Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Wakuu msaada wa link tafadhali
Huyo mzee miguu kama wabogojo,hamna beki humo ndio aliyetuchomesha fainal WCIla varane sidhani kama yupo fit kuanza game ya leo.
Hana maanaRonaldo katuchelewesha sana.
2-0
OffsidePumbavu sana huyu refa amefanya tufungwe bao la kusawazisha kwa maamuzi yake ya hovyo
Casemiro hakucheza faulo pale
Refa kazingua, Casemiro hakucheza mguu wa yule jamaa, jamaa aliuruka sijui hata hiyo foul kaiamuajeGoal la kijinga.
Wakati naandika hiyo comment ndio nimeona hapa ikikataliwaOffside
Kuuruka tu ni sehemu ya kumhadaa kipa huku ukiwa offside.Refa kazingua, Casemiro hakucheza mguu wa yule jamaa, jamaa aliuruka sijui hata hiyo foul kaiamuaje
Analazimisha kufunga
Anthony amepatwa na nini?
HujanielewaKuuruka tu ni sehemu ya kumhadaa kipa huku ukiwa offside.
Ni offside