo arsenal na cityView attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Mashabiki wa Man U tuacheni hizi ndoto.View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
EtH got balls..Kama aliweza mnyoosha Ronaldo na ustaa wake, hakuna mbuzi mwingine wa kunyanyua mdomo.
Tulihitaji kocha wa aina hii toka muda.
Mimi ni United lialia ila huu ujinga Sina aiseeMashabiki wa Man U tuacheni hizi ndoto.
Tufurahie kushinda mechi, swala la ubingwa tusahau.

yaani Kuna watu wanawaza eti mbio za ubingwa tuacheni ushabiki wa kijinga Mancastle unitedManchester United 23-24 Away Kit Design Leaked
#Footy_Headlines
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2464926

Kuna mijitu haijui mpira,unapoteza muda wako buuuure.



tulia wewe ,rudi nyumbani kumenogaDullyJr unavyotupa tabu kwenye uzi wetu huu.
Target is to win the next match, that's our main targetDullyJr unavyotupa tabu kwenye uzi wetu huu.
Mkikosa Ubingwa sijui utajificha wapi.
Au utasema Top 4 ndio ilikuwa target.
Sisi hatuna shida na kombe tunakaa top if the table until may....then mtaamua wenyewe mtupe hilo kombe au vipi...DullyJr unavyotupa tabu kwenye uzi wetu huu.
Mkikosa Ubingwa sijui utajificha wapi.
Au utasema Top 4 ndio ilikuwa target.
Kabisa hakuna aliyekua anategemea jana City kikamkuta kileMpira hauna adabu mkuu. Kila kitu kinawezekana
City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopitaKabisa hakuna aliyekua anategemea jana City kikamkuta kile