Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,727
Game mbovu wachezaji wamechoka Antony hovyo bruno hovyo aaah.
HandballMarcus gooooooo
0-2
Ndio unajua leo?Huyu Antony tulipigwa mamaee
Kukaba jamaa aisee anaongoza kwa wanaocheza mbele..Mechi imepiganiwa, wachezaji wanajituma sana, Antony pia muangalieni kwa jicho la pili, jamaa anakaba all time, kwa speed yake leo ameua counter 2 ambazo wachezaji wa wolves wangekua 1v1 na De Gea.
Itakua umeangalia mechi ya leo kwa jicho moja.Anton auzwe mapema kabla hajazidi kuonekana galasa maana hakuna mchezaji pale
VdB mchezaji mmoja wa hovyo sana
Rashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.Ndio unajua leo?
Ndio kilichomleta hiko kuzuia counterMechi imepiganiwa, wachezaji wanajituma sana, Antony pia muangalieni kwa jicho la pili, jamaa anakaba all time, kwa speed yake leo ameua counter 2 ambazo wachezaji wa wolves wangekua 1v1 na De Gea.




?????